Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na
kulikuwa na mrembo mkali hujawahi
kuona,kila kijana alikuwa akimtupia
macho,so me nilikuwa na wepesi wa
kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando
yake...
Siku za nyuma niliajiriwa na benki moja ya biashara hapa mjini nikiwa idara ya mikopo. Thanks God, vijisenti vya kutumia vikawa havinipigi chenga. Nikapata marafiki kedekede, wake, waume, watoto...
Good morning....
Enzi hizo naanza chuo nlikua nashangaa kila mwana chuo anasema kwao dar, mtu anaongea lafudhi yani kisukuma cha ndani kabisa huko mwamashimba ila ukimuuliza kwao anasema dar tena...
Kumekuwa na kilele nyingi sana kuhusu hii serikali kinachonisikitisha izi kile azina faida yoyote kwa tunachokipigia tunachotakiwa watanzani wote kwa umoja wetu kama tumeona hii serikali inafanya...
Natamani kumuona Gerson msigwa anatype taarifa kwa umma kuhusu kutenguliwa kwa uteuzi wa mkuu wa mkoa flani anaitwa makondakta[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125]...
Hatunywi sumu..hatujinyongiii...tararara....mbele kwa mbelee..tumeipenda wenyewe..chaguo letu milele na wavimbe wapasuke watajijua wenyewe....tantaaa..acha waisome namba ee..watasoma...
Naona kuna fursa ya kibiashara kwenye hili la Gwajima.
Ukiweza kukusanya videos zake zote toka siku ya kwanza ameanza kumuongelea bashite mpaka sasa ukaziweka kwenye DVD ukaziandika *GWAJIMA VS...
Kipindi tutaendeleA kufuatilia series kali ya kina bashite jijini itakapoishia Turudi upande huu HIO ID tajwa hapo juu imetoweka Bila kuaga, huyu jamaa pia ni member mwandamizi wa jf karibu Mwongo...
Unapopigiwa simu na wife halafu akauliza uko wapi ujue kuna kitu kinafuatia
Wife:uko wapi
Me:kazini
Wife:pitia maziwa
Wife uko wapi
Me:chumbani
Wife:angalia bomba ya bafuni inavuja
Wife: Uko wapi...
Baada ya kuamka nimetetemeka sana.
Nilikua namsikiliza mkuu uzinduzi wa flyover hapa ubungo , ameanza kwa salaam kwa viongozi alipo mfikia mkuu wa mkoa akaongea kwa vijembe eti kuna watu...
Jamani mkiona tangazo la kutumbuliwa mtu kwa taarifa kutoka kurugenzi ya ikulu la bwana Gerson Msigwa tushtuane hata kama nikiwa nimelala tafadhali....[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Hivi inakuwaje Masuper star na matajiri wengi wanazaaga Twins tu. Kwani watu wengine wa kawaida hawapatagi watoto Twins sana. Hawa ni mfano wa couples maarufu wenye twins.
K-Lynn, Mengi
Beyonce...
Wakuu poleni na mihangaiko yawiki nzima,na weekend bila bia naona mpo nyumbani na muda mwingi mashemegi wanawaoneni.Nimechunguza mwenyewe tu wakuu na nikafikia haya ninayoyaandika.Wanawake wenye...
Habar wanajamvi
Natumai mkopoa sana kwa mimi ni buheli wa afya mungu anasaidia bado tunagangamala niende straight kwenye mada kuna baadhi ya wanawake wanakuwaga na nyota kwa waumezao tu chukulie...