Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

SIJUI ni lini tutaacha kutumia siasa katika vitu vya msingi. Nawaza sana juu ya hili lakini sijapata majibu. Ni wiki moja sasa imepita tangu sakata la mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ limalizwe...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Sijajua kwa Vilabu vya hapa Kwetu Tanzania ( na nahisi havina Upuuzi huu kwa Matajiri wake ni Watu na Wafanyabiashara Waaminifu na Wacha Mungu mno ), ila kwa Vilabu vingi Vikubwa vya Soka ( Mpira...
7 Reactions
45 Replies
2K Views
Siku zote Kwa watu Wenye busara tatizo huzaa Somo. Jana Mwamuzi Stuart Antwel akishirikiana na Waamuzi wa VAR kwenye Mechi ya Mahasimu wa Manchester ameanzisha mtifuano wa hoja dunia nzima...
4 Reactions
46 Replies
3K Views
Haya basi sawa karibu nyumbani mdogo wetu, ila this time ukiondoka usituoneshe dole la kati wananchi please [emoji1488][emoji26]
2 Reactions
28 Replies
2K Views
"Katika dirisha hili dogo Simba SC wamesajili vyema na kiufundi kuliko Yanga SC," Wilson Oruma Mchambuzi wa Michezo EFM na Rais wa Wapanda DalaDala (Bayankata) Tanzania nzima. Chanzo: EFM Sports...
10 Reactions
15 Replies
2K Views
1. Walianza na barua ya kingereza iliyomtoa uarabuni kwenye program zake wakitaka aje bila kubainisha makosa aliyoshitakiwa nayo ili awe tayari kuandaa utetezi wake. Barua ilikuwa fupi sana. Na...
15 Reactions
119 Replies
7K Views
Huu ndio ukweli ndugu zangu wa Simba. Wachezaji wote mliosajili ni wale ambao hawakuwa key players kwenye timu zao, yaani kiufupi ni kuwa hawakuitajika na Wala hawakuwa na umuhimu wowote...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Ni bahati mbaya tu Yanga inakosa kama wahenga walivyopata kusema tenda wema nenda zako usisubiri ahsante waliona mbali kwani ukisubiri ahsante unaweza kuishia kula matusi, dharau hata kupigwa...
1 Reactions
8 Replies
536 Views
Yaah, Simba ni club kubwa ndio, lakini kiasi hiki kinafikirisha sana kwenda kuweka kambi siku 8 na michezo miwili na timu ambazo "inasemekana" zili field wachezaji wa timu B. Kuna mdau mmoja...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Mimi ni Yanga utopolo original Yanga Lia Lia shabiki kindakindaki makolo wanatuita mashabiki maandazi wa utopolo Najiuliza wale wachezaji wa kigeni viwango vya dunia tumejaza Yanga Kila idara...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Licha ya kuwa alijiunga na klabu hiyo mwanzoni mwa msimu huu akitokea Manchester City kwa Paundi Milioni 50, Sterling (28) na kusaini mkataba wa miaka mitano, ameshindwa kuwa na uhakika katika...
0 Reactions
2 Replies
599 Views
Tanzania’s top professional boxer Karim “Mtu Kazi” Mandonga has been offered a bout in England after achieving a technical knockout (TKO) in the sixth round against Kenyan Daniel Wanyonyi. Juma...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Mkataba wa Leo Messi wa PSG unamalizika 2023 na huko Saudi Arabia, wanamtaka akajaribu bahati yake huko mara moja. Hata kabla ya mkataba wake kuisha. Kama Al Nassr alivyofanya na Cristiano...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Mmezoea. Mlivokosa haya mtaanza tena tetesi za huyo mtu kutua Simba. Nashauri mkome kabisa. Mnachafua sana mitandao kwa tetesi magadi wakati hela hamna. Mkome Sent from my SM-A307FN using...
4 Reactions
42 Replies
2K Views
Mashindano na sherehe za mapinduzi cup yamedoda kutokana na Simba na Yanga kutolewa kwenye hatua za awali za mashindano. Wanasiasa, wanamichezo, wadhamini na wazanzibar wote hawakutendewa haki na...
2 Reactions
53 Replies
4K Views
Yaani wanatufanya mashabiki kama hayawani muda mwingine. Tabia zao za uongo na kukuza mambo na mbaya zaidi ni tabia ya kutagaza wachezaji usiku naichukia sana, sio jambo fair kwa mashabiki...
0 Reactions
14 Replies
973 Views
Huwa sipendi kuficha jambo,...! Nasikitishwa na UPUUZI wa baadhi ya watu yamkini hata miongoni mwetu. Wana-Yanga...! Huwa tunatengeza mianya sisi wenyewe ya kushambuliwa na maadui zetu...
1 Reactions
8 Replies
491 Views
Timu hizi mbili zote zina rekodi ya 49 unbeaten, zote zimefungwa mechi moja moja za ligi, zote zimedroo mechi mbili mbili tu za ligi na zote zimeng'ang'ania kileleni mwa ligi. Arsenal kacheza...
2 Reactions
5 Replies
394 Views
Wana Simba SC wote (hasa Wanachama) mkikosea tena, mkarubuniwa na Kuhongwa Pesa za Msoga na Salamander na Kumrejesha tena Uongozini Murtaza Mangungu (Mwenyekiti anayemaliza muda wake) nitawadharau...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Karibu bongo === Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili mshambuliaji Jean Baleke raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutoka klabu ya TP Mazembe kwa mkataba wa miaka miwili.
3 Reactions
63 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…