JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari za usiku JF; Baada ya chats za muda mrefu, hatimaye naenda kuonana na huyu binti ambaye kwa kweli kwa namna ninavyochati naye naanza kuamini YALIYOMO YAMO. Nitawaletea updates za safari...
0 Reactions
137 Replies
44K Views
0 Reactions
0 Replies
673 Views
habarini wapendwa wangu Nimewamiss sana na kitambo sijathread humu ndani kutokana na ubusy wa maisha so ndo nimejisongeza kwa upya tena mama mfundaji wenu, nitakuja na mada kabambe za mwaka mpya...
1 Reactions
3 Replies
564 Views
Wakuu salamu kwenu, nimeshindwa kuvulia hili jambo kuna dada humu jf anaitwa scorpio me kauteka moyo wangu nimejaribu kum pm lakini hanijibu.. nimeona ni bora nifunguke kama alivyofanya stereo...
7 Reactions
75 Replies
6K Views
Dada yangu nimojawapo wanaotoa huduma za tiGO pesa sasa juzi katumiwa message direct kutoka tigo. Nasema 'direct' kwasababu haikuleta namba yakawaida ilileta FAIDIKA WAKALA. Wakamwambia...
0 Reactions
2 Replies
739 Views
Yule jamaa kwenye tangazo la Vodacom "naenda kwa bibi" kagundua ile pesa mkewe alitumiwa na mchepuko na sio Vodacom,Hatua aliyochukua ni kurudi mjini kwa mguu nimekutana nae hapa Bunda imebidi...
0 Reactions
2 Replies
714 Views
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
1 Reactions
1 Replies
945 Views
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Miye kwa kweli sikubali, yaani kucheza kote kule ngoma ya Kibati Mheshimiwa alipokuja kupiga kampeni Unguja na Pemba ina maana ndo keshatusahau! Hebu nihabarisheni wenzangu huko Bara weshaitwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mi nilikuwa timekeeper wakuu Nipigieni makofi tafadhali!!![emoji6] [emoji6] [emoji6]
2 Reactions
74 Replies
4K Views
Hili tukio lilitokea kipindi cha nyuma... nimeona nilieke hapa jukwaani myaone wenyewe wana JM. Tulikuwa tupo ndani ya basi kwenye mizunguko ya kawaida... kila mtu na shughuli zake na mawazo yake...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Jaribu kulamba,uniambie ina ladha gani,nasikiaga wanasema tamu kama asali ila sina uhakika.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dah,wakuu ase nahisi huu ni ugonjwa au addiction ya hii JF yetu,sio kwa kiasi hiki kiukweli nimekuwa natumia muda mwingi katika siku yangu kufatilia habari na kucomment katika majukwaa...
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Moja ni ile ambayo mwili huelekea mbele, lakini hugeuza kichwa kutazama makalio take. Nyingine Kali ni hii ya kubusu hewa, kama hii pichani
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Kipindi kimekuwa kigumu mno.Hela hamna,matumizi yaleyale..watoto ada zilezile.Pesa haipatikani, hata kwa mm ambaye siyo fisadi na sitegemei kuwa fisadi. Usingizi mnono ulikuwa mwisho July 2015...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wasichana hii tabia yenu ya kwenda kwa boyfriend wako huku umevaa pedi za Angels normal na kuzipaka tomato si nzuri. Eti unasingizia upo kwenye siku zako muache hii tabia KUNA mwenzenu huku...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
SIMBA TULIVUNJA VITI BASI NA NYIE YANGA VUNJENI MUUNGANO[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] SEMA OYOOOOOOOOOOOOOO
0 Reactions
1 Replies
698 Views
hivi sasa wanaume hawataki kuoa hali ni ngumu mtaani ewe mdada jiangalie/jichunge watakuchezea na kukuacha wanadai wako likizo
0 Reactions
5 Replies
653 Views
Back
Top Bottom