Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wanachokifanya Mamelodi leo hata wanavyocheza ni wazi kabisa wanataka kuipa Matokea mazuri Al Hilal. Goli la kwanza la Mamelodi ni la bahati mbaya tu lakini wakaamua kuwazawadia wasuda goli la...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Kocha wa timu ya taifa Taifa Stars, Adel Mrouche amepewa nafasi ya kuchagua wataalamu 4 atakaoambatana nao kwenye timu ya taifa kama sehemu ya benchi lake la ufundi, Kocha huyo amependekeza jina...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
GENTAMYCINE nitafurahi mno nikiwaona wana Simba SC Wenzangu wa hapa JamiiForums. Nitakuwa nimekaa na Wachezaji Wastaafu ( wa zamani ) wa Simba SC ambao Fainali ya 1993 Uhuru Stadium mbele ya Rais...
2 Reactions
5 Replies
458 Views
Wadau hamjamboni nyote Mheshimiwa Rais wa Rwanda Paul Kagame akicheza Soka ndani ya uwanja mpya wa Soka wa “KIGALI PÉLE STADIUM”
16 Reactions
74 Replies
5K Views
Hawa ndio makinda wanaotabiriwa kufanya makubwa mbeleni 1. CYPRIAN KACHWELE Amezaliwa November 2007 ana miaka 15 ni mshambuliaji aliyekulia kwenye academy ya Azam na anayefanya vizuri kwenye...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Simba kesho wanatupa karata muhimu itwayo Do or Die dhidi ya Horoya ya Guinea ambao nao wanajua kabisa kesho kwao ni final, Horoya ambao kusema kweli kama sio uzembe wetu Simba kwenye mchezo wa...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Baada ya call up ya squad ya kikosi cha lions of Teranga, Senegal,imeifanya nikumbuke maneno ya mtangazaji anayejiona ni mkongwe kwaiyo anajua kila kitu. Huyu bwana mwaka...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Kama kuna jambo limevuruga ustawi wa Simba msimu huu ilikuwa ni majeraha ya Moses Phiri. Ilichukua muda Simba kujijenga bila uwepo wake ukichukulia tayari alikuwa tegemeo la kwanza katika timu...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Aisee hatuitaji ubishani kwa sasa Africa hakuna number 9 kumzidi Peter Shalulile Huyu MNAMIBIA anajua kufunga sana kwakweli, Number 9 natural huyu anafunga kila aina ya magoli Ananikumbusha...
10 Reactions
64 Replies
5K Views
Siujui mpira vizuri na betting za mpira sizijui vizuri ila naona wanapigwa tu kila siku. Mtu anachakazwa wiki tatu anapewa siku moja elfu 50 basi hiyo siku mpaka mkewe atajua kuwa baba kapiga...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Team zetu kubwa mbili zinashuka dimbani weekend hii. Naweza kusema tu team yenye jina la mnyama ambayo ndio itaanza kucheza inaenda kupata matokeo mazuri ila mchezo hautakuwa na zaidi ya goli 1...
28 Reactions
79 Replies
8K Views
Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Tusijenge tabia ya kupeana sifa za kij8nga ambazo hazina msaada wowote kukuza timu.kusifia viongozi mchana kutwa usiku kucha.tujenge timu ki mbinu,kiufundi na kwa stamina,tujenge viwanja,tuwekeze...
4 Reactions
7 Replies
334 Views
Naam Habarini za Jumamosi Wanajukwaa. Leo ni siku Murua kabisa kwetu sisi wapenda soka tena lile soka zuri lisilo na Makolokolo,Soka lisilo na Mara Refa kafanya hiki Mara shirikisho limependelea...
2 Reactions
3 Replies
503 Views
Baada ya kuona droo ya robo fainal kupangwa Jana sis Kama Chelsea tumefurahi kupangiwa na real Madrid.tunaenda kumpiga Madrid nje ndani afu tunakuja kwa city nae tunampiga nusu fainail na fainali...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino amezindua KigaliPeleStadium, wenye uwezo wa kuchukua watu 22,000 kwa heshima ya aliyekuwa nguli wa soka kutoka Brazil Edson...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari Wana JF Kesho club bingwa Africa Simba SC Mnyama Mkali anacheza na Horoya Simba SC anafunzu MAKUNDI kesho Horoya anapigwa VIZURI tu. Yanga SC Jumapili Dimbani na Monistry Jumapili Yanga...
0 Reactions
5 Replies
843 Views
Simba na Yanga wakizifunga timu za nje ya nchi furaha Yao isiwe kweñye madirisha ya nyumba za washabiki wa Simba au Yanga. Wafurahie bila kuitaja Yanga au Simba. Hii itaukata mnyororo wa timu hizi...
2 Reactions
12 Replies
552 Views
Barcelona iliyoundwa na Valdes golini. Mabeki kama Dani Alves, Puyol, Mascherano na Eric Abidal. Viungo walikuwepo Sergio Busquets, Xavi na Mtaalam Iniesta. Safu ya ushambuliaji ikiongozwa na...
10 Reactions
31 Replies
2K Views
Baadhi ya mashabiki wa Chelsea wamekasirishwa na kitendo cha straika wao, Romelu Lukaku kudaiwa kuwa alimpigia simu Kocha wa Inter Milan, Simone Inzaghi akimuomba amrejeshe kikosini hapo...
2 Reactions
8 Replies
898 Views
Back
Top Bottom