JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu naomba kuuliza. Hii kauli ya kusoma Cuba ime trend sana mitandaoni. Unfortunately mimi sio mtumiaji wa mitandao sana. Huwa natumia JF na pia JF huwa sio regular user, naweza kupotea miezi...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Inaonekana siku hizi makonda hawana mzaha kabisa na wamejizatiti kwenye Mafunzo ya martial arts na Judo 🥋
9 Reactions
52 Replies
3K Views
Hivi haka kamfuko kadogo katika Jeans huwa na kazi gani, yaani kazi yake ni nini?
6 Reactions
20 Replies
854 Views
Kwema? Goba kuna chimbo gani ninapoweza kwenda kula na kunywa nikaridhika? Chimbo liwe na watoto ili wakati nakula nakunywa wakipitapita niwe napata raha.
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Huyu Mwamba sijui alipotelea wapi. Ni mmoja ya members ambao walifanya makubwa sana kwa Taifa hili. Hatumwoni tena.
2 Reactions
17 Replies
574 Views
Wakuu mnaonaje huyu BAHARIA je KATUWAKILISHA VYEMA au hajui kuhandle?
2 Reactions
11 Replies
508 Views
Hawa jamaa kwenye meseji ukiandika neno sex au sexy jua hiyo meseji itaenda ila haiwi delivered abadani... Hebu tuambie neno lingine ambalo halikubali msj kwenda....
1 Reactions
3 Replies
358 Views
duuuh kuna watu huwa wanaakili za wenyewe tu
6 Reactions
4 Replies
546 Views
Chagua upande kisha weka hoja makini, sifa, wema, ubaya, uzuri ujanja, mahusiano, mitazamo na maono ya kila upande.. Jitahidi usiweke kejeli za kuudhi sana.. Matusi na dhihaka zinazokera. Tuepuke...
20 Reactions
926 Replies
74K Views
Wadau nijuzeni hii technique ya kwenda usa kwa kutumia student visa jinsi ya kufanya! Thanks, KK3
1 Reactions
34 Replies
8K Views
Aika mmbe!
1 Reactions
231 Replies
54K Views
Kwako Mkuu Dr, Binafsi Mimi ni Kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 23, mwanafunzi mwaka wa tatu moja ya a chuo kikuu hapa jijini (DSM), binafsi Dr, naona wewe ni mtu humble, passionate na...
9 Reactions
85 Replies
3K Views
Mzuka wawanajamvi? Hili jina mwamba linatumika kama sifa, status kumsifia mtu. Hata kwa wapiga mizinga wanapenda sana kutumia wakikusogeza na kukuandaa kwa kukuita mwamba, mheshimiwa, boss kabla...
5 Reactions
6 Replies
458 Views
Mimi kama nasmile.nilijiunga 2011 Uzi wangu ninaokubali ni ule ni maswali gani hayajibiki duniani https://www.jamiiforums.com/threads/ni-maswali-gani-unahisi-hayajibiki-duniani.651919/
5 Reactions
20 Replies
841 Views
Na kama wangekuwa wanachukua tuzo naamin mwaka huu ningechukua tuzo ya mpigwa block na members wenzake, na huwa sijuagi nakosea wapi mpaka members kunipiga block, cha kushukuru sijawahi pigwa...
5 Reactions
45 Replies
975 Views
1. Manyanya 2. Studio 3. Popo Bawa 4. Kwa mtogore 5. Jangwani Endeleaaa.......
3 Reactions
399 Replies
74K Views
Boss la DP World niko hapa kujibu maswali yako. Nimekunja 4 hapa kwenye ofisi yangu ya kifahari najizungusha zungusha kwenye kiti changu wakati nikifikiri kuhusiana na michongo ya kuongeza ukwasi...
9 Reactions
44 Replies
2K Views
Huyu mwanamke ana akili za hovyo, bado ananiomba tena nimchangie abeti wakati shida yake kubwa ni nauli.
7 Reactions
23 Replies
863 Views
Mzee Ngowi na Bi Sikitu ni wapenzi walio pendana toka shuleni wakiwa watoto, mpaka wakaoana. Baada ya kustaafu waliamua kurudi kuishi eneo waliloushi zamani walipokuwa wadogo, na kusoma. Siku...
4 Reactions
5 Replies
387 Views
Back
Top Bottom