Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Revealed: Premier League transfer spend table - with surprise club beating Man United, City and Chelsea to top with £231.4m splashed out... and which giants are BOTTOM with just £34.7m spent...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Najua inauma hela ulizotafuta kwa jasho miaka yote kuchukuliwa pasu kwa pasu na mwanamke. Sisi timu Man City tunakuomba utupishe ukauguze majeraha ya kibuti. Soma Pia: Arsenal 5-1 Manchester...
5 Reactions
5 Replies
352 Views
Kama mnadhani neno sanda ni rahisi basi hamjui nini maana ya brand ya timu. Kuna siku mtu atakuja na jina "maiti" au "misukule" kwa vigezo vile vile vya sanda. Kuna balozi mmoja wa nchi fulani...
0 Reactions
2 Replies
162 Views
Jee kama inapigwa Chamazi CCTV Camera zitakuwepo? Gemu itaanza saa kumi na Moja. Ikifika saa Moja itabidi taa za uwanjani ziwashwe, jee wataendelea kumzimia taa yule mchezaji aliyelogwa ili...
2 Reactions
15 Replies
373 Views
Ni kweli kuna watu oale EPL ukiwaona uwezo wao hauna tofauti na walioko Africa. Natambue kuwa Elie Mpanzu na Clement Mzize wanacheza nafasi tofauti ila Mpanzu anaonekana ana kipaji kuliko Mzize...
5 Reactions
17 Replies
765 Views
Mara ya Mwisho kumuona ni mechi ya derby. Baada ya hapo sijamuona tena huyu refa wa Yanga Ramadhani Kayoko. Yupo wapi?
7 Reactions
37 Replies
1K Views
Nimeona taarifa Neymar Jr anarejea zake kwao Santos kutokea Uarabuni. Kipaji maridhawa kilichoenda na maji. Neymar alitajwa kama mmoja ya wachezaji bora watakaovunja ufalme wa Messi na Ronaldo...
9 Reactions
43 Replies
1K Views
Djibril Sillah amegoma kuongeza mkataba pale Chamazi Mkataba wake unakoma June, 2025 Inaelezwa kuwa Djibril Sillah yupo kwenye mazungumzo na uongozi wa Yanga na uwezekano mkubwa akatua timu ya...
7 Reactions
41 Replies
1K Views
Sioni....kila nikitizama naona leo Mkia lazima achapwe. Tabora United wamemaliza mchezo na sasa wanaenda tu kukamilisha ratiba mzee saidi mitangano hongera sana. Hujawahi kutuangusha...
8 Reactions
111 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya mashindano...
1 Reactions
3 Replies
324 Views
" Benard Morrison yupo mbioni kufanyiwa upasuaji wa ngiri ambao utamfanya akae nje ya uwanja kwa muda wa miezi sita" . Vyombo mbalimbali vya habari nchini Tanzania. Ukitazama...
5 Reactions
50 Replies
9K Views
Imekuwa ikishangaza hawa watoa tuzo ya mchezaji Bora ni kilevi Gani hutumia Juzi hapa wamempa Max Nzengeli tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo na Max aliingia dakika ya 77😂 Sawa Max Nzengeli ni...
8 Reactions
21 Replies
665 Views
Huyu ni dada yetu, ni mpenda soka mwenzetu, na anaifanya soka ipendwe zaidi na wanawake/wasichana. Naomba wanaume wenzangu kwa vyovyote vile mtanieni utani wote lakini nawashauri msimtanie utani...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Komeo Lachuma, Minjingu Jingu, Labani og, Medecin
3 Reactions
4 Replies
206 Views
Hii ni kufuatia mkataba wa bilioni 2 kwa miaka miwili kati ya Simba na Sandaland kuelekea ukingoni
1 Reactions
29 Replies
952 Views
Eric Crumble (amezaliwa Disemba 10, 1966) ni bondia wa zamani wa Marekani, na akiwa ni mmoja wa mabondia maarufu kwa kupigwa mapambano 31 kwa mtindo wa KO. Tangu acheze kwa mara ya kwanza mnamo...
4 Reactions
23 Replies
652 Views
Mfano tu mtu anasema babu Ferguson aliyekaa man united miaka 25 na epl 13 ni Bora kuliko pep aliyekaa miaka 7 na epl 5 Pep uyu uyu kamfunga babu mechi mbili za UCL 2009, to 2011 Nb:sijajumlisha...
1 Reactions
13 Replies
324 Views
Hii mtaani tusema "Utaoga lakini mjini huendi" Yaani Simba atashinda dhidi ya shoga aje Tabora United ila ubingwa atausilikizia redioni Yanga mkakatu wetu ni kuwafanya mfurahi kipindi hiki ili...
5 Reactions
31 Replies
651 Views
Timu iko nafasi ya 5 sijui ya 6 kwa orodha za CAF, Orodha za dunia haikosi ya 100 bora Kuna vitimu havijulikani hata CAF na hata ukilazimisha Rank zitaangukia 1000+ Ila ukisikia tambo zao mwezi...
13 Reactions
38 Replies
1K Views
Haya matokeo ya simba kumfunga Tabora nyuma mwiko wanagugumia na kupata magonjwa ya tumbo kuna nini zaidi.....
2 Reactions
12 Replies
341 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…