Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

[emoji471] 2004 - [emoji1110] Heart of OAK [emoji471] 2005 - [emoji1173] FAR Rabat [emoji471] 2006 - [emoji1249] ES Setif [emoji471] 2007 - [emoji1249] CS Sfaxien [emoji471] 2008 - [emoji1249] CS...
11 Reactions
19 Replies
2K Views
Suma jkt na tff lazima wabebe lawama hii kulikuwa na haja Gani ya kutumia polisi ..maji ya kuwasha na virungu kwa raia wasio na hatia na viingilio wamelipwa?
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Kwa mujibu wa Yahaya Mkazuzu wa Clouds Fm anadai kuwa mashabiki waliokuwa wamechoshwa na kukaa kwenye foleni huku utaratibu wa kuingia uwanjani ukiwa haupo vizuri, basi mashabiki wakavunja geti na...
7 Reactions
53 Replies
5K Views
Timu ya Yanga SC kupitia kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii imetangaza kuuza tiketi zote za mchezo wa fainali ya #CAFCC ikiwa imesalia siku moja tu kabla ya mchezo huo dhidi ya USM Alger...
10 Reactions
81 Replies
4K Views
Naam Khalid Aucho ataukosa mchezo wa fainali dhidi ya USM ALGER kutokana na kadi za njano mfululizo. "Tunasikitika kumkosa Khalid Aucho kwenye kikosi lakini tumeongea naye atatumika kuleta...
2 Reactions
14 Replies
906 Views
Hii michuano ilileta sana msisimko kipindi kile na kuibua vipaji. Je, imepotelea wapi? TFF inampango gani na kuirudisha michuano hii?
1 Reactions
9 Replies
417 Views
Ninachokishuhudia hapa benjamini mkapa ni rekodi ya aina yake kwa nyomi ya mashabiki waliojazana hapa, na bado barabara ziko bize uelekeo ni benjamini mkapa, hakika ni mechi ya kihistoria...
20 Reactions
47 Replies
3K Views
Yaani kile kitoto naanza amini kweli siyo riziki. Mgunda ni moja ya makocha ambao wana busara sana hapa nchini. Toka namfahamu sijawahi msikia akiizungumzia Yanga vibaya Amekuwa na heshima kwa...
19 Reactions
41 Replies
2K Views
Leo natabiri hivi.. Dakika ya 7 kuna goli. Jezi namba 7 inafunga goli. Kuna goli 7. Nitakasea kidogo tu. Rangi ya bahati ni njano(saffron).. Wananchi tunaenda kuishangaza dunia leo
4 Reactions
8 Replies
630 Views
Ligi imekosa mvuto, timu moja inachukua kombe kwa miaka 11 mfululizo kwa kutumia mbinu za kupora wachezaji wazuri kutoka timu pinzani Kwa mbinu hii pengine inaweza kuchukua ubingwa hata mara 20...
8 Reactions
34 Replies
2K Views
BAADA YA KUDHIHAKIWA NA ALIKAMWE, JUMA MGUNDA AMPA JIBU 🗣️"Yanga ni Club yetu pekee Tanzania inayotuwakilisha kwenye fainaly hii ya CAF na kwa bahati iliyonjema inacheza na Club Inayotoka nje ya...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Tajiri Asiye Bahili & Mwenye roho safi leo mchana amepata fursa ya kuzungumza na wachezaji kielekea mchezo wa kwanza wa fainali ya CAFCC. Katika Kikqao hiko kifupi Ameahidi wachezaji kwamba kila...
37 Reactions
155 Replies
9K Views
Hakika elimu ni ukombozi wa maisha. Ukiwa umeelimika inakuwa sio rahisi mtu kukushikia akili, ukiwa na elimu sio rahisi kuendeshwa kama gari bovu, ukiwa na elimu sio rahisi kutumiwa kwa maslahi ya...
32 Reactions
270 Replies
9K Views
Nahodha na beki wa timu ya Taifa ya Nigeria U20 inayoshiriki World Cup ya U20 huko Argentina, kinda mwenye miaka 17, Daniel Kolocho Bameyi imebainika kuwa alidanganya. Imezoeleka wachezaji wengi...
1 Reactions
1 Replies
604 Views
Hapo jana jioni makachero wa Mashujaa FC wamebaini mauzauza waliyofanya timu ya Pamba FC kwenye uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza kwa kuchimba sehemu za uwanja na kufukia Ndumba. Maeneo ambayo...
1 Reactions
13 Replies
844 Views
Football Accumulator Tips for 29-11-2018 Here is the Free Football Acca Tips for today 29-11-2018 Easy football accumulator tips of the day – Fill your bet coupon with this football acca, we...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jambo Jambo? Nakumbuka kipindi kile kama sikosie kampuni ambayo ilikuwa miongoni mwa makampuni ya awali ya michezo ya kubahatisha “Kubeti” ilikuwa ni M-BET, MERIDIAN na kadhalika. Kama ilivyo...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Pelly Ruddock Mpanzu (amezaliwa 22 Machi 1994) ni mwanasoka wa kulipwa ambaye anacheza kama kiungo Katika klabu ya Luton Town Ambayo Imefanikiwa Kupanda Ligi Kuu ya Uingereza Msimu ujao. Pelly...
7 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna shida hii klabu
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Picha: Abubakari Salumu (Sure boy) Naam, kiungo bamia kiungo lainishi fundi huyu kutokana na kupenda kula urojo kule zenji kwa mzee kaju, basi wachezaji wenzake wakambatiza jina la "babu kaju"...
5 Reactions
6 Replies
645 Views
Back
Top Bottom