JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mdada akiwa na Tabia ya kufungua sana Mikono Kuomba-omba Hela au Kuomba-omba Vitu kutoka kwa Mwanaume au Wanaume fulani, Ndivyo na hao anaowaomba watakavyomuomba-omba na yeye afungue Miguu yake...
8 Reactions
57 Replies
5K Views
Msema kweli mpenzi wa Mungu. Jana nilileta uzi hapa kuhusu wanawake wa kimbulu jinsi walivyo wazuri, hapo nilikuwa Babati. Leo bwana nikaenda Katesh, mama yangu!! Huku ndio utajua kwanini Mungu...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Mim huyu hapa jamani Mungu anaumba kuna wanawake wanafaidi si mchezoo hebu weka na wako unaeona anavutia , huyu sio kadoda11 kweliii mmmh maana akikukaza vyuma lazima vikazee aiseee
5 Reactions
294 Replies
47K Views
Imebainika kuwa yule mtabiri wa kisiasa na kiuchaguzi Sheikh Yahya Hussein ni usalama wa Taifa kwakuwa ana majini yanayomlinda Rais.Hii ni kwa mujibu wake yeye mwenyewe.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jana nilipokua nimelala usiku nilioata maono baada ya kutembelewa na bwana. Nimepata maono kua wengi wenu bado mnatumia miswaki ya 2016. Na msipoibadilisha mtakufa!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
*Home leo wameniuliza naoa lini umri umeenda, nikawajibu ntaoa umri ukirudi* Sahizi niko mezani sioni chakula, I think leo tumefunga. [emoji16]
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Unafanya kazi gani? Jua anakuadiria utamfaa ama laa Unakuja na gari? Najisikia vibaya sina hela ya kwenda hosptal Natamani tuonane ila nywele sijasuka siwezi kutembea hivi Unaweza nisaidia...
8 Reactions
75 Replies
7K Views
Hivi kampuni ya G4s inahusika na nini?
0 Reactions
3 Replies
650 Views
Maisha yako yanaonekana yamebinuka-binuka tu japokuwa huishi kujimegea pande na kujisadifu kwamba wewe UNAFAA na ni Wife Material Mzuri tu...Umekazana kuwaaminisha watu kwamba wewe ni Almasi...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Dah kwa kweli hili tangazo la Dstv bomba linachekesha sana na hata hawa waliohusika walijua kutakuwa na tafsiri nyingine kwa watazamaji. Jamaa:unaonaje bomba? Demu:aahh iko bomba.
0 Reactions
1 Replies
995 Views
Habari za asubuhi, natumia mu wazima wa afya. Naomba ukipata muda tu unikumbuke kwa sala zenu. Safari niendayo iwe salama nikawakilishe wajibu niondako. Mungu akubariki utayenikumbuka Asanteni
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Budget:3000 Location:somewhere x Baada ya kuacha pombe na company yake hivi ndo navojipq raha mwenyewe kwa budget nzuri kabisa. Good music+good shit +nature = good feelingss Karibuni.
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Nimegundua kuna Wanaume wa aina nyingi sana duniani...Ila kuna hawa wengine ambao wanashangaza sana...Mwanaume mzima na ndevu zako kama wajukuu wa siafu unakaa kijiweni unalalamika, ''Demu wangu...
4 Reactions
15 Replies
4K Views
Leo admin kwenye group flani iv kasema wanawake ni kama vocha ukishatumia unatupa tuu , Nikamuuliza Dada yake ni mtandao gani Nashangaa naambiwa " You can't send massage to this group because u're...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mupoooooo ? Nakuona ushaingiza hisia za siasa, la hasha hapa hakuna sihasa kikubwa nataman kusikia machache toka kwako 2016 umepita kindaki ndaki hongera umeupinduwa swalama, 2017...
0 Reactions
1 Replies
578 Views
Brilliant article, just couldn't resist sharing.. Ducks Quack, Eagles Soar I was waiting in line for a ride at the airport in Dubai. When a cab pulled up, the first thing I noticed was that the...
1 Reactions
1 Replies
608 Views
Unataka Kupunguza unene fasta bila madhara,bila dawa,bila mazoezi? Kuwa Mchepuko wangu nikutie stress,nikulize kila dakika unakonda baada ya siku mbili
2 Reactions
18 Replies
12K Views
Mbwa hula Nyama wala hali Majivu....Ng'ombe hula Nyasi wala hali Burger..Ukienda bandani kwa Ng'ombe ukamuwekea Burger ukaondoka ukakuta ile Burger imeliwa huyo sio Ng'ombe amekula, Ni Houseboy...
9 Reactions
16 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…