Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nikifuatilia ligi kuu ya Uingereza naona matimu makubwa kama Man utd, Chelsea, Man City , Arsenal nk yanavyoteseka bila kujali ukubwa wao kwa wingi wa Mashabiki na Fedha . NImegundua wenzetu wa...
1 Reactions
2 Replies
391 Views
Sioni kama tunatafuta mbadala ya hawa group stage failure. Wanasubiri tu waje kushindana na teams kama GOPCO waoneshe ufundi wao. Na Singida big stars, Ihefu, na JKT au DODOMA JIJI. Huku...
2 Reactions
17 Replies
579 Views
Ni dhambi kuisema laana hadharani? Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao...
13 Reactions
47 Replies
2K Views
Morocco imechaguliwa kuwa Makao Makuu ya Chama kipya cha vilabu vya Afrika kinachoongozwa na Eng.Hersi Said. Baada ya mchakato wa ushindani wa zabuni uliohusisha Afrika Kusini, Morocco, na...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari zenu humu ,wale wapenzi wa DRAFT ,ilifanyika ligi ya MABINGWA wa draft unaowajua wewe hapa TZ ,pale Java Lounge Bingwa aliibuka dogo SISCO Mashindano yalianza na hatua za makundi Katika...
6 Reactions
105 Replies
2K Views
Halafu ni nani aliyewaambia kuwa Siku hizi duniani kuna Siri? Halafu kumbe hata Kocha nae Saidi Ramazani (Side Rama) aligombana nae?
2 Reactions
22 Replies
1K Views
https://youtu.be/BZB6rljfkYY?si=6ee7oqYVPJM5tel8
2 Reactions
7 Replies
423 Views
Mshambuliaji wa Bayer Leverkusen, Victor Boniface ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermin wa Norway, baada ya miaka minne ya uhusiano. Kuvunjika huko kulichangiwa na kutoelewana kuhusu masharti ya...
1 Reactions
6 Replies
545 Views
Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu. Leo tunashinda. Ubao...
12 Reactions
76 Replies
2K Views
Kupitia mitandao yao ya kijamii, Yanga imetangaza kwamba wamepata misiba miwili ya mchezaji wake mmoja na kocha wao kupoteza wazazi wao. Katika kumbukumbu zangu za haraka, hii ni baadhi ya misiba...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Wakili Madeleka ametangaza Nia yake kumpeleka pingamiza mahakama ya uraia wa wachezaji 4 wa Singida Black Stars ambao walipewa uraia wa Kimagumashi Nakukumbusha Madeleka huu uhuni watangulizi...
1 Reactions
23 Replies
977 Views
Leo umechezwa mchezo wa Fainali wa Bonanza la Kumbukizi ya Kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia katika dimba la Nelson Mandela Wilayani Sumbawanga ukizikutanisha timu ya...
1 Reactions
6 Replies
194 Views
Beki wa Tanzania anayecheza nchini uturuki akiwa na timu ya Goztepe SK, Novatus Dismas Miroshi amefaulu kujinasua kutoka kifungo cha kukalia benchi na kuanza kuaminiwa kuanza. Leo amefunga goli...
2 Reactions
16 Replies
755 Views
Kila mwenye akili timamu lazima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star 1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken...
13 Reactions
54 Replies
3K Views
Kipande cha Sheria ya Uraia Second Schedule (Section 9(1)) Conditions for citizenship by naturalisation 1. Subject to the provisions of the next following paragraph, the qualifications for...
8 Reactions
30 Replies
849 Views
Kocha wa yanga Side azungumzia jinsi walivyojipanga kuzichabanga teams nyenzao itakazokutana nazo katika Kombe la Shirikisho la CRDB. Kocha amezungumzia umuhimu mkubwa wa kombe hilo na jinsi...
5 Reactions
20 Replies
838 Views
Mzize bado anajitafuta haujafika anakokwenda. Ana duka la nguo ambalo lilikuwa halibagui wateja lakini sasa bundi (Ally) kaenda kuligeuza liwe duka la kijana liwe la Yanga na wanayanga tu. Ally...
11 Reactions
31 Replies
2K Views
Leo Yanga tumemfunga Capco goli 5 Lakini mtani amenuna eti Capco kavunja record yake ya kufungwa 5na Yanga Simba alifungwa 5 hataki timu nyingine ifungwe goli 5 Mechi ijayo tutawafunga 10
0 Reactions
78 Replies
1K Views
Match Day Leo, Mnyama Simba SC atakuwa dimba la KMC Complex akicheza na Kilimanjaro Wonders, mechi raundi ya tatu CRDB Bank Federation Cup. Mnyama amesema mechi hii ni ya kuwapongeza wachezaji...
9 Reactions
108 Replies
6K Views
Mzuka Wanajamvi! Itakuwa bonge la Mechi. Ngumu kwa shabiki wa mpira kukosa kuangalia na kufuatilia. Hii mechi ya ligi kuu uingereza ni ya kusisimua ni Tottenham Hotspur vs Mancity ambayo...
9 Reactions
135 Replies
7K Views
Back
Top Bottom