Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa wenye macho makini ya kiuchambuzi najua watakua wameona Jana kilichofanyika ni kuwa horoya walikuwa less motivated, hivyo kupelekea kuwa wazito mchezoni. Sababu ya kuwa less motivated ni...
3 Reactions
70 Replies
3K Views
Tayari Yanga SC ina Alama 3 hivyo akitoka tu sare/suluhu huko nchini Mali dhidi ya Real Bamako FC atakuwa na alama 4 au 6 kama akishinda. Mechi yao ya marudiano Dar es Salaam nchini Tanzania...
11 Reactions
112 Replies
9K Views
Ninawapa hongera kubwa sana kwa kutufurahisha sisi Watanzania kwa ushindi mlioupata katika mzunguko wa kufuzu Robo Fainali. Juhudi zenu zisikome hapo mlipofikia, ila tunaomba safari hii mfike...
1 Reactions
0 Replies
274 Views
Narudia ukishindwa kujenga kiwango chako chini ya Prof. Nabi hakika kama mchezaji utakuwa na shida, wachezaji wote wa Yanga wapo fiti, wachezaji wote wa Yanga wapo kamili, viwango vyao vipo juu...
5 Reactions
5 Replies
586 Views
Kiwango cha Yanga kimebezwa humu kwa maneno mengi mno mara bahasha mara Tp Mazembe na Real Bamako ni timu mbovu subirini muone kitakachowakuta kwa Monastir. Leo ndio siku yenu mliyotaka kujua...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Tunategemea mechi nzuri sana na yenye ushindani mkali leo hii kwakuwa zinakutana timu ambazo zote ziko vizuri kiufundi na zikiwa na wachezaji bora kwenye vikosi vyao, Monastir walimfunga yanga...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Ukiacha mukimbio ambayo tulimbeza nayo jamaa ana kasi ya kufika kwenye njia na kama si kuwa kwenye kivuli cha Fiston, mzambia ana MAMBO MENGI YA KUoFFER KWA WANANCHI. Anapenda kuassist (si...
5 Reactions
3 Replies
521 Views
Habari za mchana friends of Monastir, Nani bado hajapata mwaliko kwenye hafla ya leo usiku?
5 Reactions
28 Replies
1K Views
⚽️ US Monastir🆚Young Africans SC 🗓 12 February 2023 ⏱ 11:00 Jioni TUN | 01:00 Usiku TZ 🏟 Uwanja wa Rades, Tunis 🏆 CAFCC Kikosi cha Yanga Usiku wa deni haukawii. Hatuondoki hapa mpaka usiku...
25 Reactions
1K Replies
47K Views
Alianza kwa kupuuzwa sana na kudhihakiwa kwa neno 'mikimbio'. Sasa amekuwa regular starter na ameisaidia sana Yanga ktk mechi mfululizo alizocheza. Yanga v TP Mazembe alifunga goli muhimu la...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Tulikua tunabishana hapa kuhusu uwezo v osimhen vs erling haalan nani mkali zaidi? Mfano umepewa nafasi ya kumsajili mchezaji mmoja kati yao utamchukua nani na kwasababu gani? Mimi namchukua...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Klabu ya Soka ya CrystalPalace imemfuta kazi Patrick Vieira baada ya kuhudumu kwa miezi 20 kufuatia kipigo chao cha 1-0 dhidi ya Timu ya Brighton Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Steve Parish amesema...
4 Reactions
10 Replies
753 Views
Wakuu huwa tunaongea kimasihara hapa na kuiponda Simba, kumponda mwekezaji Mo Dewji na kimuita majina ya ajabu. Wacha-mbuzi uchwara nao utawasikia wakiiponda Simba na kuiita timu ya hovyo...
16 Reactions
63 Replies
6K Views
Naomba mwenye kujua Mechi ya Real Bamako FC na TP Mazembe FC ni Saa ngapi anitaarifu tafadhali. Nitakuwa na Mzuka wa Kuiangalia Mechi ya Yanga FC na Monastir pale tu nikisikia TP Mazembe FC...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Baada ya kuwapigia soka Safi real bamako, kesho ni usiku wa kisasi mje kushuhudia pira Safi. Simba hongereni Sana watani Ila muache kuroga😁
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Sijajua ni kitu gani, lakini ukweli ni kuwa kuna kitu sio cha kawaida ndio kimefanya simba kushinda magoli 7.
6 Reactions
48 Replies
3K Views
Tuliaminishwa kuwa Kapombe na Hussein (Zimbwe Jr) ama wamezeeka au viwango vimeporomoka. Leo baada ya ushindi wa kishindo watu wanakuja kupiganao picha kwa mkapa. Wakaitwa watu wanachezea benchi...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuna ubishani mwingine huwa nauita wa kijinga, na huwa naishia kucheka tu. Tangu mwanzo niliamini muda utaongea huko tuendako nani ni mkali haswaa; Stephano Aziz-Ki au Chama? Huu ubishani wa...
18 Reactions
46 Replies
4K Views
Baada ya jana Mnyama mkali kuwakilisha vema na kuipeperusha bendera ya Mama Samia barani Afrika, duru za kimataifa zinasema furaha ya jana inaenda kutiwa doa leo pale kwa Ben. Wazee wa...
0 Reactions
3 Replies
348 Views
Mimi kama shabiki wa US MONASTIR tawi la al hilal upande wa Rivers united nasema hvi UTO tunamnyoosha hapo hapo kwa uchezaji wake ule kama wanacheza upatu. Mashabiki wa UTO njooni na panadol...
11 Reactions
23 Replies
803 Views
Back
Top Bottom