Hii kauli hii ya wala mihogo watani zetu wameileta kama kejeli sisi tugeuze kuwa brand. Unajua kuna kauli zingine zinakuja na bahati yake, kama hii kauli ya wala mihogo naona ni kauli moja ya...
Hizi jeuri zinatoka wapi. Huku ni kulewa madaraka na kutukana watu kuita wala mihogo. Kwani mihogo ina tatizo gani mpaka uitumie kutukania?
ππππ
Hawa jamaa wanazofanya Sasa Ni sifa ...... Zimezidi viwango haiwezekani timu inasajili wachezaji proffesinal Sana kuzidi timu zote east Africa
Sisi Kama wadau wa michezo tunaomba Serikali inabidi...
Kwa soka la Bongo linavyo endeshwa kwa kelele za mashabiki huyo kocha baada ya hiyo game hatoboi nakwambia.
Kule Tunisia lazima Yanga achezee kichapo tena kuanzia goli 3 na kuendelea, yaani...
Wataalam,
Niipongeze Taifa Stars kushiriki na kuonyesha uzalendo na ushindani katika michuano ya kombe la dunia ingawa kuna mapungufu mawili matatu yanayosahihishika ni hatua kubwa kwa timu na...
Mimi ni Simba lakini naiona Yanga imejipanga sana kufanya vizuri msimu ujao. Sababu naziona kama ifuatavyo.
1. Uongozi mpya
Eng Hersi ana mikakati mikubwa ya kuifanya yanga itambe kimataifa na...
Mimi Kama mwanachama na shabiki wa miaka mingi wa Yanga naomba nabi afukuzwe haraka Sana yanga.
Yanga totally ni mbovu Sana mechi yao ya mwisho waliyocheza mpira ni game ya Mtibwa mwezi 8 toka...
Huu uzi ni maalumu kwa ajili ya kuangalia makosa mbalimbali kama wapi benchi la ufundi lilikosea aidha katika selection ya wachezaji walioanza, au sub au makosa ya wachezaji wenyewe ndani ya...
Yanga wako nje kwa dhamana katika mechi ya kimataifa, kombe la washindi. Hukumu itakua siku ya Mechi ya marudiano nchini Tunis.
Hapa Yanga watahukumiwa na kupigwa adhabu Kali.
Hawapindui meza...
Kesho Yanga watatupa karata yao dhidi ya Club Africain ya Tunisia. Kwangu hii ni mechi ngumu kuliko ile ya Al hilal. Yafuatayo ni mafungufu ambayo km kocha hajayafanyia kazi basi itakuwa ngumu...
Mechi iko live dakika ya 15 na bado milango yote ni migumu.
Twende kazi.
Dk 53β Opa Clement anaipatia Simba Queens bao la kwanza
Dk 79β Olaiya Barakat anaipatia Simba Queens bao la 2 kwa...
Mnamo 18/10/2022 UNICEF Tanzania iliingia mkataba na Yanga SC wenye lengo la kuunga mkono jitihada za Serikali kupambana na magonjwa ya COVID 19 na Ebola.
Mkataba huo ulianza kutekelezwa siku 5...
Nyuma ya Mwarabu wa yanga anasimamia pesa za wanasiasa
Watanzania maskini wanakosa huduma, wanasiasa wanachota pesa kwenda kutakatisha kwenye timu ya yanga ili kupitisha ajenda zao za kisiasa...
Hatimae Yanga imefanya kweli, imekubali kutoka sare kwenye Uwanja wa Mkapa na Klabu African ya Tunisia na kusababisha furaha na shangwe kubwa kwa wananchi, na kupelekea mgao wa maji na umeme...
1. Nabi ndiyo mechi yake ya mwisho kuifundisha Yanga kesho.
2. Yanga haina uwezo wa kuifunga Tunisia bao 2 - 0, au 3 - 0, wakishinda sana sana bao 1 au 2 - 1.
3. Wachezaji wa Yanga watalaumiwa...
Nimesikitishwa sana na kitendo walichoonesha watu wa utopolo ndani ya dressing room kwa waarabu kama mbinu yao ya kuwadhoofisha kwenye mechi ya leo.
Mashabiki wa Club Africain wameandika katika...
Hii mechi unaanza kuichambulia wapi hasa kwa upande wa Yanga ? Maarifa hakuna , wapo slow sana , hakuna ubunifu , pasi zisizo na ufanisi , ni kama vile walishtukizwa kwamba leo kuna mechi na...
Kuna hali fulani hivi ya ushabiki naendelea kuiona si ya kawaida. Nadhani imesababishwa na kutazama mpira wa Ulaya.
Watu wamejitolea kwa jasho na damu kupigania mpira kuliko hata maisha yao...
Yanga ni sikio la kufa, halisikii dawa. Janja janja za GSM kwenye ligi letu ni matokeo yake haya. Haiwezikani ushinde kwa mipango mipango na kihuni kihuni halafu uweze kufanikiwa. Nikikumbuka game...