Lionel Messi anaongoza kundi la watu ambalo kwa pamoja wamekuwa wakijipatia zaidi ya $990m katika miezi 12 , huku kiwango cha kuwania nafasi hiyo kikipanda zaidi ya ilivyokuwa awali.
Lionel Messi...
Tumeona wiki zilizopita kuwa baada ya Manchester United kushindwa kufuzu Ulaya ndipo UEFA ikakaa chini ibuni mbinu hata kama ya kijanjajanja ili mradi Man Utd wafuzu
Na nyie mmeona Man Utd kapewa...
Simba imewaudhi mashabiki zake kwa kuwadanganya kuwa raundi ya 2 watakamata usukani na kuendeleza yale ya msimu uliopita kwa kubeba ubingwa, kilichopo sasa ni dhahiri mtani amenyanyua makwapa...
Bodi ya Ligi Kuu ya England ‘Premier League’ umethibitishwa rasmi kupitisha mchakato wa Klabu ya Chelsea kuuzwa kwa paundi bilioni 4.25, ambapo mnunuzi ni Bilionea Todd Boehly.
Klabu hiyo...
Kwanza niweke wazi, Mimi ni mwanachama wa yanga na ni mnazi pia wa klabu hii. Nimeamua kuandika uzi huu ili kupata mtazamo wa watu mbalimbali ambao wanauelewa mpana kuhusiana na maswala ya soka na...
Nimemfuatila kwa karibu akicheza.Jamaa anajua mpira. Ana-receive mpira vizuri, anajua kuwatoka mabeki (bila kutegemea mambio) na anaweka krosi nzuri sana (za kuchungulia).
Ofcoz bado hajawa na...
Simba ilishamalizana na Morrison kitambo tu, haina mpango wowote na Morrison, azimio la bodi ya wakurugenzi ni kuachana naye, na kwa vile mktaba wake haukwisha, walimwambia apumzike hadi msimu...
Habarini wana jamvi nimetumia siku nzima ya leo kutazama game zote 4 za Yanga SC zilizopita ili nipate kufahamu jambo lililo nje ya macho yetu mawili.
Kwa uwezo wa Mkongomani huyu Fiston Kalala...
Naam! Karibuni Sana Wapenzi Wa Soka Na Wapenzi Wa NBC Premier League Ama Kwa Hakika Leo Mei 23, 2022 Itapigwa Mbungi Hapa Kati Ya Biashara United Mara Ama Wanajeshi Wa Mpakani Wakiwaalika Dar Es...
Hatimaye Serikali ya Uingereza imeonesha njia ya wazi kwa Bilionea Roman Abramovich kuiuza Klabu ya Chelsea kwa Todd Boehly kwa paundi bilioni 4.25 (Tsh. Trilioni 12.3) ndani ya saa 24 zijazo...
Bora mara mia kufuatilia siasa za Kenya utajifunza mengi ya muhimu kuhusu demokrasia kuliko siasa za Tz.
Bora kufuatilia ligi ya soccer la Uingereza/Ulaya utajifunza mengi kuhusu soccer kuliko...
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani...
Wakuu,
Kiwango cha Simba kinazidi kuporomoka mno. Mbaya zaidi ni kama wanachama na mashabiki tumekubaliana na hii hali. Tunapaswa kuhoji viongozi wetu, huu ni muda wa uwajibikaji.
1) Kwanini...
Ndugu zangu wanasimba wenzangu kwanza niwape pole kwa kuendelea kupoteza mwelekeo kwenye ligi na kuzidi kupishana na mpinzani wetu Yanga.
Kuna mambo kadha wa kadha nataka kuyaweka sawa ambayo...
Nimeona uchezaji wa mawinga wa simba leo sio stubborn hata kidogo kwa game tough. Morrison katusaidia sana kuleta mivurugano kwa mabeki kwenye game za namna hii.
Nawaombeni viongozi wetu...
Kama sikosei huyu Pep ana miaka si chini ya mitatu kwenye mkataba uliopo sasa kwa jinsi timu za EPL zinavyoperform na zilivyoperform misimu miwili iliyopita wakati Pep anachukua ubingwa mfululizo...
HT
0-0
Orlando 77% to win
Zbc live
Kipindi Cha pili kimeanza
==========================
RS Berkane yatwaa ubingwa kwa penati
RS Berkane ya Morocco imetwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho...
Wivu hufanya mtu aendelee kudumaa hufikiri ktk mawazo hasi mara zote hufurahia hasara kwa mwenzie kuliko kutatua udumavu wake.
Well msimu uliopita @simbaSCTanzania ilikuwa ktk kundi moja na...
Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa ligi pendwa duniani al maarufu EPL hapo Jumamosi ya tarehe 13, Agosti 2021.
Hii ndio top 4 yangu kwa msimu huu mpaka inafika tamati.
1. Chelsea FC
2. Man City...
Leo, tuwakumbuke wachezaji kutoka kusini mwa Afrika waliowahi kucheza soka hapa Tanzania, nikianza na Wisdom Ndlovu kutoka Malawi, huyu alicheza Yanga. Unamkumbuka yupi? Endeleaa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.