Kwema wadau? Leo kwenye pitapita zangu mtandaoni nilikutana na picha hii chini ya huyo mwamba aliyeshinda Milioni 10 kwenye kampuni moja ya kubetti mtandaoni, Sokabet.
Nilibaki najiuliza tu huyo...
Ihefu maarufu kama Mbogo Maji wamekula za uso 5 kwa 1 jana usiku ktk mchezo wa robo fainal ya kombe la azam, hata hivyo Mbogo Maji imetamba kulipiza kisasi katk mchezo wa marudiano wa ligi ya NBC...
Just thinking from unbeaten utopolo mindset ninaona kabisa iwapo Yanga tukimchukua Sopu acheze nyuma ya Mayele pembeni yao Musonda hata Barcelona wanakaa! Huu utakuwa utatu kama MSN wa Barca au...
Kwa yeyote anayehusika na uhamasishaji, ufuatiliaji , utaratibu na uratibu wa kusimamisha, upatikanaji wa uwanja, uboreshaji wa uwanja huo na upatikanaji wa timu.
Mafunzo ya timu hizo, mpaka...
Manara katika mengine sikubaliani nae ila hili la kusema kuwa huko aliko sasa wenye Akili timamu ni Wawili tu Babaake na Mstaafu wa Msoga na waliobakia Wote ni Majuha ( Fools ) nakubaliana nae...
Kwahii taarifa inayotrend ya viongozi wa Simba eti kutaka game dhidi ya Yanga isogezwe mbele kisa tu kuwepo kwa mechi ngumu wiki moja, yaani siku 7 mbele dhidi ya Bingwa Mtetezi wa Champions...
Kumbe majamaa hayajawahi kugusa robo fainali toka dunia iumbwe ndio mara yao ya kwanza,ndio maana yanavua mpaka nguo kwa kushangilia robo ya luzaz[emoji23][emoji23][emoji23]
UTOPOLO Performance...
Simba SC ina Kikosi kipana, hii mechi ya tarehe 16 hakuna kuairishwa kwa kisingizio cha Waydad!
Kuna watu kuanzia tarehe 16 watakuwa na wiki ngumu sana, huku Yanga, siku nne mbele Waarabu...
ukipata pesa atahitaji kujua kuwa umezitoa wapi, ukijaribu kumweleza wapi umezitoa atauliza ilikuwaje... ukijieleza sana atahitaji kujua mbona hukupata nyingi zaidi ya hizi 😂
Haya upande wa pili...
Yanga wapo kwenye nyakati bora sana hivi sasa, walipokuwa wanakosea walisemwa sana na wakabeba kama changamoto, wamebadilika na wapo mbali sana.
Juhudi za kuwasifia ziwe kama zile ambazo...
Mtu mmoja aliwahi kusema huwezi kuwa Shujaa kama sio mhuni,
Huenda usinielewe yaani kua mhuni ndo kua Shujaa? sizungumzii uhuni kama ule wanaofanya wapiga ngeta mitaa ya chanika na keko. Hapa...
Kumekuwa na ibuko la Threads nyingi zikiongelea Arsenal na kuiombea mabaya kutokana na mwendelezo wake katika ligi kuu ya England (EPL).
Mashabiki wengi wa Team pinzani kama vile Man u, Chelsea...
Karibu kwenye uchambuzi huu, utakuwa nami Heparin , dawa kiboko ya damu inayoganda mwilini. Twende pamoja kutoka uwanja wa Chamazi, Mbagala.
Kikosi cha Simba SC
Kikosi cha Ihefu SC
Dk 1’...
Kuna tetesi mjini kwamba simba wametuma barua TFF ili game yao na Yanga isogezwe mbele zaidi.
Haijajulikana sababu za kutaka game isogezwe mbele ni nini ila wajuvi wa mambo mjini wanasema ni...
Wakuu, kwanza nianze kusema mie ni Mkristu Mkatoliki wa Roma na jana ilikuwa Ijumaa Kuu.
Samahani kwa utangulizi huu kwani jana palikuwa na mechi ya ligi yetu saa kumi jioni wakati Wakristu...
Kipunje: Mwamuzi anayechezesha mechi akiwa na panga, shoka Dar
Refa Kipunje akiwa kazini
Summary
Pia hata mechi ngumu za Ligi Kuu England au Ligi ya Mabingwa Ulaya amekuwa akipangwa kuchezesha...
KOCHA msaidizi wa timu ya taifa, Taifa Stars, Hemed Suleiman 'Morocco', amefichua jambo akisema amezungumza na kiungo Feisal Salum 'Fei Toto' aliyeikaushia kambi ya Yanga akimtaka arejee klabuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.