Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Bondia Karim Mandonga akiwa mwenye ubora wake amemtandika mtu huko mkoani Njombe katika raundi ya kwanza. Mandonga ambaye kwake kupigana ni kama mchezo wa ligi kuu ya soka nchini, akipigana kila...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Huu ni upuuzi mkubwa sana tunauendekeza, unakuta mtu akiwika ama akifanya vizuri basi anapewa jina la mtu mwingine mpaka linafifisha jina lake. Utasikia Kelvin John Mbape, mara Juma Mgunda Pep...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
Juma Mgunda, sasa hivi ni kocha wa klabu ya Simba. Tokea ajiunge na klabu hii pana watu wanajitahidi kumpamba kuwa ni kocha mzawa mzuri mno, wakitaka kututoa katika kumbukumbu kuwa katokea timu ya...
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Na kuna mgomo wa chini kwa chini juu ya kuchelewesha mishahara ya wachezaji wazawa ila wa kigeni wote mnawatimizia kwa wakati. Nibishieni hili ili nije na siri nyingine.
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Mwaka huu mwezi wa 8 tariki 2 nilipost uzi huku JF nikasema Yanga kimataifa atafanya vizuri zaidi ya Simba yaani atafika mbali sana zaidi ya Simba. Na ushindi wa Yanga utakuwa unapatikana zaidi...
9 Reactions
43 Replies
3K Views
Na ukitaka 'Kitoweo' chako chochote kichinjwe vyema jitahidi sana umtafute Muislamu halafu awe ni Mwarabu wa 'Kisudani' utafurahia show yake ya uchinjaji ambayo mara nyingi huianzia Saa 3 kamili...
4 Reactions
8 Replies
785 Views
Kikosi kilikuwa na; George Mangula Rashidi Mandanje Gabliel Mwintika Mbaga Mwantiku Charles Makwaza Dannifon Ngesi Abeid Kasabalala John Moses Kanyiki Betwely Africa Efeam Kayeta...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Wakuu nini kilichopelekea mchambuzi mahiri wa soka, Oscar Oscar kutimuliwa kwenye kipindi cha michezo cha E FM na kupelekwa vipindi vya wanawake vinavyozungumzia umbea? Maana sasa hivi anatangaza...
6 Reactions
49 Replies
5K Views
Wakati hivi sasa wako makini kuishambulia Yanga, moja ya lengo lao likuwa ni kuwakatisha tamaa mashabiki na wachezaji wa Yanga hususani wachezaji na viongozi ili wawe na molari ndogo kisha...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Ni ujinga kufanya hiyo ndagu kwa mechi 30 za TFF ambapo mwisho wa msimu unapata millions 500 wakati leo ukiifanya hapo Khartoum unaingia makundi na kujipatia billion 1.2. Ule mtindo wa kutembelea...
8 Reactions
14 Replies
3K Views
Hii timu yetu imepitia kipindi cha hovyo sana miaka ya hivi karibuni. Kila nikikumbuka naona kama kuna laana fulani iliachwa kwetu. Nawaza tunaenda Sudan, ni akina nani watatupokea kule kama...
4 Reactions
12 Replies
978 Views
Kusema kweli kwa namna Yanga inavyobezwa na kuonekana kuwa tayari imeshaondolewa kutokana na rekodi za Wasudan hao wanapokuwa kwao, wakati ina wachezaji wenye uwezo wa kubadilisha matokeo muda...
15 Reactions
74 Replies
4K Views
Naomba mnisaidie kipengele cha kutakata katika bao la kete. Shida yangu ni kujua kipengele cha kutakata katika hatua ya kwanza ya mchezo wa bao. Je ikiwa unatakata ukatua kwenye jumba ni lazima...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Aisee hii ni hatari ya ajabu sana. Duh, mechi Jumapili wewe unaondoka Alfajiri saa kumi Jumamosi kwa ndege ya Ethiopian Airlines na kufika Sudani saa saba mchana. Heeeee! Ikitokea la kutokea...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
~ 1 Diarra ~ 2 DJUMA ~ 4 JOB ~ 5 Nondo ~ 6 Joyce ~ 6 Bangala ~ 7 Fei ~ 8 Aucho ~ 11 Benard ~ 9 MAYELE ~ 10 Makambo Kwanini hivi naamini kikosi hiki kinaweza kuleta ushindi, kwa maana...
2 Reactions
10 Replies
687 Views
Wanaosema timu yetu haiwezi kufuzu, tukifuzu watakuwa upande wetu na wataelezea kitaalam kwa nini tumefuzu. . Kwa hiyo tunaheshimu mawazo yao na tunaomba waendelee kuizungumza timu yetu ili tupate...
7 Reactions
35 Replies
1K Views
Kama mpira ni uchawi basi tuseme Yanga bye bye, lakini Kama siyo uchawi ni uwezo wa timu na mbinu za makocha basi hii mechi ya Yanga dhidi ya Al Hilal bado ngumu sana tena sana. Kama uliangalia...
9 Reactions
32 Replies
2K Views
Binafsi huwa nashangazwa sana na mtifuano wa huyu mwamba na Semaji la Nchi, Haji Sunday Manara. Ni watu wawili ambao kimsingi naona kama wanavuka mstari linapokuja suala la Simba na Yanga...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Hii video inayosambaa kwa kasi inaonyesha Al Hilal, Waarabu weusi, wakiwa kambini wakijiandaa kuwakabili Yanga. Ndugu zetu hawa wana kazi kubwa sana.
4 Reactions
43 Replies
3K Views
𝘽𝘼𝙍𝙐𝘼 𝙔𝘼 𝙒𝘼𝙕𝙄 𝙆𝙒𝘼 𝙐𝙊𝙉𝙂𝙊𝙕𝙄 𝙒𝘼 𝙏𝙄𝙈𝙐 𝙔𝘼 𝙔𝙊𝙐𝙉𝙂 𝘼𝙁𝙍𝙄𝘾𝘼𝙉𝙎 (𝐘𝐀𝐍𝐆𝐀) 13/10/2022 Habari ndugu viongozi wa timu yangu pendwa 𝙙𝙖𝙧 𝙚𝙨 𝙨𝙖𝙡𝙖𝙖𝙢 𝙔𝙤𝙪𝙣𝙜 𝘼𝙛𝙧𝙞𝙘𝙖𝗻𝙨, au kama mnavojiita kiswahili 𝗬𝗮𝗻𝗴𝗮, au...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Back
Top Bottom