JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nikiwa mtoto bhana, Nilikuwa napenda sana michezo, moja ya mchezo ni Kuendesha lingi, Kuwinda ndege kwa manati. Kuna ile Unatengeneza gari la mbao na mipira inakuwa kama spring na unaweka kamba...
0 Reactions
35 Replies
915 Views
Habari zenu bas bwana miaka ya nyuma nirikua nikienda posta kufata vipaseli vya kununua au mzgo kira mtu nirikutana nae nirijuwa ni mwanaJamiiForums. Yaan kira niromuona ofsi za posta nirijua ni...
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Ukifanya jambo jema likaambatana na mvua ujue hiyo ni Baraka, Mungu wa Mbinguni amesikia Maombi Ila Nina uhakika Akina Mwijaku na Kitenge wasingevumilia kunyeshewa 😂😂 Good morning!
4 Reactions
12 Replies
540 Views
Hapa siongei sana, picha inajieleza, hujaelewa uliza.
4 Reactions
5 Replies
450 Views
Habari. Kila Mmoja Anaendelea Na Majukumu Yake Ya Kila Siku Vyema. Kama Swali Linavyojieleza Hivi Ni Kwanini Wanandoa Wa Jamiiforums Wanashambulia Watu Ambao Hawajaoa? Kuna Nini Nyuma Ya Pazia...
3 Reactions
18 Replies
552 Views
Mmeshindaje ndugu zangu. Ikitokea ukaambiwa uchague sehemu moja ya kuishi kati ya Tandale na Manzese ni wapi utapokuwa tayari kwenda kuishi? Na kwanini? Pia ningependa mtu au watu waeleze...
1 Reactions
59 Replies
9K Views
Habari wanaJf wote, Story hii inahusu safari yangu kutokea Zanzibar kurudi Moshi, Kilimanjaro. Ee bana dah nakumbuka ilikuwa ni sa 12 asubuhi kunduchi kwa mwenyeji wangu nikapewa chai ya maziwa...
0 Reactions
3 Replies
306 Views
Korogwe ni Wilaya mojawapo ndano ya Mkoa wa Tanga. Zingine ni Handeni , Lushoto , Pangani , Muheza , Kilindi , Mkinga na Tanga yenyewe Ni Wilaya ambao ni kama Centre ya kila mahali kwa mikoa ya...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Mtoto anasema katumwa kuja kucheza. Nyumba aliyotumwa hakuna watoto ni watu age go. Namuuliza anasema mama yake kamtuma aje kucheza. Nikauliza baba yupo? Kakajibu ndio. Je niliyoyawaza mimi Babu...
2 Reactions
12 Replies
520 Views
NB: Mada hii naileta kwenu baada kupata inspiration kupitia thread ya donlucchese Umeshawahi kupiga one katika levo yoyote ya elimu hapa nchini? Tukutane hapa.....!!! Sijawahi kupata division one...
3 Reactions
40 Replies
5K Views
Stay away from older women Stay away from older women If i stay away from older women can't feel ok, the older the tighter,,,the tighter the sweeter......
1 Reactions
11 Replies
487 Views
Natumaini wote nyie ni wazima, Well, naombeni mawazo yenu kwenye changamoto yangu hii ndogo, next week natarajia kuwa na kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa Nilipanga niende Zanzibar ila hii...
4 Reactions
38 Replies
862 Views
Ni kauli gani ulikuwa ukiisikia MAMA yako kaisema Unajua tu kabisa....hapa kipigo hakiepukiki ?
1 Reactions
9 Replies
402 Views
Tokea juzi Ijumaa Jioni hadi Alfajiri hii ya leo ID yangu hii ya GENTAMYCINE ilikuwa Imedukuliwa na Wahuni hivyo kama kuna Maudhui yoyote yaliandikwa tokea hiyo juzi hadi jana jua si yangu bali ni...
8 Reactions
30 Replies
956 Views
Sababu.. .. 1. Mwarabu jana Kanikosesha Tsh Milioni 62 ili GENTAMYCINE niuage rasmi Umasikini wangu Ulionitukuka kwa muda mrefu. 2. Nalazimika kuwakwepa Watu Mtaani, kutopokea Simu zao na...
4 Reactions
4 Replies
258 Views
Vyakula Vinywaji Viwanja Viwalo Vyovyote, popote tupiamo[emoji173][emoji173][emoji173] Sent using Jamii Forums mobile app
22 Reactions
1K Replies
58K Views
Mtaje rafiki yako ambaye alifariki mapema sana na hutawahi kumsahau, naanza na mimi kaka yangu mtoto wa mama mdogo. Rest in peace broh.
2 Reactions
56 Replies
2K Views
Naona Majirani wameanza Tena
4 Reactions
16 Replies
899 Views
Moja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ushindwe kwa jina la yesu Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana...
19 Reactions
43 Replies
2K Views
Wazee habari zenu, Kwanza juzi kwenye kusaka harakat za kupeleka mizigo bhna nilipata mteja yupo river side ubungo sasa nimetoka kariakoo nikafika had pale na boda nimetulia napiga simu inatumika...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom