Vijana Wana kesho nyingi sana waacheni watembee polepole kuepuka kujikwaa.
Timu kubwa zina Zina mabenchi Bora ya ufundi na vitendekeakazi vingi, hivyo vina jukumu la kuibua vipaji vipya kwenye...
Ni hatari aiseeeeh
=======
Mechi ya ligi ya daraja la kwanza Colombia iliahirishwa baada ya shabiki kuingia uwanjani na kumshambulia mchezaji ambapo mchezaji huyo alimkimbiza shabiki na...
Ni wazi kabisa kuwa Taifa Stars haivutii wengi, hivyo ni mkakati wa kulazimisha uwanja ujae.
Ndiyo maana unaona tiketi zinagawiwa bure bure tu nadhani had saivi zimefika 30,000 hivi za bure+15000...
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma amesema Serikali kwa kushirikiana na Wadau itahakikisha inapaza sauti kuhusu mchezo wa Gofu ili umma upate uelewa kuhusu umuhimu wa...
SIMBA KUCHEZESHWA SAA NANE USIKU NA MWARABU.
KWA Mjibu wa ratiba iliyopo Shirikisho la Mpira Barani Afrika (CAF) inaonesha kuwa Mchezo wa Mwisho wa Mechi ya Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya...
Mpira wetu haukui kwa sababu ya ushirikina, hiki ni kitu ambacho tunatakiwa kupiga vita dhidi ya hizi Imani potofu katika hii tasnia ya mpira wetu.
Nimeshangazwa sana na shabiki wa mpira...
Uyu bwana mdogo toka amekuwa promoted first team ya Azam FC anaupiga sana tena nadhani mwaka huu yuko bora kuliko mwaka jana
Toka mechi ya Zesco dogo anaonekana anauhai sana uwanjani na anacheza...
Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba Sports, Mohammed Dewji Mo, kwa mara ya kwanza amezungumzia mahusiano yake na aliyekuwa msemaji wa klabu hiyo Haji Manara na kudai kuwa Manara amekuwa akimtukana...
Makocha wa yanga na simba wamegeuka kuwa lulu sasa vilabuni mwao baada ya kupitia misukosuko ya kutakiwa kufukuzwa.
Ukweli kabisaa nabi aliponea chupuchupu pale yanga iliotoka sare nyumbani...
Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE niliandika Uzi wa kuhusu urejeo Wao Kikosini na nikasema kuwa Timu ya Taifa ya Taifa Stars ikirejea tu kutoka nchini Misri watajumuishwa na hatimaye kweli imekuwa...
SERIKALI YAKABIDHI TIKETI ELFU 20 KWA TFF
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Ndg. Saidi Yakubu amekabidhi tiketi Elfu 20 Kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)kwa ajili...
Naaaam, natoa kongole kwa uongozi wa yanga kwa kumuona Nabi nakumleta jangwani hivi Sasa tunaona matunda yake.
Nabi anaweza akapanga kikosi mpaka ukasema huyu kocha anataka kuingia na mfumo gani...
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Saidi Yakubu amesema tiketi hizo ni kwa ajili ya motisha ili kuhakikisha timu yetu ya...
Mlinzi wa Timu ya Taifa Stars, Dickson Job amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo kati ya Tanzania dhidi ya wenyeji Uganda The Cranes uliopigwa katika dimba la Suez Canal, Ismailia Misri...
Baada ya Real Madrid kuonesha nia ya kutaka kumsajili mshambuliaji huyo, Manchester City inataka kuboresha mshahara huo ili kumshawishi abaki.
Haaland (22) ambaye amefunga magoli 42 katika...
Afcon 1980 Pan Afrika ilitoa wachezaji wengi kwny kikosi sababu ya uwekezaji kwny soka la vijana uliofanya klabu Young Africans!!
Katikati ya miaka 70 Yanga ilikua na timu ya vijana yenye vipaji...
Nimekua nikifuatilia sana hili sakata la Feitoto kwa pande zote mbili, lakini nimegundua bwana mdogo kuna mtu nyuma yake akimrubuni na kumvimbisha kichwa bwana mdogo Feisal Salum.
Ukitazama clip...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.