Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kila la Kheri mno Yanga SC na Kila la Kheri sana USM Alger FC leo.
1 Reactions
6 Replies
627 Views
Yaaani pale nyuma vimejaa vimbilikimo alafu vinaongozwa na li ngongoti hata kuruka haliwezi, kwanini msile kichapo tu!
1 Reactions
22 Replies
889 Views
Katika dunia ya leo ambayo ustaarabu upo kwenye kiwango cha juu mambo ya hamasa kwenye michezo hususani mpira yamepewa nafasi ndogo sana. Mpira ni mchezo wa medani unaitaji mikakati, mbinu na...
0 Reactions
3 Replies
312 Views
Mwarabu hajawahi kuwa ndezi kwenye vitu serious, eti tunaenda kumfunga kwake 🤣🤣🤣
1 Reactions
2 Replies
650 Views
Chei chei. Ikitokea either kwa bahati mbaya au makusudi USM ALGER wakatoa LIPA NAMBA achangiwe nauli kurudi kwako itakuwa balaa sana.
0 Reactions
3 Replies
265 Views
Siasa kuingizwa kwenye mpira, mpira huharibika. Sidhani kama Yanga ingeshindwa jaza uwanja. Wanasiasa wamechukua point, mashabiki wanateseka kwa kuuziwa tiketi kwa 15000/ Watu walio taifa ni...
6 Reactions
18 Replies
894 Views
Nishukuru Yanga kufungwa maana kama wangefunga kelele mpaka maiti wangesikia. Asante USM Algers
5 Reactions
16 Replies
682 Views
Pazia la EPL linaenda kufungwa jumapili hii. Bingwa ameshapatikana ambaye ni Man City. Top 4, timu zishapatikana ambazo ni Man City, Arsenal, Newcastle United na Man Utd. Kimbembe kitakuwa kule...
9 Reactions
40 Replies
2K Views
Kuelekea uchaguzi wa mwaka elfu mbili na ishirini na tano (2025) Kila ninapopita mtaani naona vijana wamependeza na jezi zenye maandishi ya DIWANI CUP, MBUNGE CUP, JIMBO CUP nk. Vijana wanafanya...
0 Reactions
2 Replies
239 Views
Hii habari ya kuleta mapicha ya Rais na mwenyekiti wa CCM uwanjani ni mchezo mbaya sana. Mpira ni mpira na siasa ni siasa. Msiwagawe wa Tz kwa kitu pekee kilichobaki kuwaunganisha. Kesho mtu akija...
2 Reactions
5 Replies
366 Views
Mtani Hana uzalendo na wanautakia Yanga ushindi kwa shingo upande huku moyoni mwao kumejaa makando kando (chuki ) maana mashabiki wa Simba wanatambua Yanga akichukua kombe itakua kelo kwao. Na...
2 Reactions
8 Replies
526 Views
Kama jibu ni ndiyo basi GENTAMYCINE nichukue nafasi hii kuwatakia kila la kheri ila kama Kawaida (kwa Unafiki Wetu tuliobarikiwa nao) Mdomoni naungana nanyi Waswahil, ila Moyoni nipo na Mwarabu...
3 Reactions
9 Replies
764 Views
Kwema wadau? Nawaona hapa Yanga,...dizain kama Wana wasiwasi hivi!..ukiwatizama usoni ,nyuso zao kama watu wenye woga, hofu na mashaka....nyuso zimejaa simanzi! ...Nasikia Mayele hachezi leo eti...
1 Reactions
54 Replies
2K Views
Baada ya matokeo ya leo aliyoyapata Yanga watu wengi tutapata misongo na depression kwa sababu hatukuzoea. Rai yangu kwa watanzania wote, tuchukue tahadhari ya hali ya juu tusije kuleta maafa...
0 Reactions
2 Replies
269 Views
Goli la kwanza ni penati goli la pili ni counter attack moja matata sana. Imeisha hiyo
2 Reactions
14 Replies
740 Views
Wote tunajua capacity ya uwanja wa Mkapa ni 60,0000. Ila ninavyojua Selcom hapa tiketi zitauzwa zaidi 70,000 na milango itachelewa kufunguliwa ili wengine wachelewe na kuambiwa uwanja umejaaa...
2 Reactions
3 Replies
552 Views
Juzi tumeona kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha timu ya USM Alger ikiwasili JK Nyerere International Airport ikiwa na shehena ya Maji ya kunywa na pia inasemekana walibeba na vyakula vyao...
10 Reactions
51 Replies
4K Views
Lionel Messi amefunga goli moja wakati timu yake ya Paris St-Germain ikitangaza ubingwa wa Ligi Kuu ya Ufaransa ‘Ligue 1’ licha ya sare ya 1-1 dhidi ya Strasbourg. Goli alilofunga Messi...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Mpaka Sasa mashabiki ni wengi kufikia hatua ya kuvunja geti na kuingia na hiyo inatokana na utendaji mbovu wa pale getini. Kama timu imetangaza kuwa tiketi zote 60000 zimeuzwa watendaji walipaswa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
MUHIMU: Hawa wahusika wameguswa na mafanikio ya yanga na ni wao kwa hiari yao wameamua kushow love wameongeza hamasa kwa kuwanuulia mashabiki tiketi, wala hawakuombwa wala kulazimishwa. Rais...
25 Reactions
121 Replies
7K Views
Back
Top Bottom