Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mzabuni wa jezi za klabu ya Simba Fred Ngajiro 'Vunjabei, amevunja ukimya na kufichua kuwa amepata hasara ya Dola 150,000 (zaidi ya Sh349 milioni). Hasara hiyo imetokana na kubadilisha mfumo wa...
9 Reactions
45 Replies
4K Views
Ukweli ni kuwa mkubwa hakosei. Rais wa TFF ni mtu mkubwa sana kwenye mpira wetu Tanzania. Ndiye kioo Cha mpira wetu kwasasa, yaani kama ni ukatoliki yeye ndiye wa kanisa nchini na kama ni uislamu...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Sikumbuki mara ya mwisho Simba kukaa kileleni ilikuwa lini lakini hatimae leo kaongoza ligi. Nadhani Matola atalala usingizi maana tayari alishaanza kudondoshewa jumba bovu. Hongereni watani...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo Agosti 17, 2022, ambapo Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, anakiwasha na Geita Gold kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es salaam...
19 Reactions
381 Replies
21K Views
Ahlanbik: Kongole kwa kocha zoran maki kwa kupata ushindi wake wa kwanza katika ligi kuu ya NBC hapo nchini Tanzania dhidi ya Geita Gold. Pia pongezi nyingi kwake kwa kumtoa nje kabla ya kipindi...
19 Reactions
21 Replies
3K Views
Yalikuwa ni maamuzi ya wazimu kabisa. Tazama ndani ya muda mfupi tu Spars ilivyobadilika, Naamini kabisa kwa Man Utd mwaka huu Conte angeli challenge Title na Man City.
8 Reactions
29 Replies
2K Views
Tuna muda mchache sana kuelekea Mashindano ya CAF lazima macho yenu na akili zenu zifanye kazi chap chap hatuwezi fika popote katika mashindano ya CAF kama striker ni huyu Dejan Simba haitajin...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Watazifunga magori mengi timu zote (ukiondoa) Yanga. Watasifiwa sana (kama vile watu hawajui trend yao wanapocheza nyumbani). Lakini sidhani kama watapata matokeo mazuri (consistently) kwenye...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Haruyuki Takahashi ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Michezo ya Olimpiki ya Tokyo nchini Japan pamoja na watu wengine watatu wamekamatwa leo kwa tuhuma za kuchukua #Rushwa Tsh. Milioni 886.1. Waendesha...
0 Reactions
4 Replies
705 Views
Rejea uzi wa jana usiku hapa kuhusu kupendelewa mnyama na yanga kufanyiwa hujuma za wazi na uonevu, Sasa mliokua mnapinga nadhani mmeona yaliyotokea mchezo wa leo dhidi ya polisi.na kile ndio...
8 Reactions
39 Replies
3K Views
1. Mshambuliaji Hatari wa Yanga SC Fiston MINOCYCLINE Mayele amemuadabisha baada ya Kuifunga Simba SC goli zake Mbili na akipitia Kwake Beki Inonga? 2. Wana Simba SC tuliomchana live hasa katika...
0 Reactions
2 Replies
698 Views
Simba SC imesajili wachezaji 11 lakini Sadio Kanoute pekee ndiye mwenye ITC. Wahenga wanasema ubora ni kheri ya Idadi. Simba iliona ishindane na Yanga SC kwenye kusajili wachezaji wengi ili hali...
10 Reactions
28 Replies
4K Views
Njoo utupie na wewe conspiracy yeyote kuhusu football.
0 Reactions
9 Replies
564 Views
Simba leo wamefanikiwa kutoa gundu la kipuuzi kabisa, geita gold amekula goals 6-0 huku mfungaji wa goal la kwanza akiwa ni clatous chama dakika ya 7 Haijajulikana kilichosababisha simba...
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Mpaka ligi inaanza bado watu wanasikika hawapo kambini. Ilianzia kwa kocha Minziro, wenzao wanawatambulisha wachezaji kwa maana ya kujiandaa kwa ligi, ikasemekana yupo Dar na hajasaini mkataba wa...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Pamoja na promo za kutosha still Africa na Tanzania ikiwemo Umasikini ni changamoto kubwa sana na hii sio kwa Tanzania peekee ingawa case study ni Bongo. Ukiangalia mashabiki wa hizi timu, utaona...
2 Reactions
3 Replies
510 Views
Jana usiku wamepost picha zao wenyewe kwa raha zao kuhusu mazoezi yao wakijandaa na geita gold kuna raia wamehudhuria na kwenye hizo picha kuna mmoja kabisa anarekodi. Kabla wale wa comment za...
5 Reactions
41 Replies
2K Views
Najua wengi mtanipinga ukweli ni kwamba mpira wa bongo una Sarakasi nyingi sana nje ya uwanja. Babra hajui chochote kuhusu soka, kibaya zaidi hata wale wanaojua siri za mpira wa nchi hii...
8 Reactions
33 Replies
3K Views
Baada ya mechi ya ngao ya jamii, watu wengi wamekuwa wakimshambulia mchezaji mpya wa Simba toka Serbia na kudai kuwa hana kiwango cha maana. Wengi wamediriki kusema alikuja na mzigo wa jezi wa VB...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Hii timu inaweza kuwa inashinda baadhi ya mechi , lakini kiukweli ina ukuta unaovuja mno ! Sielewi simba iliwakosaje yaani ? Game yao na Polisi Tanzania ambayo wameshinda 2-1 ni kielelezo cha...
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Back
Top Bottom