Tanzania tuna vijana wazuri wanaojua Mpira ila tu hatuwazingatii kwakuwa wanacheza timu za daraja la kati.
Kuna huyu dogo kiungo wa coastal union wa chini Saimoni Likomb ni anajua ball kweli...
Yaani kama vile jamii ya Tz kwa sasa ilivyokumbwa na wimbi la kutisha la machawa pro max basi kuna hawa viumbe wanaojiita wachambuzi , kwa kweli ile sheria ya degree ianze tu hiyo December labda...
Mechi mbili za Wydad Casablanca dhidi ya As vita ya Congo limepatikana bao 1 tu , tena bao hilo lilifungwa pale MOHAMED V STADIUM .
As vita amemaliza akishika mkia kwenye kundi A , yani ina...
Pambano ni Jumapili tarehe 9 April, 2023. 5:00 AM GMT
Israel Adesanya aka The Last Stylebender
Record: 23-2-0
HEIGHT: 6' 4"
WEIGHT: 185 lbs
REACH 80"
STANCE: Switch
DATE OF BIRTH: Jul 22...
Asernal wasahau kabisa kuhusu kuchukua kikombe, mechi zidi ya man city atapigwa wima, goals difference zinampa ubingwa city, kikombe ambacho mtabeba arsenal labda ya uji wakati wa kufuturu😅😅😅😅
Sikumuona Profesa Nabi Lubumbashi mechi na TP Mazembe, na leo simuoni mechi na Geita bado Kaze ndio anaongoza timu.
Sina mashaka yoyote na Kocha Kaze maana kwa hadhi yuko hadhi sawa na Nabi kocha...
📝
"Nilikua siijui Simba, nimekuja kuijui baada ya kupangwa na Raja Casablanca kwenye makundi,Kwa jinsi nilivyoiona mechi mbili na Raja,inabidi mashabiki wao wazidishe maombi"
Juan Carlos Garrido...
Kwa wale Watu wa Mpira Wenzangu hasa mnaokuja kucheza Ndodo na Mechi za Veteran Kinesi na Barafu ni matumaini mnamjua huyu Mchezaji wa Geita Gold FC ni Mnazi tukuka wa Klabu gani Kubwa hapa...
Haya wale wazee wa outfits ukiitaka mzigo usikae dukani.
Watu wengi wanavaa jezi kama mtoko na jezi zinazotamba sana kwa sasa ni;
1. Barcelona (ule uzi rangi ya gold na poster ya spotfy ni...
CAF champions league ndo kilele Cha Mpira wa Vilabu Barani Africa
:- Au kwa Watasha unasema CAF champions league is the Pinnacle of Club football in AFRICA
:- Ni kama shule tu.Mnaweza kuanza...
Wananchi na viongozi wao wa Wilaya ya Nyasa wameamua kushirikiana kwa pamoja ili kuhakikisha ujenzi wa uwanja huo wa Michezo unakamilika kwa wakati.
Ukanda wa ziwa Nyasa umebarikiwa kuwa na...
Naaaam, baada yakumaliza ubishi Kati ya Kennedy musonda na Jean claud van Damme wa kongo yaani baleke. Sasa tutizamie Nani fundi wa mpira Kati ya Sawadogo na Mudathiri pale dimba la Kati?
Simba...
"Yanga ndio tegemeo pekee la Tanzania kimataifa, Watanzania wana imani na Yanga inaweza kuleta Kombe la CAF msimu huu, sio timu inashiriki kimataifa ikifaka Robo ishachukua Ubingwa, tutoke huko...
Utashangaa vitimu vidogo vinavyokamia timu kubwa.Huwa inafika wakati kukamia kwao kunajibu.
Naifananisha hii timu na vitimu vidogo jinsi vinavyokamia mechi. Ndivyo hata inavyoonekana nchi...
Kwa wale ambao ni watazamaji wa mchezo wa mpira wa miguu wanajua kuna vitu vidogo sana ambavyo vinaweza kubadilisha mwelekeo wa mchezo na kubadili na matokeo moja kwa moja
Kitu ambacho kimebadili...
MOROGORO: Kocha na mchezaji wa zamani wa Pamba SC, Simba SC na Taifa Stars, Amri Ibrahim amekutwa amefariki jioni ya jana Jumamosi Aprili 08, 2023 baada ya majirani kuona hajatoka nje kwa muda...
Salam Wana jf
Katika harakati za Uchambuzi wangu Leo nilikuwa naangalia baadhi ya mechi za kimataifa walizocheza Yanga vs mechi za kimataifa walizocheza wydadi Casablanca
Nimegundua yafuatayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.