Kuelekea mchezo dhidi ya Al Hilal, timu ya Yanga wametangaza bei ya viingilio. Viingilio hivyo vimeainishwa kama ifuatavyo
Kiingilio cha juu zaidi ni shilingi elfu 15 kwa VIP A
10000/= kwa VIP B&...
Manara alisema aliambiwa na Karia "Wana Yanga chupi zao zimejaa kinyesi". Haya maneno nani mwingine aliyasikia? Walikuwa wapi wao tu wawili? Ilikuaje?
Kama ilikuwa public kwa nini wengine...
Boxer ni mchezo ambao unahitaji umpelekee mashambulizi mwenzako ili wewe ushinde. Lakini pamoja na mashambulizi hayo, yupo refa na Masecond ambao wote kazi yao ni kuwalinda mabondia ndani ya...
Ni nini watatutisha El Hilal ..."Kama ni uwekezaji yanga ndio nyumbani."
Hayo nianeno ya msemaji bora kabisa wa yanga kuwahi kutokea.
Mimi nauliza tu,uwekezaji kwenye nini anaozungumzia...
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Wizara ya Michezo nchini Tanzania , kwamba Kaimu Mkurugenzi mpya wa idara ya michezo , Mh Ally Mayai , ametembelea ofisi ndogo ya kitengo chake Mjini DSM ...
Wajuzi hebu mje kama mnajua lolote kuhusu hilo.
Inasemekana kuna wachezaji watatu akiwemo Mwamnyeto walihongwa na Karia ili Yanga ifungwe katika ile mechi. Habari zilivuja na kumfikia Haji, ikawa...
Simba S.C tuache kuizungumzia Yanga S.C kwani kwa kufanya hivyo hatuwabomoi ila tunazidi kuwapaisha
Kitendo cha kila mdau wa Simba kufungua nyuzi za kuiponda Yanga kila muda zinaonesha jinsi sisi...
Hii tetesi kwangu naikubali asilimia 100, hapa kati jamaa aligeuka kero anafanya vitu hadi unajiuliza jamaa vipi tena, amekuwaje?
Basi kila la heri POS maana kesharejea jana, I hope wazee wa...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea kupigwa leo September 30, 2022 ambapo Tanzania Prisons walikuwa wakipepeta na Azam FC kwenye Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine Jijini Mbeya.
Matokeo...
ukweli mchungu!!
Kwenye hizi timu za Kariakoo, hamna hata timu moja itaenda makundi ya CAF, labda kidogo shirikisho!
Labda tena kwa mbinde, naiona timu moja tu tena haipewi nafasi sana ya kufuzu...
Wakuu Hali ni Tete Huko Umakoloni.
Habari za Chinichini Ni Kwamba Mwamba Inonga anataka Mzigo wake Wa signing fee iliyobaki.
Yuko Tayari asicheze Ila alipwe fedha yake na inasemekana wachezaji...
Ila siyo Siri Mo Dewji kwa sasa wala nisikufiche unazingua na unatuzingua sana tu wana Simba SC hasa kupitia hicho Kifidodido chako CEO Barbara Gonzalez.
Hivi Wewe Mo Dewji kama kweli Mzigo wa 20...
Wakuu habari za mda huu.
Ni ukweli usiopingika kuwa vipaji katika mpira huja na kupotea. Lakini kinachosikitisha ni watu wa zamani kupendelea ukale wao na kuamini kila aliecheza zamani alikuwa...
Ni wazi kwamba mashabiki na wanachama wa simba wameweka matumaini makubwa kwa Kuisifia Al hilal jinsi itakavyomtoa yanga na wanakwenda mbali zaidi kuapa ya kwamba ndo mwisho wa yanga awatoboi...
Nimeshangaa mpaka vyombo vikubwa kama Azam kutangaza kuwa Ibra ameshinda kwa KO! Kwenye boxing pale Ibra kashinda kwa TKO!
Kwenye mchezo wa ngumi kuna matokeo manne;
1. Kushinda kwa point
2. Sare...
Vip Leo mnaona tafuti au sawa nimeangalia moja la muindi nimelizika mo naona kajiandaa mabondia wako vizuri ngumi zinapigwa
=================
Bondia Mtanzania Ibrahim Class amefanikiwa...