tusingemlaumu zolan maki kama sabu ingetupa matokeo tuliyoenda nayo, tukumbuke kuwa hayo ndo matokeo ya dakika90 na ilikuwa razima mmoja acheke na mwingine alie.
Zoran alikuwa sahihi kabisa...
Simba asiposajili DM na striker wa uhakika lawama zitaendelea.
Kounate ni box to box midfielder, kucheza kama Defensive Midfielder ni kumforce sana. Pia kama ataendelea kucheza DM apunguze foul...
Kwa kilichotokea last season katika uzinduzi wa Jersy, Simba hawakutaka kirudie tena. Wakaamua kukaa na Mkinga maapema zaidi ili kujua muundo mpya wa msimu ujao utakuwaje.
Mkinga akaona isiwe...
Maumivu ni makali sanaa
Hakuna anaeweza kujificha kwa kusema ni kawaida ya mpira, mateso hayapaswi kuwa kawaida
Ukweli ni kwamba tunapitia maumivu makali mnoo, kila mwana Simba leo anaugua...
Hii fedheha imezidi haiwezekani kila tukikutana na yanga sisi ni kufungwa au draw. Tunaenda uwanjani huku moyoni tuna wasiwasi mwingi
Management wao wanaangalia biashara tu hawatujali sisi...
Nawasalimu kwa jina la jmt
Moja kwa moja niende kwenye mada , yakiwa yamebaki masaa kadhaa ili mabingwa wa soka tanzania wekundu wa msimbazi waingie kwenye vita kali ya kusaka point 3 dhidi ya...
Moja kwa moja nijikite kwenye mada,
Hapo jana sikupenda kusema chochote kuhusu simba yangu maana ningeteremsha mitusi mizito kuanzia kwa kocha na mzungu wake ningeambulia ban ya maisha humu...
Klabu ya SIMBA ilianza kufanya Usajili wa Wachezaji wake kwa Msimu wa 2022/2023 mara tu baada ya kuachana na KOCHA wao.Wapenzi wa Soka tuliamini Mtu mwenye Upeo na Ujuzi wa kujua ni Wachezaji gani...
KOCHA wa Yanga, Nasreddine Nabi amechekelea aliposikia rasmi mshambuliaji wake Stephane Aziz KI, ameshatua nchini na kutambulishwa lakini akafichua na jeshi alilonalo kuna kazi nzito msimu ujao...
Kweli Mimi ni wa kulizwa kweli kisa ushabiki? Watoto wangu watanionaje huko mbeleni? Nimepigiwa simu kutoka pande za dunia wakinipa pole.
Kwelii man utd na simba mmefikia huko? Kweli simba hile...
Rais wa TFF kwenye mkutano wa ARUSHA ameviomba vilabu kupeana support vinapocheza mechi za kimataifa
hata hivyo wakati wa tamasha la SIMBA Day
Mwanamuziki TUNDAMAN aliingia na watu wake...
ZIKISALIA saa kadhaa tu kabla ya kushuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kuikabili Simba katika mechi ya Ngao ya Jamii ya ufunguzi wa msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2022-2023...
Najua mnajua nini cha kufanya. Rekodi zetu ni bora sana dhidi ya TFF katika mechi takribani 6 zilizo pita.
Natambua kuwa tangu atie mguu kwenye ardhi ya kibongo Prof NABI hajawahi kupoteza mchezo...
Kama kweli ya jana yamewauma anzieni kum probe henock inonga hata kama kufanya umafia kampuni za simu ku trace mawasiliano yake
Kama wawa alivyochomesha jwaneng jana inonga kakunja pesa na mission...
Simba solution ni simple tu chukueni pesa alizotoa Mo bilion 20 mnunue wachezaji wenye quality ya kupambana na Yanga.
Acheni uswahili kuficha mambo wakati ubovu wenu tunauona.
Kama Mo alitoa...
Sisi tuliokuwa wapenzi wa Pan-Africanism ndio tuliokimbilia Yanga, baada ya timu yetu kuonyesha kutokuwa na future na mipango madhubuti ya kimichezo. Natamani timu hii ikiwa na pacha wake nyota...
Haina salamu! Moja kwa moja kwenye uzi
Hivi benchi la ufundi la timu ya simba linaruhusu vipi hili duka la GSM kuendelea kuidakia timu yetu??!!! Hawa wachezaji tunaowasajili kutokea Yanga si wa...
Kocha Erik ten Hag ameamua kufuta mapumziko kwa wachezaji wake wa Manchester United mara baada ya timu hiyo kufungwa magoli 4-0 dhidi Brentford katika Premier League.
Licha ya kuwa watakuwa na...