JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani Husband: Takamushi jiku. Wife :hashi jiku mishihe Husband: inamoto kushini hat a pi Wife: jejeta takuna mota shinita Husband: kituya sitina...
1 Reactions
0 Replies
587 Views
Mvua zinatarajiwa kuchelewa ili kupisha uhakiki wa wafanyakazi hewa unaondelea nchini. Kwa kuwa Mvua husababisha uharibifu wa barabara hivyo zitasababisha zoezi hilo kukwama mara kwa mara kwa...
4 Reactions
0 Replies
863 Views
Aseee kila siku namseduce bae nami nionje hii kitu ila hatakagi.... Sasa jana kuna sehemu tulienda,wakati wa kurudi sa natoa vitu nishuke naona kipakti kina majani kimeekwa chini ya...
1 Reactions
46 Replies
3K Views
*Money is evil ?* *Jamaa mmoja karudi mapema kutoka Kazini mpole!* *MKEWE: Vipi leo mbona mapema na mpole hivyo?* *MUME: Ofisi yetu imeungua Moto na watu wote wamekufa.* *MKEWE: Sasa ilikuwaje...
1 Reactions
0 Replies
814 Views
Et kati ya mamba na Kiboko ni nan kiboko??
0 Reactions
24 Replies
2K Views
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Habarini wanajamvi, Katika hatua za ukuaji wangu, niliwahi kuwa na ndoto za kuja kuishi Ikulu, but as the days go naona hiyo ndoto imepotea kabisa. So, i want to build my own buildings that will...
10 Reactions
73 Replies
7K Views
KITUO CHA KUULIZA MASWALI YA KIFALA 1- NA WEWE ULIZA LAKO i. Shilingi 1000/-ni bei gani?- Kisa wa Mbeya JIBU:Ndugu yangu swali lako zuri sana, uchumi kwa kuwa umepanda na wewe chukua ngazi...
0 Reactions
0 Replies
973 Views
*Raha ya mademu wafupi* ukiweka simu juu ya fridge unaikuta Kama ulivyo iacha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu kuna neno ambalo sijawahi kulifurahia hasa ninapoona baadhi ya wakuu wakilitumia hapa jf neno hilo ni "KUTOA POVU" hivi huwa lina maana gani kwa sababu ni kama lugha ya picha hivi.... Lakini...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Huu ni ujumbe mweusi kutoka nchi ya watu weusi Je wajiona kiongozi au mfuasi,mcha dini au mpagani,mpenda amani au mleta machafuko,mpenda watu au mchukia watu,tajiri au maskini,mshindi au...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Eti kati ya mamba na kiboko ni nani kiboko? Mimi ninaona mamba ndiye kiboko.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wa ndugu! Kulitokea na watu wawili(Wachumba) katika mahusiano matam sana na mazuri! Punde yule msichana akapata nafas ya kwenda kusoma burundi kwa mda wa miaka miwili na kumuacha boy wake tz huku...
0 Reactions
1 Replies
719 Views
*Bongo muvi bhana et jambazi kamnyoshea mtu Bastola afu anamwambia ..... NITAKUCHINJAAAA..* ```Nimezima Tv ..nime0na ningie...
8 Reactions
13 Replies
2K Views
Yaani hakuna siku nimefurahi kama siku ya Leo na nimeonelea ni freshy kuwajulisha wadau.Yaani Leo nimejiona laivu kwenye runinga...nilipoizima
1 Reactions
4 Replies
1K Views
BAHATI ILIOJE HII JAMANI. ×××××××××××××××××× Kuna siku nilikuwa maeneo ya Mjini kati (City Center), nikaipenda suruali moja ya shilingi 15,000/= na pesa sikuwa nayo ikabidi niende kutoa kwenye...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Bongo muvi bhana et jambazi kamnyoshea mtu Bastola afu anamwambia ..... NITAKUCHINJAAAA.. ```Nimezima Tv ..nime0na ningie...
0 Reactions
0 Replies
485 Views
Habari za mida wadau wa JF Chit-chat. Hivi wadau mshawahi pata time kupitia signature za wadau mbali mbali hapa jf? Binafsi leo nilibahatika kulog in jf kwa kutumia computer nikapata wasaa wa...
0 Reactions
0 Replies
482 Views
Ndugu wanaJamiiForums, Nimekaa nikawazawazua mwenendo wa hali ya hewa inavyokwenda nikakakumbuka hako ka msemo ...ahahaaa Siku hizi hata buku ni pesa hahaahhaaa...
0 Reactions
4 Replies
897 Views
Habari Wakuu Habari za weekend waungwana, Niko na kaswali mtambuka Nimekaa nikafikiri sijapata jibu kwa mfano hali hii ikiendelea kwa miaka mitatu mbele mfululizo itakuwaje Hebu shiirikisha...
1 Reactions
15 Replies
842 Views
Back
Top Bottom