Msemaji wa club moja kongwe akiponda usajili wa Saidoo,alibeza uwezo wa mchezaji huyo na kusema Simba hakuna walichosajili na mchezaji huyo akifikisha hata goli 5 tu huyo msemaji aitwe ashura ma...
Kama asemavyo Gentamycine, hataki unafiki, na mm Leo kwa kweli nmevumilia nmeshindwa, nimebana weeee KMKM wapate bao au angalau washinde lakn imeshindikana, Wamekufa dakika za mwisho, yaani...
Baada ya Yanga kumficha ndani mshambuliaji hatari Kambole kwa miezi 4 hatimaye leo ameachiwa kutoka nje.
Kambole amekuwa akifungiwa ndani huko Avic Town Kigamboni ili kuficha aibu ya siasa za...
Cameroon inahangaika kutafuta replacement wa under 17 baada ya Kipimo cha kupima umri kuwaondoa karibia timu nzima kwa kuonekana kwamba wamezidi umri.
=====
More Cameroon U-17 players fail age...
Kila mtu anapenda kufanya kitu kitakacho mpa amani na furaha. Ikiwa utapata furaha ukifanya kitu Fulani, basi hicho ndio kitu kinachokufaa sana.
Kuna watu wanapenda kupika, wengine kusoma vitabu...
Nitaandika uzi huu kwa lugha nyepesi sana
Ni hivi tabia zilizo onyeshwa na Feisal kwenye sakata la mkataba wake na Yanga ndio limeshusha zaidi heshima ya wachezaji wazawa kuliko kuongeza kama...
Hali ni mbaya mbaya sana kwa ndugu ronaldo hali iliyopelekea kutia aibu ya mwaka wakati akitambulishwa na klabu yake mpya huko bara asia
Alisikika akisema
"Kuja hapa South Africa sio mwisho...
Mechi ngumu sana lakini Wananchi wamepambana mpaka mwisho, KMKM ni wazuri sana chini ya Kocha Hemed Morocco lakini hawakuweza kuwa wababe mbele ya Wananchi, alama tatu kwao.
Sio timu tu kutoka...
Kundi A: Azam, Malindi na Jamhuri.
Kundi B: Yanga, Singida BS na KMKM.
Kundi C: Simba, Mlandege na KVZ.
Kundi D: Namungo, Aigle Noir na Chipkizi.
kwahiyo hii mapinduzi cup wameona yanga ndo wa...
Je ni kweli kuna uwezekano MTU anaweza kutengeneza hii mikka na kuuzia watu au ni wizi tu,au kampuni za kubetisha hutumia hawa wauza fixed matches ili kuongeza kupotosha wanaibet?
Huu ndio ujumbe wangu kwako , wewe Juma ni kocha mwenye leseni kubwa sana , CV yako haihitaji maelezo , unastahili kuongoza kikosi , hustahili kuwa kocha wa mazoezi .
Nakushauri , usikubali kuwa...
Hizi ni aina za kupigana kila nchi utambulika kwa jina lake na mtindo wake wa kupigana.
*Ukrain
unaitwa:Combat hopak
*Turkey
unaitwa:Sayokan
*Japan
unaitwa:jujitsu,Judo,sumo ,kempo ,karate na...
Habari za uhakika kutoka vyanzo vya kuaminika ni kwamba Juma Mgunda atajiunga na Geita Gold kuanzia leo kama Kocha Mkuu! Hivyo mpango wa kumfanya Kocha Msaidizi umebuma!
Mwenye story ya jinsi kalusha bwalya alivyonusurika ajali ya ndege wenzake wote wakafa mje apa mtujuze maana wengine tulikuwa wadogo.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Wafuatao ndio wachezaji bora wa mpira wa miguu kuwahi kutokea duniani. Vigezo ni mafanikio binafsi, mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwepo timu za taifa:
1. Lionel Messi
2. Edson Pele
3...
Wakuuβ¦.
Naona Sakata la Fei Toto Linakuja na Propaganda nyingi.
Leo Watu pamoja na Page Rasmi ya Yanga, zimepost na kumpongeza Mayele kuwa Mchezaji Bora wa Congo. Bahati mbaya sana Watanzania...
Wafuatao ndio wachezaji kumi bora kuwahi kutokea kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:
1. Cristiano Ronaldo
2. Franz Beckenbauer
3. Johan...