Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mzuka wanajamvi! Winga machachari wa Manchester united mswidi Antony Elanga 21, ndie mchezaji wa mwisho kwa kulipwa mshahara kwenye timu yake ya Manchester united. Elanga analipwa pauni za...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea. Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion? Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini...
11 Reactions
99 Replies
6K Views
Hakuna shaka kwamba Simba na Yanga ni timu za soka za kihistoria zaidi nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Timu hizi mbili zimekuwa na ushindani mkubwa kwa zaidi ya miaka 80 sasa na...
2 Reactions
3 Replies
621 Views
Nimefuatilia Siku ya Yanga kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa , kiukweli haikufana kama ilivyotarajiwa , sielewi hasa kilichotokea , lakini kukosekana kwa Haji Manara kunaweza pia kuwa kumechangia...
15 Reactions
37 Replies
6K Views
Katika igamimg industty tunaona kwamba kampuni nyingi sana zinakuja kwa kasi hasa katika nchi yetu hapa Tz, kuna vivutio vingi sana kwa wateja ili kubet na haya makampuni. Ukiachia mbali michezo...
0 Reactions
0 Replies
464 Views
Kuna kitu sijaelewa, Simba ndie kajaza uwanja lakini mapato kazidiwa. Naomba maelezo
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Mtaalamu wa Viungo aliyewahi kuhudumu ndani ya timu ya Simba Adel Zrane amewasili nchini Rwanda tayari kwa kujiunga na Timu ya APR. Huyu ndiyo kiumbe pekee ambaye alifanikiwa sana katika kipindi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Huyu dogo anajua sana. I didn't know his game. he needs to improve his craft kidogo kwenye finishing . I believe a few caf games. yanga ikiweza kuingia makundi. His life football story might...
11 Reactions
13 Replies
3K Views
Mfumo wa kocha Robertihno ni wa kasi ya ku press bila kupoza mpira, hapendi namna chama anavyocheza, ni bora Chama akaondoka sasa kuliko kusubiri fedheha. Utanikumbuka!!!!
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Club ya yanga bingwa WA kupika takwimu tunaomba muweke mapato ya mechi ya Leo kabisa kabla mnyama hajatoka mwituni Mana hamchelewi kusema Simba kajaza uwanja lakin tumempita kimapato. Leo full...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Nimesikiliza kipindi cha michezo cha Clouds Leo wakiwanukuu mashabiki wanaojidai ni wa Simba wakiponda kibegi, huku kwangu naona ni kuharibu biashara na sio fair kabisa. Jezi za Simba zina...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Kasi ya mashabiki kuingia ndani ya dimba la Mkapa bado ya kusuasua mpaka muda huu viti karibia asilimia sitini viko wazi. Haijafahamika tatizo nini lakini baadhi ya mashabiki wanasema muda bado...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Salim Abdallah Try Again, Murtaza Mangungu na Mohammed Dewji endeleeni tu kutuona wana Simba SC ni Wapumbavu ila GENTAMYCINE nawaonyeni kama hatutabeba Makombe ya Ngao ya Jamii, la NBC, la ASFC na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Binafsi, pamoja na kuwa ni shabiki wa Yanga, naomba nipongeze uongozi kwa ku-maintain ubora wa timu. Jaribio la jana, kiukweli lilikuwa ni jaribio KUBWA sana lililokuja MAPEMA sana, lakini bado...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Jambo Jambo? Wote tunafahamu kuwa skubiduu(Scooby-doo) wa katuni yetu pendwa alikuwa na bado anaendelea kuwa kichekesho kwenye luninga na vipindi vya watoto. Basi na mimi kama shabiki maandazi...
0 Reactions
5 Replies
644 Views
Simba SC ni klabu kubwa na yenye uwezo mkubwa nchini Tanzania lakini sio sana kuwazidi watani zao #WANANCHI ambao wako on [emoji91][emoji91]. Hata hivyo, kuna sababu kadhaa ambazo zinaweza...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Uzuri ni kwamba huyu Mchezaji Jonas Gerald Mkude ninayeenda Kumjadili hapa ukiachia mbali kuwa ni Mdogo wangu Kiumri ila pia ni Rafiki yangu kama walivyo Marafiki zake Wakubwa akina Pazi na...
12 Reactions
34 Replies
7K Views
Mpaka sasa ndani ya masaa 3 tu toka picha ya kwanza kupostiwa Instagram ya jezi za Simba, imepata likes 111,077 na comments 10,401. Video ya jezi ya Yanga wakiwa Ikulu ya Malawi iliyopostiwa toka...
14 Reactions
24 Replies
2K Views
Skudu kasajiliwa siku kadhaa ndani ya Yanga akitokea South Africa, baada ya mazoezi ndani ya AVIC TOWN alikuwa na Mkude wakibonga hapo unadhani ni lugha gani hiyo?
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana. Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani...
12 Reactions
37 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…