NDIO, ana kila sababu kung'olewa kimataifa na wababe kutoka sudan ππ πππππ
KILA REKODI ZINAWAKATAA YANGA MBELE YA HILAL
Mashabiki wa yanga wengi wanaoujua na kuufutilia mpira wanajua...
Wazungu wanaojua mpira hasa kufunga huwezi kuwaona hapa nchini.
Tusidanganyane soka letu halina tofauti kubwa sana na la wazungu, ndio maana Al ahly walikuwa washindi wa 3 kwenye club za dunia Al...
FULL INTERVIEW ya Ally Kamwe akiongelea matatizo yake na Haji Manara na mambo mengine ipo kwenye YOUTUBE ya Valor TV @valortv_
Nenda kamsikilize huko utapata meeengi mazuri ya kujifunza kuhusu...
Klabu ya Young Africans SC imezindua App kwaajili ya kutoa taarifa zake ikiwemo, historia, habari za michezo, matukio na takwimu za mambo mbalimbali kuhusu Yanga.
Uzinduzi huo umefanyika leo...
UTEUZI WA YANGA JE WAPO SAHIHI>
Nimetama uteuzi wa Yanga kwenye nafasi mbalimbali kuanzi C.E.O mpy mpaka DIGITL MANEGER je wamepatia wapi na wapi wameteza>
Sasa ndiyo tutaheshimiana Mjini hapa kwani Goal Scoring Machine inatua rasmi Simba SC.
Kuna Uwezekano mkubwa Victor Agban ndiyo akaachwa na Simba SC kwani Kocha hajamkubali japo Viongozi wa Simba...
Kipindi kimekosa mvuto kabisa, kimekuwa kipindi cha majungu, tunakumbuka jana hoja kubwa ilikuwa ni tukio la Yanga kutangaza CEO mpya na Afisa habari wake lakini cha kushangaza kipindi kizima...
Mwaka 2008-2016
Kwenye league yetu ya Kongo kulikuwa mtu ambaye alikuwa anaitwa sangabalende
Huyu sangambalende alikuwa shabiki wa as vita kindakindaki saana
Huyu bwana alikuwa sio msemaji wa timu...
"Ally Kamwe Msemaji mpya wa Yanga SC anapata wapi Uhalali wa kusema Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara ni mwana Yanga SC Kindakindaki wakati Baba yake Mzazi Mzee Sunday Ramadhan Manara...
Ikiwa imebaki miezi kadhaa kabla ya Kombe la Dunia la mwaka huu pale nchini Qatar tayari timu shiriki zimeanza kuachia jezi zao. Tuone timu zipi zina jezi kali.
Wote wana Corporate Personalities za Asili hasa na siyo ile ya Kulazimisha, Wasomi wazuri wa Mass Communication na wana Mvuto wa Kiushawishi hasa kwa Biashara na Mashabiki wa Vilabu vyao husika...
Anaandika Shaffi Dauda
Simba kuna vitu havipo sawa, lakini ni zile zile stori za kuvalishana suti kwenye vumbi au kuifunga Bugati injini ya bajaj ila haibadili kuwa kuna mengi hayapo sawa...
27 September 2022
Benghazi, Libya
Live Broadcast match Libya vs Tanzania
FINAL SCORE LIBYA 2 - 1 TANZANIA
Head Coach Honour Janza na kocha msaidizi Mecky Mexime
Aishi Manula
Abdallah...
Kila mwaka msimu wa usajili timu mbalimbali husajili wachezaji ili kuimalisha vikosi vyao, bahati mbaya baadhi ya timu husajili wachezaji ambao wanakuwa na mchango mdogo kwenye timu zao hivyo kuwa...
Unaweza ukakubali kwamba, kweli TFF ni Simba damu damu. Haiingii akilini, kwa TFF kutoa adhabu kali kwa Morison nyakati kama hizi. Morison ni winga wa kutegemewa kwa Yanga. Na mtihani walionao...
Lazima ni declare interest kuwa mimi ni mwana Simba halisi. Lakini natoa pongezi kwa Klabu ya Yanga kwa uteuzi wao wa Idara ya Habari kwa kuchagua vijana wasomi, wenye weledi na hekima.
Uteuzi...
Amani iwe nanyi.
Nikiwa kama mdau wa michezo, napenda kuishauri kampuni ya habari ya AZAM kuhakikisha kuwa uwekezaji wao wanaoufanya katika tasnia ya michezo unaendana sambamba na kuwapa elimu ya...