Nashukuru kwa siku ya Leo walau ilikua njema.
Nimeenda ATM moja hapa Arusha, nilikua nataka kuwithdraw kama 110,000TSh cha ajabu ilitoka 1100,000tsh. Nimevunja mpaka kadi sitaki kuendelea na ile...
Sijui ndio anadhani nitampa kodi yake wakati bado miezi miwili?
Maana kodi iliyopita hata kabla siku hazijafika tayari keshanidaka nimuwahishie... Na vile kipindi hiki cha hapa kazi pesa ilivyoota...
Leo nimetembelewa na mzungu ofisini,nilikuwa na jamaa zangu ghafla nikaona pumzi inaniishia ,na maneno yangu niliyojifunza form six pale tambaza yanakuwa machache sana,jasho lilikuwa likinitoka na...
*Dah jmn kumbe kwenda kanisani raha sana*
*Jana nimeenda church pasta akasema mgeukie jirani yako mwambie deni langu limelipwa na Yesu*
*ile nageuka tu nakutana na baba mwenye nyumba bas...
*Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Watoto Watatu, kila mmoja Pipi Mojamoja nabakiwa na ngapi? Anakwambia, "toa Kwanza nizione.."*...
Hivi status za watsapp huwa zina maana gani haswa kwa mfano mtu unaandika status iko hivi
"Mtasema sana na usiku mtalala"
"Kaa chonjo saa mbaya"
"Mama kijacho punguza kiherehere"
Hivi hapo...
Taadhari kabla hujapata hasara ukiwa kama kijana kabla hujaoa msichana msomi aliyesoma kwa fedha za mkopo wasiliana na bodi ya mikopo ili kujua msichana unaemuoa ana deni kiasi gani asije kukutia...
Wakuu,
Kuna girl huwa namtongoza kwa njia ya simu lakini amekua haingii kingi. Sasa leo amekubali nimtoe out but yupo off Alhamisi, kwangu mimi naona yupo classic sana.
Ombi langu nataka...
Chama Cha Magirlfriend Tanzania (CHAMATA), kimetoa tamko lifuatalo, sisi magirlfriend Tanzania, valentine hii hatutaki maua, wala Iphone, wala lunch.
Tunasisitiza maboyfriend wetu siku ya tarehe...
Shalom ndg zangu,
Naitwa ween naishi dar es salaam, nimehtimu mafunzo ya uandishi wa habari (journalisn) ngazi ya diploma.
Nina tafta kazi , mwenye nafasi aniatie kwani nauhitaji wa pesa...
Eti unaenda na demu gheto alafu unamwekea muvi za ngumi
iiiviii braaazaaa Uko siriazi na kazi yako kwelii?????
Movie zenyewe za wrong turn
Si Bora mngezima Tv
Unakuta mtoto wa kike umeumbika kila kona then mtu kaangalia dip pic moja kwa moja kazimika
Direct atakuja Pm kama kawaida yenu wanaume wa jf kwa Udungadunga kama mmesomea vile
Lakini yote tisa...
Wakuu,
Baada ya kugundua kuwa mambo mengi yameshafanyiwa utafiti niliamua kufanya utafiti kuhusiana na vibanio vya nguo.
Ni hivi ukinunua vibanio 100 leo na kuanza kuvitumia baada ya miezi 6...
Ivi mastaa wanaotongozana kupitia media mbn awatuletea feed back zao mrejesho imekuwaje wamekubaliana au ndo wametoleana njee mfano sterio alivyo mtongoza chemical atujapata mrejesho...
Wanawake buana hatare saana
Et kutoroka kwao usiku nakwenda kwa
msela hawaogopi ila kutoka nje usiku
kukojoa wanaogopa wanakojoa kwenye kopo Akil zao wanazijua wenyewe:D
Kweli nature ni nature tu...
Can't stop laughing..I was buying mangoes at the junction while waiting for change I saw a woman with a little child. The child was walking a bit faster than the woman and the woman shouted...
Haya mambo ya
Social Network,
Kila kitu unapost tu.
Kuna jamaa kaandika
Kwenye FB:
"Ahsantee Yesu nimepata mshahara wangu...."[emoji120]
Dakika 3 so nyingi,
Mwenye Nyumba amesha Like
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.