JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Aliyemtoa huyu porini akamvisha suti na kumpeleka MTV MAMA AWARDS ni nani? ..manaake mungu anamuona
0 Reactions
1 Replies
796 Views
Kuonja Pombe ni Asubuhi....Na kipimo cha kuonja unapewa lita moja for free...ukipita nyumba tano,ukiwa unaonja=........
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna watu humu majina yao yanaonekana kila mara kwenye majukwaa mbalimbali mfano STUNTER -ChitChat anaonekana sana Msagasumu -MMU @hancemtanashati -celebriets forum Hayo ndio majina...
3 Reactions
169 Replies
8K Views
Mojawapo ya bidhaa zinazopatikana ni kama hicho kitenge
1 Reactions
10 Replies
2K Views
*AINA ZA VICHAA:* *1. Kichaa cha Safari lager* Kung'ata meza na vifuniko vya chupa na Kubinua meza kumwaga vinywaji. *2. Kichaa cha Castle Light* Kuparamia kila mdada mweupe na kumtaka...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
1. Ccm washinda umeya wa Kinondoni(bad news) 2. Simba yaikung'uta goli 3 bila huruma Toto (good news) 3.Chelsea yaibamiza kipigo cha mbwakoko Man Utd(bad news) jumapili imeisha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake.... Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake. Siku moja umeme ulikuwa umekatika...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
TULIKUA KWA BASI TUNAELEKEA MWANZA,ILE NAMCHEKI DEREVA KUMBE NI BEST YANGU NA BASI ILIKUA KWENYE SPIDI HATARI, NIKAENDA KUMZIBA MACHO NKAMUULIZA OTEA MI NI NANI,KABLA HAJANIJIBU NIKASKIA KISHINDO...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Hii
My life............. i will tell yu later Be care with a women
0 Reactions
1 Replies
451 Views
Kila nkienda kwenye harusi wazee wananiambia "bado wewe tu" Na mimi nimeanza kuwaambia hivyo hivyo tukikutana kwenye mazishi [emoji41] SIPENDAGI UJINGA MIMI[emoji41][emoji41]
1 Reactions
2 Replies
1K Views
zamani nilipokuwa mdogo hii ndio ilikuwa siraha yangu, kwa maana umbo langu lilikuwa dogo, so sikuweza kupigana. Ukinitibua tu nakupa maneno mpaka ukimbie (USICHUKIE) Amey Gat una bichwa kubwa...
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Hadithi hadithi (hadithi njoo utamu koleaa!) Hapo zamani za kale alitokea Simba na Fisi. Hadithi yangu imeishia hapo!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mambo wakaka na wadada humu.. Naitwa NITAKUFA LINI.. Nimekua naona watu wanatamka hili neno "papuchi" kweny hizi discussion zenu.. Mara "hanipi papuchi yake" Mara "papuchi yake ndogo"...
1 Reactions
52 Replies
14K Views
Nina mchepuko wangu ambao ninausimamia kwa 100% katika kila kitu Huu mchepuko unanipenda kwa ninavyouona,pia nishauchunguza sana hauchepuki labda kama unafanya kwa siri sana Tatizo lake...
7 Reactions
146 Replies
9K Views
Kwanini askari wengi hasa wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) wanapenda kuvaa nguo, mfano jaketi, bukta, begi, fulana za kijeshi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kila nkienda kwenye harusi wazee wananiambia "bado wewe tu" Na mimi nimeanza kuwaambia hivyo hivyo tukikutana kwenye mazishi Sipendagi ujinga mimi?... Hehe
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Leo nikiwa katika kivuko kutoka mwanza kwenda ukerewe nikiwa nimekaa siti moja na wasukuma hawa walikuwa wakiulizana kuwa hivi kuna sababu mwanasheria kumuomba Mungu na kusali...
0 Reactions
1 Replies
864 Views
NANI YUKO TEGETA , WAZO
0 Reactions
18 Replies
985 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…