Kinachoendelea sasa hivi hapo uwanja wa kaunda katika sherehe za ubingwa wa Yanga ni udhalilishaji mkubwa na unajisi wa jina la Simba unaofanywa na aliyekuwa anajidai ni shabiki wa Simba, Diamond...
Chama cha soka nchini Tanzania kimeachia majina rasmi ya wachezaji wa Tanzania ambao watashiriki kwenye mechi za kuwania ushiriki wa mashindano ya AFCON 2023 dhidi ya Niger.
Sina shaka kusema Simba ndio kati ya timu zenye kashfa za kuhonga wachezaji au marefa hapa Tanzania.
Ukianza saga la Kabwili hili liliisha bila kujua hatima yake, Kabwili aliyewahi kuwa golikipa...
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ameshuhudia Timu ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (Tanzanite) ikiibuka na ushindi wa vikapu 69-34 vya Timu ya Taifa ya Eritrea.
Mchezo...
Klabu inapenda kuutangazia umma kuwa, tenda ya Jezi za Simba SC kwa msimu wa 2023/2024 inakwenda kwa...
SANDALAND THE ONLY ONE
Na hadi muda huu, Jezi zipo tayari zinasubiri kipenga ila tuanze...
Hii itasaidia sana kudhibiti vyombo vya habari na waandishi wa hovyo
Wafanye kama alivyofanyaga manji kuzuia vyombo vya habari ya mengi kuandika kuhusu yeye
Kwa kuanzia waanze na kuzuia Efm na TVE...
Nataka niwaambie kuwa,kauli za kibaguzi za mhandisi Hersi,kiburi cha pesa na nguvu ya wanasiasa walio nyuma yake,dhidi ya wachezaji,ni mambo ambayo yameleta utisho wa wachezaji kutotamani kucheza...
Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.
"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu...
Kamati ya Nidhamu ya CAF imeipiga faini ya USD 120,000 (takribani shilingi milioni 276) timu ya Al Ahly ya Misri kutokana na matukio yaliyojitokeza katika mechi yake dhidi ya Al Hilal ya Sudan...
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga ni kuwa Kocha wa kikosi cha Wanajangwani hao, Nasreddine Nabi amemaliza mkataba wake na ameamua kuondoka kwenda kutafuta maisha mengine.
Yanga...
Hawa wachezaji wanahusishwa kuondoka wote ni foreigners. Wachezaji wa ndani mbona ni wengi wamefanya poa kwenye hizi games za CAF?
Maana yake ni nini? Nikichogundua ili uwe marketable Kuna haja...
Tunaomba muweke takwimu sawa kwenye website yenu ili kumaliza ubishi na uzushi.
Tuelezwe ligi ilianza lini rasmi ukiacha yale mashindano ya bonanza kama ndondo.
LIONEL Messi amethibitisha kuwa “hafikirii” kama atacheza Kombe lingine la Dunia baada ya kuiongoza Argentina kutwaa ubingwa wa mashindano hayo mwaka jana nchini Qatar.
Messi ambaye ana umri wa...
Mji kuitwa Jiji sio lelemama. Jiji huwa na vitu vingi sana kuliko mji na halmashauri. Unapoona jiji linashindwa kuwa na timu ya ligi kuu ni ama hilo Jiji limeharakishwa kuitwa Jiji kisiasa au...
Nipo hapa Johari Rotana kama moja ya wahudhuriaji. Nipo hapa kuwaletea kinachojiri
Ahmed yupo Live kutuambia nini kitakachojiri.
Sundaland anatangazwa kama mzalishaji na msambazaji wa jezi za...
Ni ajabu na kweli mashabiki na wanachama wa simba pamoja na viongozi wao wamebaki kuiongelea yanga muda wote na kusahau kabisa ya kuwa wanaitaji kuijenga timu yao ambayo imetoka kapa misimu 2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.