Ni msimu mwingine wa Ligi ya Mabingwa Africa. Leo hapa nyumbani Tanzania ni sikukuu kwa wapenda kandanda hasa soka la kuvutia, Samba Loketo.
Wawakilishi wa Tanzania, katika michuano ya Ligi ya...
[emoji3][emoji3]
Huwa nahisi wanayanga mnaonewa ila kumbe ni nyie ndo mnazingua.
Kabla ya game ya Leo mlisema Mnyama atakufa goli nyingi tu, baada ya game mmebadiri gia angani kwa kudai Wydad...
Thamani ya kikosi, ubora na ukubwa wa Wydad ilitegemewa Wydad wangepata ushindi mnono wa zaidi ya goli tatu lakini haikuwa hivyo.
Well done kwa Simba hakika wameonesha uwezo mbele ya Wydad AC...
NALIA NGWENA the big fan of Simba sc (shabiki Lia Lia).
Nimeona itakuwa siyo desturi/ utamaduni mzuri Kama sijaimwagia/ kuipa maua yake Simba sc.
Hakika inastahili kupewa maua yake tusisubiri...
Baada ya mchezo wa simba vs vipers zimeibuka nyuzi humu za kuanza kumpamba chama, yaani Kama hufatilii mpira wa bongo unaweza ukadhani ronadinho amezaliwa bongo au mess kaja kucheza simba kwa...
Bahati nzuri na bahati mbaya zipo kwa uiwiano na kiwango sawa kutokea. Kama Yanga walikuwa na bahati kuzitumia nafasi zao 2 kupata mabao, hivyohivyo Rivers wanaweza kubahatika kugeuza nafasi...
Bila kupepesa macho NALIA NGWENA naweka pembeni ushabiki wangu natoa ya rohoni nakuwapa maua wachezaji vitasa waliokipiga kwa kujitoa kwa asilimia moja.
Kwanza nimpongeze Mzamiru Yasin (kiungo...
Hello bosses and roses.
Huyu kijana anachezea Memphis ni hatari, aina yake ya mchezo ni ngumu sana kuiona kwa wachezaji wengine sasa na miaka kadhaa iliopita. Na bado ni kijana mbichi, 23 years...
Ndiyo ni kweli tumetolewa rasmi Robo Fainali ya CAFCC lakini kilichofanyika na Wachezaji wa Simba SC ni zaidi ya Ushujaa hivyo waitwe Bungeni kupewa Heshima ya Ushujaa.
Hongereni mno na Asanteni...
Cheka sana lakini Omba yasikukute!
Sababu kuu ya kusajiliwa mwalimu Robetinho ilikuwa ni kuifanya Simba ifuzu nusu fainali kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika.
Yeye mwenyewe (Robetinho)...
Msimu ndio unakaribia kuisha hivyo na kijana huyu kaweza kutupa surprise ya aina yake ligi ikiwa ukingoni
1. Tp Mazembe watamtaka arudi congo ?
2. Atabaki Simba ?
3. Yanga watatumia nguvu ya...
Tofauti na umahiri wake wa kufunga
Nimetambua Fiston Mayele pia ana nyota kubwa ya umaarufu.
Beleke amesumbuwa saana kwa siku hizi za karibuni lakini hakuna kituo chochote kikubwa cha televisheni...
Kuna watu wanadiriki kumfananisha Mayele na Jenerali Phiri, Mayele ni mshambuliaji na Phiri ni winga.
Phiri kupambana na Mayele kwa idadi ya goli ni heshima sana kwake.
ANAANDIKA EMMANUEL MALIMA
TWENDE NA DATA
MICHUANO ya Kombe la CAF, ilikuwa ni michuano maalumu ya kila mwaka, iliyoanzishwa na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kwa kuzishirikisha timu...
Kwanza hongera simba.
It was giant against giant na kila shabiki wa mpira ameelewa hilo.
Underdog? Kwangu hapana hata Wydad walijua game hii ina maturity test na majukwaa ya mashabik wao...
Kuna kila dalili magoli ya jumla kuwa date kati ya Simba na Wydad Casablanca hivyo kusababisha njia nyingine ya kuamua matokeo katika mchezo huo, ni muhimu sana Simba kujipanga kwa jambo hili...
Simba Ndio wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye club Bingwa Africa Kwa Sasa
Anayebeza mafanikio ya Simba
Akaanzishe team yake, aipeleke fainali na sio kulalamika tuuu
Vita ya Mchungaji Mashimo na timu ya Yanga imeingia Episode nyingine.
Kwenye video moja amesikia akitoa maneno makali kwa Ali Kamwe na Haji Manara. Namnukuu.
“Leo ndo nimejua kuwa Yanga...
Simba Sports Club among the top five African Clubs is nearly to execute the "Operation Casablanca" in few minutes to come.
The surprise "packaged mission" is embedded in the Super African...
"Mchambuzi" wa soka Kumwembe ambaye hana historia ya kucheza soka kwa kiwango hata cha kati alisema: "Hata kama Simba itashinda goli 3-0 hapa kwa Mkapa, bado haitoweza kusonga mbele”
Naamini hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.