Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Vuguvugu na patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo Mei 22, 2022 ambapo Wajimbaji wa dhahabu Geita Gold FC wanakiwasha dhidi ya Mnyama Mkali Mwituni Simba SC kwenye Uwanja wa CCM...
4 Reactions
322 Replies
17K Views
Kuna mbinu zinatumiwa na mawakala wa wachezaji kupandisha thamani ya wachezaji wao. Ni kuzichagiza timu kubwa na pinzani kwa mchezaji wao. Mfano Chama anaongezewa thamani ambayo hana kwa...
4 Reactions
40 Replies
4K Views
๐—œ๐—ฑ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐˜€๐—ฎ ๐—š๐˜‚๐—ฒ๐˜†๐—ฒ ni mchezaji wa klabu ya mpira wa miguu ya Paris Saint Germain (PSG) aliyekataa kuvaa jezi ya timu yake ambayo kwa upande wa namba ilikuwa imeandikwa rangi zenye kuashiria mahusiano...
11 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimeangalia mechi vs Geita Gold nikabaki natikisa kichwa tu...dah kwa kweli kazi ipo..ukweli ni kwamba mechi ya fainali hiyo trh 28 utopolo ndiye favourite kushinda hata makampuni ya betting...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Liverpool gave City a toughest challenge till the end. Premier league was incredible as always. Congratulations to City though i wished Arsenal took it. Iโ€™m excited to see how Tottenham Hotspur...
0 Reactions
2 Replies
546 Views
Simba inaelekea kushika nafasi ya 2 msimu huu lkn kiukweli quality ya wachezaji wake iko chini sana, iko chini mno, mechi wanazopoteza huko mikoani kama dhidi ya kagera, mbeya city, biashara mara...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Makata kudai ambulance kuwepo uwanjani ni suala la kikanuni na Ambulance haikuwepo uwanjani bila kujali kuwa ilikwenda wapi kufanya nini. Ambulance ni gari maalumu lenye miundombinu inayoweza...
15 Reactions
85 Replies
6K Views
Mtaishi maisha ya tabu sana Safari hii Mliicheka Real Madrid ilipo kua inabadilisha makocha Kama bukta kisa uepo wa pep guadiola akiwa barca, sasa ni zamu yenu na cjui mtawaleta makocha gani WA...
14 Reactions
140 Replies
12K Views
Kumekuwa na dhana potofu kuwa Azam na Simba ni maswahiba na kwamba Wanapocheza ushindani hamna kuliko Azam inapocheza na Yanga.Lakn ukifatilia ukweli sio huo, Yanga na Azam ndio zimekuwa kama Pete...
2 Reactions
8 Replies
826 Views
Manchester City imefanikiwa kutetea taji la Premier League msimu wa 2021/2022 baada ya kushinda mchezo wa mwisho wa ligi hiyo kwa mabao 3-2 dhidi ya Aston Villa, leo Mei 22, 2022. Man City...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Nikiwa maeneo fulani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya Yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Naanza kwa masikitiko ya kinachoendelea katika timu hizi nikiona dalili ya kufa kwa hizi timu kutokana na kupoteza wachezaji wengi sana pasi na kufanya usajili mpaka sasa 1. Chelsea Timu hii...
7 Reactions
45 Replies
3K Views
Kipa wa Simba, Aishi Manula amepata majeraha ya kukatwa na kioo kwenye mkono akiwa katika vyumba vya kubadilishia nguo kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, muda mfupi kabla ya kuanza kwa mchezo wa timu...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Kitendo cha Manchester City kutolewa kwenye mashindano ya UCL kimewavunja moyo Sana kiasi kwamba huenda wakashindwa hata kuwa mabingwa wa EPL. Inaumiza Sana ,ikiwa kila Takwimu...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Leo jumapili 22/05/2022, dirisha la EPL litakuwa linafungwa huku bingwa akiwa bado hajapatikana. Man City na Liverpool watakuwa wanawabia ubingwa. Huku kukiwa na tofauti ya point moja tu. Man...
2 Reactions
42 Replies
2K Views
Wakati Yanga akihitaji point nne tu kutangaza ubingwa huku ikibaki michezo mitano kukamilisha ligi kwa timu zote mbili, ninependa kujua timu zilizobaki kucheza na Yanga na zile zitazocheza na Simba.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wameshinda mechi tatu tu (dhidi ya Dodoma Jiji, Coastal na ile dhidi ya KMC pale Tabora). Wapinzani wao wakubwa (Yanga) wameshashinda mechi tisa nje ya Uwanja wa Mkapa msimu huu. Nini...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imekutana leo Mei 20, 2022 kusikiliza mashauri yaliyowasilishwa yakiwahusu Ofisa wa Yanga, Haji Manara na Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara...
2 Reactions
50 Replies
4K Views
Ajabu sana aisee makanjanja na utopwinyo kumzodoa Clatous chama kwamba alikosea kuondoka Berkane kisa wameshinda confederation cup huku wakisahau jamaa jina lake lipo miongoni mwa watakaopokea...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Habari ya Jumapili. . Naomba Kujua kwamba ni Kiasi Gani Bingwa Wa Msimu Huu atakipata Kutoka Kwa Mdhamini Mkuu Wa Ligi. . Nimeamgalia Hivi orodha ya fedha atakayoipta Yanga kama Atakuwa...
1 Reactions
9 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ