Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

*Hivi umeshawahi kushuhudia CAF wakijishughulisha na mashindano ya Kagame Cup, jibu ni hapana, na sababu ni moja tu, kwamba CAF kama baba wa Mpira Afrika hawayatambui mashindano hayo. *Hivi kwani...
3 Reactions
9 Replies
692 Views
Kwa muda mrefu sana katibu Mkuu wa chama cha soka amekuwa akimtumia The Voice of Voiceless kufikisha ujumbe au kile kitakacho tokea hususani katika maamuzi au kuwaanda watu kisaikoloji kinachokuja...
1 Reactions
6 Replies
632 Views
FT Yanga 1 - 2 Zanaco Soka sio kipompipompi, soka sio makelele midomo mirefu..Soka ni mipango. Huu ni mwanzo tu. Nawaambia kabla ya TPL kuanza mtakuwa nje CAFCL. Kwa wale wasiofahamu ni kwamba...
31 Reactions
87 Replies
9K Views
Nani kama wewe Mkuu wa Kazi, umesimama imara ktk kuhakikisha mpira wa Tanzania haujinasiwi na makanjanja ... Katika awamu yako tumeshuhudia timu za taifa mbalimbali zikifanya vizuri, tumefuzu...
1 Reactions
1 Replies
530 Views
Bofya Hapa Kumsikiliza... Njaa zinabadili upepo wa Riadha Mwanariadha wa Mbio za uwanjani, Mita 5000 ( Track and Field) Faraja Lazaro, ameshauri wahusika wa Riadha, wawekeze kwenye mashindano ya...
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Mpira umekuwa Biashara kubwa sana Duniani, ukitoa biashara ya mafuta, gas, Madini na silaha, mpira ni moja ya Biashara kubwa, ni hatari kukabidhi timu wahuni, wasio jua thamani ya dhamana...
3 Reactions
9 Replies
722 Views
GENTAMYCINE leo nataka niiangalie Klabu inayojua Kusajili Wachezaji wa maana, wenye Afya, wanaojitambua, wenye Uwezo na Mafundi Watupu wa Yanga SC na siyo wa Timu zingine ambazo Wachezaji wao Afya...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari ndugu Wana JF, Kutokana na uchambuzi wangu, ufuatiliaji, na references mbalimbali kutoka kwa wachambuzi, vyombo vya habari imethibitika Mayele mmoja sawa na kikosi chote cha Simba + benchi...
7 Reactions
145 Replies
5K Views
Mdogo wangu mtangazaji, najua mmecheka sana mimi kukandwa Naomba utambue kua kukandwa ni jambo la kawaida sana kwenye mchezo wa soka Mdogo wangu mtangazaji, kama unadhani mchezo wa soka ni...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
mnasahau mapema mnoo
0 Reactions
7 Replies
761 Views
Habari za uhakika zinasema Haji Manara ataitwa katika kamati ya maadili kujibu ni kwa Nini alidharau maamuzi ya kamati na kwa Nini asifungiwe kutojihusisha na soka maisha
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa ile kiu ya mashabiki wa simba juu ya uzi wao mpya watakao utumia msimu huu kitendawili sasa kimeteguliwa. Leo saa tano asubuhi jezi zitazinduliwa kaa mkao wa kula.#we...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Joyce Lomalisa full back ya kushoto ana balaaa. Nyutiiii nyutiiiii
0 Reactions
6 Replies
760 Views
Katika Hali isiyo ya kawaida yule msemaji wa utopolo aliyepigwa marufuku kujihusisha na mambo ya mpira ndani na nje ya nchi Kwa muda wa miaka miwili, Leo ameonekana ndani ya uwanja wa mkapa akiwa...
4 Reactions
136 Replies
9K Views
Kimeumana, Baada ya Manara jana kukiuka adhabu ya kifungo, leo TFF wamewapeleka kwenye kamati ya maadili Rais wa Yanga na Manara.
0 Reactions
6 Replies
535 Views
Mechi nne zilizopita za Kimataifa ambazo Yanga kacheza, kaishia kupoteza zote. Alianza kupoteza alipocheza na Zanaco, wote tunajua Kapumbu alivyowafanya. Kisha wakapoteza mechi mbili za home &...
7 Reactions
10 Replies
915 Views
Ni kweli Engineer Hersi ni mshkaji wa Manara, lakini linapokuja swala la kutii mamlaka ya TFF na kamati zake, Taasisi yoyote ile iliyochini ya mamlaka za TFF inapaswa kuziheshimu. Yanga kama...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Azizi Ki, Morison, Mayele, Bigirimana na Joyce wote ndani halafu tunapata matokeo sisimizi... Usajili wakijinga sana huu sijawahi kuona hata sijui nitarudi vipi nyumbani leo
4 Reactions
6 Replies
607 Views
Ifike wakati tuseme Yanga ni zawadi iliyoshushwa na Mungu kwa soka la nchi hii, kuna vi team vingine vijifunze jinsi ya kuendesha soka kwa weledi jamani Wapiga majungu mlichooonga sana eti leo...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Najiuliza tu mechi ya Leo vipi ngekuwa ni caf champion league,.yanga walishapigwa tayari ,
2 Reactions
6 Replies
822 Views
Back
Top Bottom