Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nashangaa watu wanapotutisha hawa Waarabu koko ni wepesi tu kama tukijipanga vizuri hawatoki.
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Kitendo alichokifanya rais wa yanga ni udhalilishaji wa hali ya juu. Ameonesha namna gani alivyo na dharau na kuwapuuzia mashabiki wa timu ya yanga. Yanga ilikuwepo tangu miaka ya 1935. Viongozi...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Beki huyo wa kati wa Barcelona na timu ya taifa ya Hispania amesema anatarajiwa kucheza mechi yake ya mwisho dhidi ya Almeria, kesho Novemba 5, 2022 kwenye Uwanja wa Nou Camp Uamuzi huo wa ghafla...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Leo kuanzia asubuhi hakuna umeme,na maji hakuna
0 Reactions
1 Replies
321 Views
Kwa jinsi nilivyoishuhudia mechi ya kimataifa dhidi ya Orlando Pirates pale sauz kwa Mandela yafuatayo ni baadhi ya Mambo matano niliyo note: 1. Simba walikosa kipa Bora type ya DIARA ambaye...
2 Reactions
52 Replies
4K Views
Sipendi sana kuongelea timu lakini kuna wakati nalazimika kufanya hivyo. 1. Usajili wa Kisinda na Morrison Ni kigezo gani viongozi wa yanga walikitumia kuwarudisha hawa mabwana wawili huku...
8 Reactions
18 Replies
1K Views
Bange / Bangi mbaya sana na hasa hasa ikitokea ukiwa Unaivuta halafu Kiasili huna Akili Kichwani. Taratibu sasa nami GENTAMYCINE naanza Kuiamini ile Ripoti kuwa kwa sasa nchini Tanzania...
2 Reactions
10 Replies
690 Views
Dar es Salaam Young Africans maarufu kama Watoto wa Jangwani au Wananchi, kwa muda wa miaka 24 sasa hawajafuzu kucheza hatua ya makundi michuano ya Klabu bingwa Afrika tangu ilipofuzu kwa mara ya...
0 Reactions
19 Replies
659 Views
Mtu hutoi hata mia mbovu halafu unakuja kumfokea Rais kuwa amekutukana, mnajua ni kiasi gani Injinia amejitolea kwa klabu hiyo? Mlisahau mlivyokuwa mnatembeza mabakuli mitaani? Je, mlisahau hilo...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kitendo cha Rais wa klabu yetu pendwa ya Young Africans au yanga kutuita sisi mashabiki wake wala mihogo, ni kutudhalilisha, kutufedhehesha, kutudharau na kutuona hatuna maana. Inauma sana kwa...
24 Reactions
118 Replies
6K Views
Simba wanamchukia sana Nabi. Wanamchukia mpaka unawaona usoni kabisa ukitaja jina la Nabi, Ukitana jina la Mayele, Ukitaja jina la Aziz na Ukitaja jina la Feisal. Wanaacha kula, wanaacha kunya...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
"Nipende kuchukua nafasi hii Kuwahakikishia wana Yanga SC kuwa tunaenda kupindua matokeo nchini Tunis na kusonga mbele" Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said. Chanzo: Sauti yake aliyoisambaza...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Nilikua mbali na tv nikasema ngoja nitumie simu kusikiliza mpira kupitia redio nawasha tbc hola kila nikijalibu nikajiuliza leo kunani kumbe wahuni wamewazuia mechi yao isitangazwe redioni ata na...
2 Reactions
15 Replies
998 Views
Nabi ashukuru tu wanachama, viongozi wa club na wa serikalini wanamsaidia kupata ushindi. Pale hamna kocha. Acha tu niseme ukweli na wachezaji wenyewe akina Kisinda? Jana tumshukuru Aishi Manula...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Watu kama Ahmed Ally ambae ni Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC huja mara moja katika maisha (once in a life time). Kutokana na uwezo mkubwa alionao Ahmed amekua akifanya kazi za...
9 Reactions
14 Replies
1K Views
Chini ya uongozi wa Eng Hersi sioni dalili ya Yanga ikifika hatua ya robo fainali iwe klabu bingwa wala shirikisho. Kuna tatizo kubwa sana kwanzia management, benchi la ufundi hadi wachezaji...
26 Reactions
76 Replies
4K Views
Wachambuzi wamechachamaa, wanapiga spana kila wakati. Hata wale wanaokupamba na kuopamba Yanga wamewageuka. Machawa wako kimya, wamemwacha Afisa Habari analialia peke yake. Sasa nakushauri fanya...
0 Reactions
2 Replies
423 Views
Baada ya kumsikia afisa Habari wa Yanga Ndg. Kamwe akitaja IDADI ya mashabiki wa team yake kuwa ni kama ml. 20, na takwimu zilizosomwa Leo na Mh. Rais Samia kuwa waTanzania tupo ml. 61, hii...
10 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu habari, Ni mchambuzi yupi mahiri katika uga wa mchezoo wa mpira wa miguu hii battle inamuhusisha George Ambangile kutoka Wasafi FM na Ali kamwe kutoka Azam Média
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Habari za mchana, Wadau, naomba kuzipata Sheria 17 za Soka mtandaoni, kuuliza si ujinga jamani. Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…