Mimi ni yanga, Ila combination ya saido, chama, sakho, phiri, ni tishio kwake sio kwa yanga na amini yanga watachukuwa ubingwa vizuri bila tatizo lolote.
Tatizo lipo kwa upande wa fiston mayele...
GENTAMYCINE (Shabiki Tukuka wa Simba SC) nilishawahi kuandika Mada (Thread) hapa hapa JamiiForums ya Kuwaonya akina Inonga na Sakho juu ya Uchezaji Wao wa anao anao mwingi na kutafuta Sifa kwa...
Wengi wamechanganyikiwa baada ya kumuona Feitoto akichezea JKU, ukweli ni kuwa kiungo huyo atajiunga na Yanga wakati wa kombe la mapinduzi.
Kwa sasa anafanya mazoezi na JKU ili kujiweka fiti, pia...
Ndio.
Katika ile nafasi palikuwa na Yacouba Sogne (25), Saido Ntibanzokiza (37) na Bernard Morrison (28) akiwa njiani kurudi.
Yes ulikuwa uamuzi mzuri zaidi uliojaa maono ya kujenga timu kwa...
Ukiangalia michezo ya ligi inayoendelea nchini ikichezeshwa na marefa wanawake mtaniunga mkono. Ukweli marefa hawa wanashindwa kabisa kusimamia zile Sheria 17 uwanjani na wamegeuka kuwa sehemu ya...
Pamoja na uimara wa Singida Big Star tukishuhudia ikifungwa 4 na Yaanga. Pamoja na ushindi wa Yanga wa kuungaunga wa 1 mpaka 2 lakini wakaweza kuifunga Singida BS 4.
Kwa jinsi waziri huyu...
Nimepitia orodha ya waamuzi walioteuliwa kutumika kwenye mashindano hayo yanayoanza Januari,lakini sijaona mtanzania hata mmoja.
Jambo hili,halipendezi na sijui waamuzi wanalichukuliaje!
Je...
Nimewasikia wanachama na mashabiki wa Yanga wakihamasishana kususia bidhaa zote za Azam kulipiza vîtendo vya Azam fc kutumia nguvu ya fedha kurubuni wachezaji wake wake muhimu. Waliwataja akina...
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo amesaini mkataba mpya na klabu ya Al Nassr ya nchini Saudi Arabia.
Mkataba huo utamfanya kuwa mchezaji anyelipa zaidi na...
Boss Saalah Said Mohammed Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean na Mdogo wake wa Damu Tajiri wa Yanga SC Gharib Said Mohammed tunajua kila Kitu juu ya ahadi yako ya Tsh Milioni 30 kama wakiifunga...
Za ndaaaaaani kabisa,
#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.
Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka...
Hivi tungekuwa tunampa hizi Sifa zetu zote za Kinafiki tunazozitoa sasa sehemu mbalimbali asingezifurahia na hata Kumfariji alipokuwa bado Hai anapambania Maisha yake Hospitalini?
Hakuna Kitu...
Je, kuna umuhimu wa kuuliza mashabiki wapige kura iwapo Simba inahitaji kocha tena kwenye mtandao?
Je, ana uhakika gani waliopiga kura ni wana Simba?Unadhani leo akatokea mjinga mmoja pale...
Yanga Ina watu wenye level mbalimbali za uelewa. Tunajuwa kuwa hii ni janja ya kutuliza joto tu la fei kuondoka kizembe. Tunajuwa kuwa Kuna watu watavuta mkwanja kutuliza mambo ili Fei asepe...
Former AC Milan and Brazilian legend Kaka on the 2022 Qatar Fifa World Cup, He said:
"Muslims are peaceful, kind, generous and hospitable and do not attack anyone.
Europe and the West are lying...
Huu uhamisho unadhihirisha kuwa Azam fc wanapunguza QUANTITY na kuongeza QUALITY.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
YAJAYO YANAFURAHISHA,
SIJAMTAJA MTU.
Kufuatia sakata la feisal salum ndio imenifanya nielezee haya niliyoyaona kwa wachezaji wetu na team yetu ya taifa na jinsi wazawa wanavyodhaurauliwa na kushushwa thamani.
Yaani watanzania sisi...
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.