Yaani huwa nazitamani za mshana jr hivi zina raha?
Mie nazeekea jf sasa na sinazo hata za kutosha
Ntakuwa bibi bila hata like 500?
Hebu nipeni jamani, tena za kutosha,
Nipeni za kutosha na...
Aisee tangu nimeanza chuo najilia tu fahari ya macho yani na kwa hili itanibidi nisiwe mnafki watoto wa UDSM wana drive mbaya mbovu japo kuwatokea ni mziki mwingine kabisa ambao unaitaji kuucheza...
Punchline ya kwanza kabisa duniani ilirekodiwa tarehe na mwezi kama wa leo miaka 98 iliyopita na rapa kutoka Nyanzaland ambayo kwa sasa inajulikana kama Mwanza. Ilikuwa inaenda hivi
"Oko kaya...
Masai alipeleka redio yake kwa fundi, ilipofunguliwa ili itengenezwe, wakatoka mende weeengi, masai alivyoona hivyo akamwambia fundi ''KAMATA HAO WATANGAZAJI WANAKIMBIA.
Kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia naona anagonga mlango wake karibu masaa mawili hivi wakati hapa anaishi peke yake, kwa kuwa sipendagi ujinga nimetoka na kumwambia mwenyewe...
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu...
Kupitia kurasa zangu Facebook, imstagram pamoja jamii forums ambapo huwa natumia jina la SANGU JOSEPH nimekuwa nikiweka makala mbalimbali nikiwa natumia Hashtag za #kijanamzalendo #ilovetz...
Mume na mkewe walikuwa kitandani asubuhi ya
leo.
MUME: Mke wangu leo ni siku ya wanawake ,
nifanye nini leo ili ufurahi maisha yako yote
yaliyobaki?
MKE: Kunywa sumu
Mimi ni member mpya hapa Jf,
Ni dogo wa miaka 17 tu before sijajiunga jf kuna wadada humu nikisoma post zao walikuwa wanakonga nyoyo zangu mpka nimeamua kujiunga jf wadada wenyewe ni heaven on...
Nafikiri kati ya watu wanaongoza kwa kupewa majina ya Utani Ni Walimu na majina hayo hupewa na Wanafunzi wao
Majina Hayo yanaweza kuwa ya watu maarufu/Topic/Ukali wake/Upole wake/Maisha yake kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.