Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kama title inavyoonekana, Manara amesitishiwa na klabu yake mamlaka ya kuongea na vyombo vya habari akiwa mbele ya nembo za klabu na wadhamini wake. Hii ni dalili tosha kwamba Yanga imetii amri...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Watanzania tukae mkao wa kula. Jana usiku mkombozi wa Afrika Mashariki, AZAM TV, ilitangaza kuanza mazungumzo kwa ajili ya kuonyesha EPL na LA LIGA moja kwa moja kuja majumbani kwetu yani live...
1 Reactions
49 Replies
15K Views
Kihistoria tumewapiga mabao hawezi kurudisha hadi leo. Kimataifa tumewapita karibia zaidi ya timu 80 wako nyuma yetu. Hawana uwanja ila Simba wana Mo Arena. Mikataba ikisainiwa mtasema tunafoji...
6 Reactions
45 Replies
2K Views
Binafsi niliacha kufuatilia ngumi baada ya checka na Rashid matumla kustaafu, lakini ni hivi karibuni naanza kufuatilia mchezo wa boxing kutokana na Tambo za mandonga. Kuna vitu kidoogo...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Mimi nilidhani Jezi Mbovu na Kituko FC hii tabia yenu ya Kipuuzi na Kishamba mmeiacha kumbe bado mpo nayo? Na bahati karibia 75% ya Wachezaji wa Transit Camp ambao ni Wajeda ( Wanajeshi ) ni...
6 Reactions
54 Replies
4K Views
Ayo si maneno yangu ila yao ni maneno ya FARID KUBANDA maarufu kama FID Q kwenye nyimbo yake ya BONGO HIP HOP. kwa haraka haraka ayo maneno unaweza ukayachukulia kawaida tu ila aya maneno...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Hizi fans concepts huwa ni kali sana ila siku ya mwisho unashangaa watuwanakuja na utopolo wa kutisha kabisa, i like this one tamu sana
8 Reactions
23 Replies
3K Views
Shangwe kubwa linamsubiri nabii huyu wa logo ya utopolo fc, wakati kelele zinapigwa kwamba nembo ibadilishwe mcheza netball, mwenge na bondia watolewe kelele hizo zilipuuzwa kumbe Mungu alikuwa na...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
https://pmbet.co.tz/en/auth/signup/A360 haya wazee waku...
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Ujue ile billions 12 ya sportspesa imejumuisha kama watachukua ubingwa wa Afrika lakini hilo halisemwi ,wewe unaweza kuogopa ila wajuba wa jangwani/ salamander mwaka huu wamesema wanatoboa hadi...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Kama kampuni za Sportpesa, m-bet, Azam media, NBC na TBC zimetoa billion zile zote kwaajili ya kutangazwa na Simba na Yanga kwenye jezi zao je, mo na GSM kuweka matangazo yenu kwenye jezi za Simba...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Inasemekana baada ya pambano hakurudi hata hotelini; ameondoka usiku mnene bila kuaga. Anasema uchawi umehusika alikuwa anaona mishale tu badala ya ngumi ndiyo maana kapigwa. Anaamini yeye bado...
16 Reactions
37 Replies
3K Views
Ilikuwa ni lazima isubiriwe ya Mabingwa watetezi wataje yao ili walete formula yao. Nani hakuona hili? Cha ajabu imekuja formula ambayo haijawahi tokea duniani kote. Yaani sponsorship deal...
3 Reactions
56 Replies
4K Views
Tajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal...
17 Reactions
58 Replies
5K Views
*Kwa wale wazee wa kubeti* Mikeka mitatu ya leo iko tayari la kufanya ni wewe kunitumia msg *Inbox* na mimi nakutumia mikeka *Bureeeeee*[emoji395][emoji395][emoji395][emoji395][emoji395]
1 Reactions
16 Replies
9K Views
Tukubali tu Mo anajua biashara na ndio maana ni tajiri, wewe huna hata genge wala tuta la mchicha hapo kwako unataka kubishana nae jitafakari. Wakati Simba inawekwa sokoni ilikuwa ni timu kubwa...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu na kwa kadri ya muonekano wa game ya kwanza , huyo bondia mwanajeshi wa Tanzania aitwaye Kidunda hana uwezo wa kumpiga Bondia Mkongo Katompa , hata afanye mazoezi...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Rejea kichwa cha habari. Kutokana na na uzi mpya wa Yanga kusheheni ramani za mitaa sijui na matawi huku kukiwa na picha za magofu na makaazi, imesemekana uongozi uko kwenye mazungumzo na wizara...
1 Reactions
8 Replies
959 Views
Mmoja ni kiprofeshino na mwingine wa chuplichupli.... Mfano wa hundi ya malipo ya sportpesa kwa Yanga Mfano wa hundi ya malipo ya m-bet kwa simba Nadhani hapo mmejionea nani ana mkataba wa...
5 Reactions
73 Replies
5K Views
Hakuna ubishi kuwa Karia ni mwana Simba na mwana coastal Union. Lakini hakuna ubishi Manara amezikera sana Simba na coastal Union msimu huu kwa matukio tofauti. Adhabu aliyopewa Haji Manara ya...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom