Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mabingwa wa Kihistoria, Timu ya Wananchi, Vijana wa Jangwani na Vinara wa Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara Young African Sports Club wanadaiwa kumpa mikoba Kocha, Nasreddine Nabi iliyoachwa na...
2 Reactions
37 Replies
9K Views
Timu yeyote lazima ijengwe na watu wazito, wenye influencing power kubwa jamii ......hii ndio bodi ya wadhamini iliochaguliwa .....hii ndiyo maana halisi ya timu ya wananchi Mheshimiwa bi Fatma...
12 Reactions
134 Replies
6K Views
Sisi waislam tumefundishwa kuwa alama za mtu mnafiki ni tatu, kwanza akisema hatekelezi, Pili ahadi zake za uongo. Ally Kamwe ameingiza tena mjini wanachama na mashabiki wa Utopolo kuwa timu yake...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimepata jibu kwanini yanga wametafuta huyu kocha Falsafa moja ya yanga ni kushambulia sio ugenini au nyumbani Ndivyo kocha nabi alivyo wazoeza Na huyu kocha mpya ni mpenzi saana wa mpira wa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Sisi tunataka kusikia Messi kasajiliwa Msimbazi au kule matopeni tumwagilie moyo wetu basi, hata kama kukawa na upigaji sisi hilo halituhusu, sisi lete wachezaji wakali wapasie nyavu tutukanane na...
1 Reactions
2 Replies
959 Views
Nimekuwa nikifuatilia sana mikutano mikuu ya vilabu vikongwe kabisa hapa nchini Simba na Yanga, mikutano inakuwa na mambo mengi na wakati mwingine ikibainika mkutano utakuwa wa moto wanasubiria...
5 Reactions
10 Replies
929 Views
1. Chama 2. Inonga 3. Phiri 4. Sakho 5. Baleke Wasajiliwe wengine Saba (7) tu Wazuri kama hawa Watano (5) niliowataja hapa ili Kutimia Idadi ya Wachezaji wa Kigeni Kumi na Mbili (12) Wanaotakiwa...
7 Reactions
35 Replies
4K Views
Vijana wa Mashujaa FC wamepanda daraja msimu ujao. Wamenikumbusha enzi za RTC Kigoma wakati huo ikiwa na golikipa Patrick Mwangata ambaye baadae alienda Simba, winga Sanifu Lazaro Tingisha na...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Ukiwa unatamba huko kuwa Big Benz ni Namba 9 Bora ili akuone na wewe unajua Mpira, usisahahu kumwambia uzuri wa Mula nyama za watu kuwa; huyu ndie Straika la Boli aliyetwaa Pichichi mbele ya...
9 Reactions
77 Replies
3K Views
Hongereni sana chama la nyumbani mashujaa fc almaarufu lake tanganyika heroes kwa kupanda ligi kuu.
4 Reactions
12 Replies
899 Views
Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Kampuni ya Betting ya 10 Bet imefungwa ghafla na inaondoka Tanzania. Sijui ni kitu gani kipo nyuma ya hili jambo. Tafadhali tujadili.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said tuliobarikiwa Upeo uliposema tu Mkutanoni leo kuwa Yanga SC imetumia Shilingi Bilioni Mbili ( 2 ) mpaka ikawa Mabingwa na Makombe yote na kulikosa tu lile la...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Tayari baada tu ya Kumaliza Mechi yenu huko Mkoani Mbeya nimemsikia Mmoja wa Kiongozi wenu Said Swedi 'Scud' akifurahia na kutamba kuwa Msimu ujao wa Ligi Kuu Timu zitawakoma. Said Swedi Scud ni...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Mateso yanaendelea kwa sisi wana Msimbazi. Mpira unaochezwa na hii Simba U-20 ni kichefuchefu. Benchi la ufundi la timu hii pia liangaliwe. Timu ni Mbovu sana. Haijui kila kitu uwanjani...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Club ya Yanga itatwaa zaidi ya bilioni 11 msimu huu endapo itashinda makombe ya Ligi Kuu, FA, na CAF Shirikisho. Fedha hizo zitatokana na zawadi mbalimbali kutoka kwa CAF, Azam, Sportpesa, Haier...
11 Reactions
31 Replies
2K Views
Nimekuwa nikiunga mkono kushushwa daraja kwa hawa wapuuzi Mbeya City ila kitendo alichofanya yule jamaa ni uhuni mtupu. Huwezi kumpiga ngumi kocha wa timu pinzani, ni ukosefu wa nidhamu kwa...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Hakuna timu nzuri kwasasa East Africa zaidi ya yanga hii. Watu wengi watanibishia kwasababu ya ushabiki wao Lakini naomba ni waambie kitu. Mwaka 2022 niliwahi kusema Tanzania wanasubiri yanga...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
Kama kipindi ambacho Simba haizungumzwi kwenye midomo ya watu na vuombo vya habari basi ni katika kipindi hiki haswa zaidi katika mwaka huu. Zipi sababu zimepelekea Yanga SC kuwazidi Simba SC kwa...
4 Reactions
59 Replies
4K Views
Nasikiliza UFM kupitia kipindi Cha u live mtangazaj anasema Bruno Gomez n mwananchi je Ni kweli ? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…