Leo nimepita mitaa ya Posta nikasimamishwa na traffic mmoja walikuwa wapo kama 4. Huyu mmoja akaniuliza naelekea wapi? Nikamwabia naelekea Jangwani kuna mtu namfata akaniomba nimpakie na nimshushe...
Asiwe mwny hasira za kalibu,mi napenda utani.Asiwe mcha Mungu Sana,aje atake niamie dini Yao.Ajzuie kuniomba ushaur,inapotokea kaznguana na boy wke..
Asiwe mjuaji kwny media,story za diamond na...
Mtoto mzuriiii wa kike kuwa Mwalimu mi naona sio vizuri kwani wanafunzi wa kiume hupata shida(hushindwa ku-concetrate kwenye kitu kinachofundishwa na mwalimu huyo na kuishia kutazama maungo ya...
Kuna sehemu fulani nlikuwa napita njia nikaona baadhi ya mabango ya majina ya bishara yameandikwa kama ifuatavyo:-
LEADS FIRST SALON,TUNABAN CD na jengine GOGEMENT DAY.Sijui ni mbwembwe za...
Kuna jamaa chapombe sanaa kila baa mtaani kwetu anaijua yeye anajiiita mchanga hachagui maji. Sasa Siku mmoja jirani yake alimuozesha binti yake. Alitaka kumfanyia sendoff. Basi jamaaa akawa...
Dem lazima awe Sharp...Bed...Jikoni...Everywhere!
Make your Man proud of YOU!!
Ukiwa Sharp hata
jamaa atakusifia kwa rafiki zake, hiyo kafanya dem
wangu bwana....Sasa jamaa hana hata kimoja cha...
Hivi kwa usawa huu wa awamu ya tano!!hivi wale wenye tabia ya kuwapa waume zao limbwata ili atulie nyumbani !!hivi kuna anaefanya hivyo tena kwa awamu hii?? Kama wapo waseme saa hivi kati ya...
Basi Jana wakati natoka job mbezi beach kufika afrikana si nikakutana na rais Obama. Etii ameniomba lift ikabidi nimpe tukafika mwananyamala akashuka akasema anaishi mwananyamala kisiwan...
Kuna mambo yananishangaza, hawa wazungu wamekuwa wakarimu na wanatusaidia sana. Wanatoa misaada katika vituo vya yatima, wanatupa misaada ya dawa,wanatupa huduma za afya, wanakuja kutufundisha...
kifo cha Thomas Mashali kinasikitisha sana .
ukweli ni kwamba nilichosikia ni kwamba huu umeme wa REA kule Kwembago udongo wake sio sawa na migomba ya Tukuyu,
Hata hivyo mikutano ya kisiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.