Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mudathir Yahya Bangala Aucho Sureboy Aziz key Zawadi Mauya Nitajieni timu yenye viungo wakali kuizidi yanga nipo hapa nawasubiri..!
6 Reactions
34 Replies
1K Views
Wanabodi ni katika kutaka kufahamu na kuelimishana, mfano, iwapo Nchi ilikuwa inatambuliwa na Mashirika haya yanayoongoza mpira (FIFA, CAF) baadaye ikakiuka mambo fulani na kupelekea kufungiwa, na...
0 Reactions
3 Replies
371 Views
Katika msimu huu wa 2022/2023 kuna klabu zimesajili wachezaji kwa gharama kubwa na wameshindwa kuonesha thamani yao halisi uwanjani lakini magazetini, mitandaoni na wanazi wa vilabu vyao wamekua...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Cristiano Ronaldo moja ya wachezaji bora Duniani ameanza kutimiza Ahadi yake ambayo aliisema Mwaka 2022 mwez wa 4 baada ya kufunga Hat trik ya 60 ambapo ali tweet katika mtandao wa Twitter na...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Tambuweni haya maandiko yanawahusu Kwa maana kila mtu ajikwezaye atashushwa, naye ajishushaye atakwezwa Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza...
2 Reactions
6 Replies
524 Views
Leo hii Lebron James anaivunja rekodi hiyo na atakuwa kinara wa mabao huko NBA kwa sasa King 👑 James hana mpinzani na inaaminika huenda akajengewa sanamu lake pale Ikulu ya Marekani. Huyu Lebron...
7 Reactions
70 Replies
4K Views
Huyu jamaa nadhan akimaliza mkataba asiongezewe tafadhali sana. Nadhani Simba waingie mkataba na mtu tofaut halaf huyo mtu aingie ubia na fred awe anauzia jezi kwenyw maduka yake. Always ana...
19 Reactions
35 Replies
3K Views
Hivi Uongozi wa Simba kwanini usitoe masharti kwa Vunja bei yenye kumfanya atengeneze jezi zenye viwango vyao klabu kama Simba? Yaani kitendo cha kumpa mkataba ambao haumbani ndio kinachofanya...
22 Reactions
83 Replies
5K Views
Niliposomea Graphics Design lile Neno linasomeka hivi, "TVisit Tanzania" Na Sio Visit Tanzania [emoji1 241] [emoji846] Wataalam wenzangu wa IT Njooni tuwaelimishe hawa Graphics Designers wa Makolo Fc
10 Reactions
52 Replies
6K Views
Ronaldo amezidi kujiweka ktk hali mbaya zaidi kuhusu mustakabali wake anavyoenda kumaliza mpira Club ya Juventus imepokwa point nyingi sana na kusababisha iondoke kwenye nafasi ya tatu na kwenda...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Yaweza kuwa ni kwa matokeo ya kushangaza au ya kawaida tuu, Yaweza kuwa ni burudani ya pasi na udambwi dambwi wowote ule. Mechi zangu mimi ni hizi. 1.Germany 7-1 Brazil kwenye World Cup...
6 Reactions
202 Replies
16K Views
Huwa nasema timu za Kariakoo ni Kulwa na Doto na àmbao tulishafanikiwa kuvuka mitego ya siasa zake tuna Amani zaidi. Miaka ya 1990 Simba walikuja na Nick name ya Simba TAIFA KUBWA na ikahit...
3 Reactions
6 Replies
957 Views
Jana kwa mara ya kwanza Ronaldo alianza kwenye mechi ya ligi uko Uarabuni Ila imekuwa mechi mbaya sana kwake katika historia ya soka kwake. Cristiano Ronaldo katika mara 35 alivyogusa mpira ndani...
12 Reactions
40 Replies
3K Views
Naweka tu tahadhali, alipaswa azisome alama za nyakati. Muda unaenda atadharaulika atajikuta siku moja anakuja sajiliwa Simba na bado anawekwa bench. Umri unakataa; moyo unataka lakini mwili...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Nsikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane!. Kwanza kabisa nikiri,mimi ni mpenzi na shabiki mkubwa wa Dar Young Africans au kwa Kiswahili Yanga. Klabu hii imepitia changamoto sana hasa wakati...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
Mkiambiwa hawa Wawili ni Ndugu, wako Kimkakati zaidi na lazima Wote waigane na Wao ndiyo wanatengeneza Mamlaka na wana Nguvu na Ushawishi hata kuliko akina CCM na CHADEMA muwe mnaelewa. Kila la...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Maandalizi yote ya tukio letu yamekamilika. Muda mfupi kutoka sasa tukio la wenye nchi tukiiweka nchi mbele litaanza. Tunakwenda kuzindua jezi za Simba za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na...
8 Reactions
132 Replies
6K Views
content AUDIO instrumental VIDEO search VIDEO May 17, 2018 New VIDEO: Khaligraph Jones x Msupa S – Watajua Hawajui New VIDEO: Khaligraph Jones ft. Msupa S – Watajua Hawajui DOWNLOAD ...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Na Deus M Kibamba Morocco: Nilitembelea viwanja mbalimbali vya mpira wa miguu nchini Morocco kwa lengo la kuvipima kwa viwango vya kimataifa vinavyowekwa na FIFA na CAF kwa ajili ya michuano ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom