Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Naendelea kusema kuwa ni makosa kujiaminisha kuwa Yanga anakikosi bora, pamoja na kuongoza ligi na uwezekano mkubwa wa kuchukua kombe bado hatuwezi kusema Yanga ni bora. Yanga bado haijawa TESTED...
14 Reactions
110 Replies
5K Views
Kwa Sasa Yanga Kumekuwa na Press Conference nyingi sana. . Hivi Msemaji wa Yanga Anapitisha PRess conference kuzungumza haya?. . Anachokifanya huyo bwn ni kuwatisha waandishi wanaogopa hata...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakuu, Nimemsikia Haji Manara na Bumbuli leo kwa nyakati tofauti wakiwamwigia sifa wachezaji wetu kuwa ni bora sana na mziki wao si wa kitoto. Nimesoma facial expressions za hawa jamaa zetu ni...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Yaani bado masaa 48 lakini mpaka sasa mwamuzi bado hajatangazwa! TFF amkeni acheni kuongoza soka kizamani. Tunaomba alhamisi mumtaje mwamuzi ili tumjue
0 Reactions
3 Replies
502 Views
Jumamosi ya tarehe 30 Aprili 2022 kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa kutakuwa na mpambano wa soka wa watani wa jadi baina ya klabu ya Simba na Yanga za Dar es salaam utakaochezwa saa 11 :00 jioni...
0 Reactions
1 Replies
861 Views
NABI: TUTAMKOSA MCHEZAJI MMOJA TU . “Tuna timu kamili nafikiri hii itakuwa sapraizi ya kwanza sijajua tumtumie mchezaji gani kuelekea mechi hii. Kila mtu yuko tayari na wachezaji wanataka kucheza...
10 Reactions
31 Replies
2K Views
Kisaikolojia Simba huu mchezo walishaupoteza almost wiki sasa maana baada tu kuisha mchezo wa kwanza hapa kwa mkapa...washabiki wa simba asilimia 90. Pamoja na uongozi wao wakakata tamaa ya...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Mchezaji hawezi kuwa offside kama amezidi mikono... 👇
1 Reactions
5 Replies
608 Views
Kwa muda alioichezea timu ya Simba na mapitio aliyoyapitia na kuendelea kupata namba katika kikosi cha timu ya Simba mpaka leo; ni wazi kabisa baada ya kupoteza mchezo jumapili iliyopita, Mkude ni...
2 Reactions
8 Replies
922 Views
Wajuvi wa mambo nielewesheni. Alimaanisha nini huyu kiongozi!
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Haji Manara amesema soka ni mchezo muhimu sana, inaweza simamisha vita, kuleta vita na hata kuwaleta watu pamoja au kubaguana. Amesema kiongozi mmoja mkubwa serikalini alimpigia simu na kumwambia...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwanza kabisa napenda kusema kuwa sina taaluma yoyote ya Uamuzi(referee) katika soka, bali mimi ni mfuatiliaji wa soka... napenda wataamu mnisaidie hapa 1: goli walilofungwa Simba, kwa mtazamo...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Ligi ya mabingwa ulaya inaendelea usiku hatimaye imefikia hatua nusu fainali , usiku huu kuna mtanange wa kufa mtu ukikutanisha miamba kati ya real manchester city vs real...
6 Reactions
117 Replies
8K Views
1. Joash Onyango 2. Henock Inonga 3. Clatous Chama 4. Pape Ousmane Sakho 5. Bernard Morrison 6. Peter Banda Ambao sijawataja hapa waachwe upesi sana Msimu wa Ligi Kuu ya NBC ukimalizika tafadhali...
8 Reactions
76 Replies
6K Views
Ni wakati sasa kwa TFF kutoa adhabu kali kwa hawa washirikina. Jambo hili halikubaliki hata kidogo. Yaani tunaonekana Watanzania ni watu wa juju! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo. Unafanyaje...
11 Reactions
53 Replies
4K Views
Michezo miwili itapigwa leo majira ya saa tano usiku kati ya Borussia Monchengladbach dhidi ya Manchester city huku Atalanta akiialika Real Madrid . Kiwango bora walichonacho Manchester City...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna clubs matajiri katika bara la Africa zikiweno Al Ahly, Zamelek na Esperance lakini zinaendeshwa kwa mtindo wa wanachama. Kuna timu zinazoaendeshwa kwa umiliki wa mtu kununua au kuweka mzigo...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Bondia Tyson Fury amefanikiwa kutetea Mkanda wa WBC The Ring baada ya kumpiga Dillian Whyte kwa TKO katika raundi ya sita ya pambano lao la usito wa juu usiku wa kuamkia leo Aprili 24, 2022...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…