Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Endeleeni tu Kumchekea huyo Msemaji wa Yanga SC Haji Manara na Upuuzi wake, ila ipo Siku mtatukumbuka tunaowaonya 24/7 kwa Madhara makubwa ambayo yatatokana nae huku mkimuogopa au mkiogopa kwakuwa...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Yaani nikiona Rais wa TFF Wallace Karia na Kamati ya Maadili TFF mmemsamehe Mhamasishaji wa Yanga SC Haji Manara baada ya Yeye leo Kuwaombeni Radhi nitawadharau na Kuwachukia Milele. Rais wa TFF...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Sekretarieti ya TFF imefungua shauri mbele ya kamati ya maadili dhidi ya Ofisa wa Klabu ya Yanga Haji Manara, kutokana na vitendo vya ukiukwaji wa maadili. Manara alionekana akijibishana na...
11 Reactions
176 Replies
12K Views
inaiskitisha sana, dah kwa hiyo mkatooka congo hadi ......he :D😜
1 Reactions
8 Replies
722 Views
Hongereni sana TFF kwa kulinda nidhamu ya taasisi yenu, hata hivyo mnatuacha njia panda sana kwan baada ya mwezi mmoja au 2, zungu pori atasamehewa, licha ya makosa yake kujirudia rudia lakini...
0 Reactions
0 Replies
342 Views
Niseme tu yanga ndiyo klabu inayoendeshwa kwa mpangilio wa hali ya juu yaani level za la liga, communication kati ya kitengo hadi kitengo ni ya hali ya juu na kwa nidhamu ya hali ya juu sana...
7 Reactions
35 Replies
2K Views
1. Aishi Manuka 2. Shomary Kapombe 3. Mohammed Hussein Tshabalala 4. Henock Inonga 5. Mohammed Outtara 6. Victor Agban 7. Okra Messi wa Ghana 8. Clatous Chama 9. Moses Phiri 10. Lobi Manzoki...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
Habarini, Kwasasa Timu Ya Taifa Ya Tanzania kwa upande wa Wanaume kwenye mpira wa miguu, Kwa Miaka Mingi Imekuwa haifanyi vizuri katika Mashindano Ya Timu za Taifa. Hii inatokana na kukosa...
2 Reactions
6 Replies
665 Views
Goli la dogo Pape Sakho ambalo linawania Tuzo ya Goli Bora la Mwaka la CAF limeingia kwenye orodha ya magoli matatu ya mwisho ambayo yanawania tuzo hiyo. Sakho anachuana na Gabadinho Mango wa...
0 Reactions
1 Replies
465 Views
Kwa mlundikano wa Makosa ya Mhamasishaji wa Yanga SC na Jeuri zake pamoja na Dharau anazowafanyia Watendaji wa TFF Injinia Hersi Said na hata Watu wa Yanga SC wenye Akili wanajua kuwa kwa Haji...
4 Reactions
40 Replies
4K Views
Imedaiwa kuwa kiungo wa Barcelona, Frenkie de Jong hataki kuhamia Manchester United kwa kuwa haupendi Mji wa Manchester na anaamini klabu hiyo haiendeshwi vizuri. Ilielezwa kuwa Man United...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Hili sakata bado zito sana. Ni mawili. Subiri mwezi wa 10 ili umchukue mchezaji akiwa huru. Au peleka signing fee ya $100,000 ili chezaji apewe release letter na mukamilishe usajili wake...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Tuuweke ushabiki wa Usimba na Uyanga pembeni angalau kwa muda mfupi katika hii mada. Pamekuwa na ubishani mkubwa sana kuwa Clotus Chota Chama ndiye mchezaji bora zaidi kuwahi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Halafu acheni Kupeleleza kila mara Simba SC anataka Kumsajili nani ili nanyi mjitutumue Kumsajili. Mnajifanya Kuficha Siri ila imeshafichuka kuwa kumbe nanyi mlimtaka Okra ambaye anamzidi Aziz K...
8 Reactions
24 Replies
2K Views
Baada ya mabingwa wa ligikuu kutangaza kubaki na Moloko huku Yacouba Sogne na Chico Ushindi kupewa mkono wa kwaheri, ni dhahiri sasa Prof Nabi amekusudia kumtumia Stephane Aziz Ki atakuwa...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Walianza Berkane. Wakafanya umafia wao kwa Adebayor. Wakafuata Yanga SC. Wakafanya umafia wao Kwa Aziz KI. Akaja Rais wa Vipers SC akafanikiwa kuwabania Ceaser Nzoki. Hata ikawafanya waende...
4 Reactions
40 Replies
5K Views
Ukitazama kwa umakini na ukaweka kando ushabiki na mapenzi utakuja gundua kuwa kwa kikosi hiki cha wakina Chibu Denis, Sakho na pimbi wenzao wakina Banda utagundua dhahiri kuwa hakuna jambo jipya...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Tunashindwa hata kumfunga Azam aliyechezeshewa bao mbili na Mbeya City, Sisi tuna akili kweli? Kwa namna hii ya Uchezaji Mnategemea tungefanya nini jipya kwenye michuano ya Shirikisho CAF? Gape...
14 Reactions
42 Replies
3K Views
Upo msimu ujao. Msimu ambao panick buy ya wachezaji itafanyika pasi na kuzingatia vigezo na matakwa ya kiufundi. Msimu ambao hata mwalimu atakayrkuwa akiiongoza hatoweza kuwa na First 11 yake kwa...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…