Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hiki ndio kinakwenda kutokea huko ugenini tarehe 03/06/2023. Yanga ushindi ni popote ugenini au nyumbani. Waarabu hawataamini kama ilivyotokea kwa wale Waarabu wa Tunisia. Goli moja walilopata...
12 Reactions
51 Replies
2K Views
"...Mvua imetuchanganya...Mvua tukienda Halftime na yenyewe inaenda Halftime, Timu zikirudi kutoka vyumbani Mvua na yenyewe inatua... Yanga tukishambulia Mvua inakua kubwa...Wakishambulia Waarabu...
3 Reactions
11 Replies
493 Views
Kuna watu wanacheka saana Yanga Na kusema safari kwisha. Nataka tu niwaambie Yanga sio kama Simba. Mimi Nina 100% Yanga anakwenda kupindua matokeo ugenini Kuna uwezekano mkubwa mechi ya round ya...
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Kocha Mkuu wa USM Alger Benchikha Abdelhak amesema bado ni 50 kwa 50 kwa kikosi chake kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika, licha ya kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Young...
0 Reactions
7 Replies
756 Views
Timu zitakazochukua ubingwa mashindano ya CAF 2023 1. CAF confederation cup USM ALGER Bingwa atamfunga YANGA fainali. 2. CAF champions league AL AHLY Bingwa atamfunga MAMELODI fainali.
8 Reactions
30 Replies
3K Views
Nipo hapa kuueleza umma kwamba mimi nisiwe mnaa. Furaha yangu kwa Utopolo kula kichapo haiwezi kufichika kwa uzalendo uchwara. Nawaombea mkienda huko Algeria mchakazwe kama mbwa koko mkirudi...
34 Reactions
88 Replies
5K Views
Kocha nabi ndo mtu anaeshinikiza kwa nguvu zote kutokuondoka kwa Feisal, anajua uwezo wa Fei na anajua umuhimubwake ndani ya kikosi na anajua hakuna mchezaji anaefikia nusu ya uwezo wa fei kwa...
8 Reactions
21 Replies
1K Views
USM Alger hawana mpira wa kuwafunga yanga Nimecheki game Yao Leo na asec mimosa Nafikiri asec mimosa wangekuwa Na washambuluaji wenye speed kama fiston mayele , kisinda Na wengine basi Hawa...
9 Reactions
30 Replies
4K Views
Mpaka tutambue hili, hakuna maendeleo ya maana kisoka yatapatikana. Matokeo ya jana pamoja na Taifa Stars v Uganda mwezi uliopita ilikuwa ni funzo lakini bado hatutaki kuelewa.
0 Reactions
5 Replies
440 Views
Kuna Mtu anakujua ndani nje aliwahi kuniambia kuwa Sifa yako Kuu ni kuwa Mnafiki na mwepesi Kununuliwa na Kusaliti nikawa namkatalia ila kwa Upuuzi ulioufanya leo kwa Kuvalia Jezi ya Yanga SC huku...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Nashauri hiyo hela (Gharama) ya Ndege kuwapeleka wachezaji wa Yanga SC na wanachama wao nchini Algeria katika Mechi ya marudiano itumike katika kusaidia Mambo mengine Muhimu ya Kimaendeleo na...
13 Reactions
51 Replies
3K Views
Caf confederation cup ni michuano ya wachovu!! Hata timu iliyotolewa mapema tu uko caf champions league, lakini akirudi kwa wachovu anafika fainali!!
3 Reactions
5 Replies
801 Views
Habari za weekend wadau wa soka na mashabiki wa mpira Tanzania pamoja na East Africa kwa ujumla. Yakiwa yamebaki masaa machache kabla ya mchezo wa final ya kwanza ya Caf confederation cup pale...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Wasimamizi wa mirathi ya mvua wanasema mkileta fyokofyoko tena kuita watu"andazi" wataiamsha tena kulekule mnakokwenda mkapigwe tena😂😅
3 Reactions
7 Replies
988 Views
Habari wadau Nilikuwa napendekezo kwa shirikisho la mpira Afrika (CAF), mashindano yajayo kwenye Champions na Federation, timu zishinde kwa juhudi zake bila kuongezewa GOLI zinapoenda ugenini. Na...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
USMA walijiandaa zaidi ndani na nje ya uwanja kuikabili YANGA SC, ila YANGA SC wao mbali na kujiandaa kumkabili mwarabu, pia waliweka jitihada zao za ziada kumkomoa SIMBA SC. Kwa mantiki hii...
2 Reactions
10 Replies
767 Views
Poleni sana Wananchi kwa kupoteza mchezo jana. Naamini nafasi bado ipo kama mtaenda na mipango na mbinu sahihi ugenini. Nikirudi kwenye mada hapa, shida yangu ipo kwenye namna ya ahadi ya Rais...
1 Reactions
6 Replies
772 Views
Najua mnae wa Kucheza Mechi zenu za Ndani tu ( NBC Premier League ) kutoka Kilosa Morogoro na mnae yule wa Kucheza Mechi zenu za Kimataifa tu atokaye Uvinza Mkoani Kigoma ila kwa kupenda Kwenu...
5 Reactions
4 Replies
543 Views
Simba tuache wivu wa kipumbavu, hii mvua tunajuwa wazi siyo swala la season Bali ni wivu wa kijinga tu kuharibu Burudani ya Kihistoria. Acheni hizo bana, ushindi wa Yanga ni heshima kwa Taifa...
11 Reactions
52 Replies
2K Views
Matumaini yangu ya Yanga kuchukua ubingwa yameshuka mpaka asilimia ishirini (20). Kiufupi wachezaji wamecheza chini ya kiwango hata MORALI usoni mwao ilikua ndogo kabisa. Ukitazama goli la pili...
9 Reactions
97 Replies
6K Views
Back
Top Bottom