Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Bondia wa Kitanzania Hassan Mwakinyo anatarajiwa kuingia ulingoni tarehe 23 Aprili 2023 katika Uwanja wa Jamhuri huko Dodoma kupambana na mpinzani wake kutoka Kongo, Kuvesa Katembo. Pambano hilo...
1 Reactions
0 Replies
837 Views
Kama title inavyosema hapo juu kulingana na performance ya Leo mechi ya Taifa stars vs uganda nmegundua yafuatayo: 1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika...
25 Reactions
173 Replies
7K Views
Kuna kufumaniwa hapa tutapigwa moja bila, mpira tunamiliki ila hatufungi. UG wanatupumulia karibu sana.
1 Reactions
5 Replies
553 Views
Joshua anayetarajia kuzichapa na Bondia Jermaine Franklin Aprili 1, 2023 ndani ya O2 Arena, jijini London ametoa kauli hiyo baada ya kuwa na matokeo mabaya ulingoni kwa muda mrefu. Bingwa huyo...
0 Reactions
2 Replies
636 Views
Mungu awatie nguvu wapambanaji wenzangu katika kutafuta mkate wa kila siku hakika amani ya bwana iwe nanyi. Naaam twende kwenye lengo kuu lakuandika huu uzi maridhawa kabisa katika sekta yetu...
7 Reactions
47 Replies
4K Views
Mafanikio ni nini? Mafanikio ni hatua ya kufikia au kuzidi malengo uliyojiwekea. Kwa lugha ya kigeni tunaita Goal Achievement. Simba tumekuwa na malengo kadhaa kila mwaka. Moja ya malengo...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Baada ya salamu Sina budi kwenda moja kwa moja kwenye point ya kichwa Cha habari hapo juu. Baada ya sub ya kutoka Mudathiri nakuingia feisal salumu, hakika bwana mdogo kawa mzito hata kwenye...
7 Reactions
40 Replies
2K Views
Wachambuzi ashakumu si matusi, twambieni The cranes watakuwa nyumbani dhidi ya taifa stars,kwanini mechi imepelekwa Misri? Kuna shida gani Uganda?
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Taribo West mchezaji wa zamani wa Nigeria kwa sasa ameokoka na ni mchungaji kanisani kwake. Kanisa lake ni la miujiza na limeanza kuwa na waumini wengi siku baada ya siku. Taribo alijipatia...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Huyu jamaa toka Hispania ndiyo kocha pekee ambae hajawahi kufukuzwa kazi team zote alizopitia. Identity ya mpira wake inajulikana kocha pekee anaefundisha kitu kinakonekana na kueleweka. KABLA...
2 Reactions
18 Replies
921 Views
"Huu ni Mwaka wa Tano na mchakato wa mabadiliko haujaisha na Bahati mbaya kuna watu ndani ya Simba wanakwamisha huu mchakato, angekuwa mwekezaji mwingine ambaye hana mapenzi na Simba siku nyingi...
5 Reactions
59 Replies
3K Views
Kila mara inapocheza Taifa stars huwa nashangaa jinsi watu wazima wenye akili wakiwa busy kusubiri kuvuna sehemu ambapo hatujawahi kupanda kabisa. Binafsi huwa sifatilii kabisa mechi za stars na...
2 Reactions
5 Replies
403 Views
Mzamiru hana ball control kumzidi Aziz Andambwile. Kelvin john hana skills kumzidi clement msize labda kilichomfanya aitwe timu ya taifa ni vile ligi ya ubelgiji wanachezea mpira wa chuma. Job...
3 Reactions
7 Replies
575 Views
Japo Kibu hana akili ya mpira lakini anakupatia kitu kinaitwa work rate. Yaani akiwepo uwanjani anakuwa na pilikapilika nyingi ambazo zinaweza kuleta matokeo chanya. Huyu Samatta ameshapitwa na...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania, umebugi sana! Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote...
7 Reactions
82 Replies
8K Views
Anaandika KENGE, Mamlaka ya kutunga sheria za mpira wa miguu IFAB imetunga sheria mpya baada ya maboresho na malalamiko kwa wachezaji kwa baadhi magoli kipa kuwavuruga kisaikolojia kabla ya...
5 Reactions
32 Replies
6K Views
Uzi huu ni mahususi kwa waganda wenzangu waliopo humu jamii forum na pia kwa mashabiki na watu wote wenye mapenzi mema na Uganda. Kesho tunacheza na kibonde wetu Tanzania( Taifa stars) huko...
3 Reactions
48 Replies
2K Views
Imeandikwa kwenye ukurasa wa Shaffih Dauda. Muda mwingine nikikaa nikifikiria natamani nikae kimya, ila ndani ya moyo wangu kuna sauti inaniambia, "Dauda Sema Baba, Sema tu, Chungu siku zote ndio...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Mpaka sasa wana-Simba hawajauziana hisa za klabu yao hiyo. Ni kitu gani ambacho kinakwamisha wana-Simba wasiuze hisa za klabu hiyo?
3 Reactions
20 Replies
861 Views
Kwenye hili suala la usajili wa wachezaji, Simba wameingia mtego wa kifikra na kihisia ambao itakuwa vigumu sana kutoka. Hakuna timu duniani ambayo wachezaji wote 20+ wa kikosi wana viwango sawa...
2 Reactions
5 Replies
791 Views
Back
Top Bottom