Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wameshatapeli wengi Sana. Watu wanalipia na mkeka hawatoi. Wanachofanya kila ukilipia wataleta gharama mpya Hadi uchoke ukimbie. Nina dogo wangu anasoma chuo X wamempiga laki na ishirini.
0 Reactions
8 Replies
851 Views
Hapa kuna hatihati ya kina JKT Tanzania kufa 10 bila hapa. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
11 Reactions
27 Replies
3K Views
MAVI YA KALE MBOLEA Maoni ya Mchambuzi nguli Alex Ngereza.[emoji3578] "Hii jezi ya Blue Simba wamecopy kutoka kwenye jezi za Azam Fc, Simba hawajafanya ubunifu wowote zaidi kuchukua na kuweka...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Juzi kulikwa na game za maandalizi na msimu mpya wa ligi mbali mbali duniani Na club ya alnasri ipo barani ulaya kwa mechi mbali mbali Sasa juzi walicheza na benifica wakapoteza kwa 4-1 Icho...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Misimu miwili nyuma Yanga walikuwa na jezi nzuri sana hila hizi za msimu huu ni mbayaaaa.
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Siyo kwamba kila Siku GENTAMYCINE nikiwa Nawachokoza, Nawananga na Nawatania mno Watani zetu Yanga SC basi Kwetu huku ( Simba SC ) mkikosea nitawanyamazia. Huwa sina Unafiki na Upumbavu na...
10 Reactions
49 Replies
7K Views
Kufuatia taarifa iliyotolewa na TFF inaonyesha Club ya Yanga haiafanya usajili wa wachezaji kwa msimu wa 2023/24. Mashabiki wasiojitambua wametetea club ya Yanga kwa kutoa hoja dhaifu eti muda...
4 Reactions
92 Replies
4K Views
DEAL DONE: Uongozi wa klabu ya Union Sportive Quevillaise-Rouen Metropol inayoshiriki Ligi daraja la kwanza Ufaransa [emoji632] umethibitisha kukamilisha rasmi uhamisho wa winga Pape Sakho kutoka...
4 Reactions
55 Replies
8K Views
Uongozi wa Simba Umeamua, Uongozi Wa Simba Umewasha Moto, Uongozi wa Simba This Time Around hawacheki na Mtu yeyote, Uongozi wa Simba This Time Ni Kimodaaa, Ni waya Ya Umeme. Kwa Usajiri...
5 Reactions
34 Replies
4K Views
Tanzania ustarabu wa usafi hauzingatiwi. Jana nilikuwa Benjamin Mkapa Studium. Pamoja na kutangaza kufanya ukarabati, sijui wamekarabati nini. Uwanja mchafu kila kona. Kuna nguzo moja nimeona...
11 Reactions
29 Replies
1K Views
Hivi Simba mnajuwa kinachoendelea Yanga? Picha inaweza kuongea zaidi, kipande cha cream ya Asec mimosa Kipo Yanga. Wanaojuwa mpira kuna kitu mtakigunduwa hapa maana halisi ya kusajili na...
15 Reactions
36 Replies
3K Views
Simba SC bado wanaendelea Kuonyesha jinsi gani wanaelekea pazuri kuwa Klabu yenye Uweledi. Tayari Mchezaji Sakho wa Simba SC tumeshajua Kauzwa wapi ila kwanini Mtikisa Manyonyo, Mvaa Bukta Kata K...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Aliyesema Masau Bwire hatorudi Ligi Kuu ya NBC PREMIER LEAGUE Tanzania baada ya Ruvu Shooting kushuka Daraja na huyu ni naniiii! Jamani zee la maneno ya kukera ndiyo hivyo karejea na misemo yake...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Za ndani zinadai kuwa Msenegal huyu kapata Timu ambayo itamng'oa ndani ya Simba muda wowote kuanzia sasa na kuna uwezekano mkubwa asifike hata Simba Day.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama kocha wa yanga atazichanga karata zake vizuri next season kwenye mashindano ya afrika Caf champions league Nawaona yanga kwenye anga za ajax 2019 ambayo ilisumbuwa vigogo Kama Real Madrid na...
3 Reactions
9 Replies
971 Views
Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa kipa wa kimataifa wa Brazil 🇧🇷 JEFFERSON LUIS kwa Mkataba wa miaka miwili. . Jefferson (29) maarufu kama Mikono ya Sumaku anatua Simba...
8 Reactions
36 Replies
5K Views
wakuu Hii team naionea huruma sana kwa yanayoenda kuipata msimu huu. Usajiri wao ni mbovu asilimia mia walipopatia angalau ni kwa yule winga kramo . Kituko zaidi ni huyu kipa muuza matango kule...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Umeuonaje usajili wa Mbrazili wa Simba? Ataweza kuziba pengo lililoshindwa kuzibwa na Beno Kakolanya na kumuachia Ali Salim? Nakuachia Mwana JF.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…