Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Siku zinahesabika. Muda si mrefu jamaa ataachia ngazi. Amesha waandaa kimkakati. Msije kusema sikuwaambia.
0 Reactions
9 Replies
906 Views
Wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Simba wamefika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa afya zao na kufanya vipimo mbalimbali ikiwa ni maandalizi ya...
1 Reactions
2 Replies
730 Views
Ukija na Hoja kuwa mbona kwa Misimu miwili walioenda Pre Season nje ya nchi hawajawa Mabingwa na aliyebaki Tanzania kawa Bingwa nami nitakuuliza mbona miaka minne nyuma aliyekuwa Bingwa mara Nne...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Beki wa Pembeni anayepanda na kushuka Mohammed Hussein ameongeza mkataba wa miaka miwili, hivyo ataendelea kuwepo kwenye viwanja vya Msimbazi mpaka mwaka 2025.
2 Reactions
5 Replies
555 Views
Kwa watu ambao wanajua vizuri mpira watakubaliana na mimi Kufika kwa yanga final ya Caf federetion kumewaongezea kujiamini na kujitambuwa pamoja na uelewa wa mambo kitu ambacho walikuwa wanakikosa...
2 Reactions
37 Replies
2K Views
Na mpaka sasa Jezi zimedoda katika Maduka mengi na kuna uwezekano zikashushwa Bei hadi Kuuzwa Shilingi Elfu Tatu ( Tsh 3,000/= ) ili tupate Pesa za Kumalizia Deni la Kocha Mbelgiji ili FIFA...
1 Reactions
5 Replies
882 Views
GENTAMIYCINE nikiwa kama Mshabiki na Mwanachama wa Yanga SC natoa ONYO KALI kwa Uongozi wa Yanga SC kuacha Kutuzuga kupokea Fedha za Bonus ili Mashabiki tusiongelee Usajili na Ukata mkubwa ulioko...
-1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwambieni Yule Meno Kuungua wenu, mla Mirungi na Mporwa Wake zake aliyeandika katika Instagram Page yake kuwa Baleke kaondoka rasmi Simba SC kuwa amerejea rasmi Tanzania na Simba SC hivyo asipende...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Baada ya kumtambulisha kwa mbwembe, aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Yanga Andre Mtine abwaga manyanga. Sababu za kuondoka kwake ni uswahili uliopitiliza wa Rais wa klabu hiyo Hersi. Hii ni kutokana...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
  • Closed
Mabibi na mabwana, kaeni tayari kuendelea kuzibwa midomo kwa nguvu kubwa. Kuna tetesi kuwa DP World wako tayari kudhamini ligi kuu soka Tanzania bara. Inasemekana awali ilikuwa mgogoro wa Yanga...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Yaani ni Free Agent baada ya Mkataba wake Kuisha huko SC Villa na aliyekuwa Kocha Wenu Micho Kawadanganyeni mumchukue mmeingia Mkenge kweli na Kumsajili. Uganda ni my Second Home na nina Rafiki...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Kutoka kwenye ukurasa rasmi wa Simba Sports Club wameuliza swali la "NI MCHEZAJI GANI AMEWAHI KUCHEZA SIMBA UNATAMANI TENA KUMUONA AKIWA MSIMBAZI?" ikifuatiwa na Picha kumi za Wachezaji...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Simba kwa miaka mitano ya ubora wao wamefanikiwa kufika robo final ya club bingwa mara 4 na robo final ya Caf federetion mara 1 Yanga mwaka mmoja wa ubora wao wamefanikiwa kufika final ya Caf...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwaka huu tumeshuhudia site kuwa Rais Samia ni Shabiki lialia wa Yanga. Ni kiasi ambacho amefikia kujisahau kuwa yeye ni kiongozi mkubwa nchini. Hapo zamani tulizowea kuona Marais walijaribu...
11 Reactions
79 Replies
4K Views
Source East Africa redio muda huu. Haya roho mbaya mnaozusha kuwa kapigwa chini kwa sababu ya uswahili na ukata mna la kusema? Safari hii mnaahangaika sana kuchochea kuni kwenye jungu lililojaa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nina za moto moto kuhusu mambo makubwa matatu; 1. Mwamba kuwagomea kabisa na sasa Kiongozi Mstaafu kaombwa akutane naye ili amshawishi asaini na abakie. 2. Wapiga Gitaa watatu wa DLY Congo Music...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Wachambuzi wa uchwara wa hapa JamiiForums na wengine wa mitandao wanaweweseka kila kukicha hawapati taarifa kutoka kwa Yanga. Wanajaribu kutunga habari za kizushi ili waende mjini lakini...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
MVINYO wa Nebiollo unaopatikana Italia ndio mvinyo ambao unasindikwa katika chupa kwa muda mrefu zaidi duniani. Miaka 20. Kadri unavyozeeka ndivyo unavyokuwa mtamu. Unanywewa na matajiri kama kina...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Siri! Siri ! Siri! Hakika ni Jambo kubwa sana ndani ya kikosi /Timu ya Yanga sc imetawala imenifanya NALIA NGWENA nikumbuke Mambo ya kijeshi na mbinu za kivita kipindi napata mafunzo maridhawa...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu karibuni katika special UFC thread ambapo hapa tutapeana udambwi udambwi wote wa MMA... Africa huko tunawakilishwa na wengi wanaofanya vizuri mfano ni jamaa kutoka Nigeria anaitwa Israel...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…