Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni siku ya kipekee siku ya kihistoria katika soka la nchi yetu ambapo tunaweza kushuhudia timu kutoka Tanzania kwa mara ya kwanza ikitinga hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho barani...
17 Reactions
1K Replies
46K Views
Nyuzi Nyingi sana zinaandikwa kuisifia Simba eti ni kubwa Afrika na jana imeonyesha kua ni giant😂😂. Machizi kweli nyie na kama unasoma huu uzi una hilo wazo huo ni uchizi pia. Hivi Team gani...
20 Reactions
99 Replies
5K Views
Mpira wa leo ama kwa hakika ulikuwa wa hesabu za kutotumia akiba yote, Nabi alifunga full busta ugenini ili kumaliza kazi mapema na hesabu zake zimemlipa leo. Leo hii Yanga wamecheza mpira wa...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Hii timu kwa msimu huu imezidi kuwa tishio kwenye CAF champions league. Uwanjani wanakupa kila unachokitaka, mpira mzuri, umiliki wa mpira, magoli mazuri na matokeo mazuri. Naweza kusema...
8 Reactions
36 Replies
2K Views
Kila mtu anajua kuwa Mmii mwarabu feki ni shabiki wa kutupwa wa Mnyama Simba S.C na Hilo nimelithibitisha Kwa nyuzi zangu nyingi humu jamvini. Kitendo cha Yanga kutinga nusu fainali ya michuano...
2 Reactions
12 Replies
785 Views
Katoka fuatilia yangu ya hivi karibuni, nimegundua historia fulani ya mafanikio ya Simba ama imesahaulika au inafichwa kwa maksudi. Wengi wamejikita kwenye mafanikio ya mfululizo ya kufika robo...
7 Reactions
39 Replies
16K Views
Poleni sana kwa maumivu makubwa licha ya kufanikiwa kulinda magoli yenu mliyoshinda ugenini. Wengi mlitarajia leo mtashinda angalau goli 3 ili kuwapungunzia maumivu ya michomo miwili ya kibabe...
1 Reactions
9 Replies
650 Views
Hizi M10 za mama walijua nini kama hakutakua na magoli...???
1 Reactions
5 Replies
591 Views
Njia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi. 1. US Monastir 2. Young Africans SC 3. Real Bamako 4. TP Mazembe...
22 Reactions
75 Replies
5K Views
Mechi mbovu kabisa kuwahi kuiona maishani mwangu.. Itoshe kusema Yanga ni kikundi cha vibaka na panya road Povu ruksaa
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Huyu mwana jangwani wa kweli. Mwenye mapenzi na timu na kiboko ya simba. Nimefurahi leo kumuona uwanjani. Natamani hisa za Yanga zikianza kuuzwa na yeye anunue za kutosha.
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Kusema ukweli arsenal ni timu ya kawaida na ya wavulana na upepo umewaendea vizuri Pamoja na ubovu wake arsenal odds za kuchukua ubingwa zipo kwake zaidi kuliko manchester city Hizi ndio sababu...
1 Reactions
3 Replies
617 Views
Habari zenu.. Kwanza pongezi ziende kwako kocha wetu nabii,mechi ya kwanza uliwasoma wapinzani ukawatandika 2 wakiwa kwao,Leo hii umeona ulinde ulicho nacho.. Nakusifu kwa kuwa bingwa wa kusoma...
5 Reactions
3 Replies
694 Views
Wananchi ni wazi tupo kinywani mwa Galants, vipi kutoboa kupo kweli au tusubiri kutimiza wajibu maana Rivers jinsi walivyocheza leo ni kama hawakuhitaji ushindi au ni timu ya kawaida ukilinganisha...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Yanga itacheza dhidhi ya Marumo Gallants FC ya Afrika Kusini katika hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Marumo Gallants ipo nafasi za mwisho ligi kuu ya Africa kusini ila imeweza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii nchi imelaniwa, hivi nchi hii yumefanikiwa kwenye nini sasa? Kila kitu hatuwezi mpaka taa tu jamani zinazima!! Hii ni aibu sana. Ni halali wazungu watutukane tu sisi ni wapumbavu, Kama vitu...
1 Reactions
6 Replies
473 Views
Kumbe nia yenu Kuu na Juhudi zote mlizofanya Wiki nzima kabla ya kukutana na Rivers United FC leo ni kutaka tu Mashabiki wenu AKILI HAMNAZO waujaze tu Uwanja wa Mkapa ili mpige Pesa lakini siyo...
0 Reactions
2 Replies
438 Views
Young Africa Again michuano ya klabu barani Afrika nae YANGA yumo, timu pekee kutoka Afrika Mashariki nayo ni YANGA, timu pekee kutoka Ukanda wa maziwa makuu nayo ni YANGA, timu tatu kutoka Kusini...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za jioni. Utabiri wangu ndio huo. Simba na Yanga mechi itaisha kwa matokeo ya sare Pia simba atatolewa na Waydad kwenye ligi ya mabingwa barani africa. Na Yanga nayo itatolewa na...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Ushindi huu ukawe somo kwa mabingwa wapya wa robo fainali 2022/23 CAF "Makolo SC". Msimu uliopita walitumia hadi uchawi ili kufuzu nusu fainali ya kombe la shirikisho. Lakini waliishia pale...
1 Reactions
0 Replies
602 Views
Back
Top Bottom