Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Haiwezekani Yanga SC yetu imeupata Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na Fedha nyingi na ikaishiwa Pesa na kuweka Kambi nje ya nchi kujiandaa na Mechi zao za Mashindano mbalimbali ambayo tutanusa tu na...
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Yes mmetuma barua ya maombi tarehe 8 /08 waje simba day lakini haihitaji kuwa rocket scientist with PhD kujua kwamba hilo haliwezekani kwani majamaa wana super cup vs Berkane kama sikosei ni...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Nimeumia sana kuona mchezaji (Mshambuliaji)wangu ndani ya kikosi changu cha Msimbazi KOPE MUSHIMBA MUGALU akibezwa na baadhi ya mashabiki wasiojielewa. Nani hajui mziki wa huyu jamaa? Nani hajui...
3 Reactions
54 Replies
3K Views
Ni bora kuweka kambi ndani kwa wanajangwani inafaida hata kiuchumi hasa kwa wakodishaji viwanja na mahoteli pia.
0 Reactions
2 Replies
307 Views
Mchakato wa Manchester City kuelekea kumsajili Erling Haaland wa Borussia Dortmund unaelekea pazuri hiyo ni baada ya kudaiwa kuwa wameshafikia makubaliano ya mshahara wa paundi 500,000 (Tsh...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wa bodi wa JF hususani wana michezo. Moja kwa moja kwenye mada. Kaka GENTA uko wapi sioni maoni yako katika kipindi hiki Cha usajili klabu yetu(Simba) inasajili wachezaji wanaotoka vilabu...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Machampioni wa kandanda nchini, timu pekee inayojulikana kuiwakilisha Tanzania kwenye medani za soka Afrika Simba sports club ya jijini Dar es salaam inatarajia kucheza mechi tatu nchini misri...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Miaka ya Mimi nikiwa kijana utani wa simba na yanga ulikuwa wa kucheka na kufurahi.SOKA LILIKUWA TAMU Miaka hii,imekuwa robo tatu ni vita,chuki ugomvi na kudharaulina. Hii hali ikiachwa iendelee...
0 Reactions
10 Replies
872 Views
Naam hali ni tete sana kwa simba kwani usajili unaoenda kutangazwa muda wowote huko jangwani si wa mchezo mchezo nchi itatikisika na utaacha vilio vikubwa sana hapo Simba. Tajiri mwenyewe Ghalib...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Hatimaye Usajili Bora zaidi katika dirisha hili la Usajili. kutoka Afrika ya Magharibi, mabingwa watetezi & wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Bara wamtambulishaa Stephane Aziz KI kama mchezaji...
20 Reactions
136 Replies
12K Views
Mpaka sasa wanayanga mnapaswa kujipiga kifuani kwa kazi kubwa sana iliyofanywa na viongozi wenu katika dirisha hili la usajili. Wengi wenu mmeonekana kuridhishwa kwa asilimia 100 kwa namna...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakati michuano ya club bingwa barani Africa hatua ya awali ikitarajiwa kuanza mwezi ujao tetesi zinasema kuwa uongozi wa Yanga kupitia CEO wao senzo wameiandikia shirikisho la mpira wa miguu...
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Mchezo uliomalizika jioni hii Kati ya Simba na Ismailia umeishia sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza wa pre-season kwa Simba. Bao la Simba lilifungwa na Augustine Okrah. Simba nguvu moja, wale wa...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Kocha wa Barcelona, Xavi Hernandez ameshindwa kusafiri na timu yake kwenda Marekani kutoka Hispania kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya kutokana na sababu za kiutawala. Xavi amezuiwa kwa kuwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu It’s fight night for Undefeated kingryan Garcia as he is set to enter the ring against the veteran Javier Fortuna. . Pambano Hili ni this Saturday night live on dazn boxing from Cryptocom...
1 Reactions
3 Replies
419 Views
July 12: Contract extensions for:- Abdallah Shaibu - 1 Year (Ends in 1 July, 2023) Fiston Mayele - 2 Years (Ends in 11 July, 2024) Dickson Ambundo - 1 Year (Ends in 28 June 2023) July 13 - 15...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Admin wa mitandao ya kijamii ya Yanga ana kazi ya ziada msimu huu😆😆😆
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Ukiangalia uwezo wa timu zote zilizowahi kuitoa Simba Sc robo fainali,ni timu zenye kasi sana. Orlando Pirates na Kaizer Chiefs. Angalia pia timu zinazopenya nusu fainali,hakuna timu inayocheza...
11 Reactions
14 Replies
2K Views
Watu wa Soka, Muda mfupi uliopita tumemtambulisha Golikipa mahiri wa Klabu ya Azam (akitokea Tanzania Prisons FC kwa mkopo), Benedict Haule, kuja kuongeza nguvu kwenye kikosi chetu. Haule...
0 Reactions
10 Replies
910 Views
Watu wakiambiwa Senzo ni genius wanabana pua na kuanza kutikisa masikio, yanga ya sasa ni mooto wa kuotea mbali kiuongozi nje na ndani ya uwanja, wakati itakapokuwa imetoka katika kambi ya kisasa...
2 Reactions
67 Replies
5K Views
Back
Top Bottom