JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ukiingia kwenye JF Web Analysis utakutana na zaidi ya members zaidi ya laki 8, zaidi ya Post 8m na Guest 6m. Cha ajabu, huwa sifumanii mwana JF akiwa JF Nimeishia kuona Guests wakiwa kwenye vituo...
10 Reactions
40 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Namtafuta rafiki yangu wa kitambo sana, tulipotezana mwaka 2019 hapa JF. Kama ananiskia tafadhali anicheki pm.
4 Reactions
7 Replies
368 Views
ANAFANYA kazi TANESCO?
0 Reactions
1 Replies
297 Views
Kitambo sijakuwepo jukwaani. Nmewamiss sana nikisema nianze kutaja mmoja mmoja sitamaliza. Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu. 2024 ni mwaka mzuri...
10 Reactions
62 Replies
1K Views
Suala la utapeli lipo kila mahali, angalia hapa jinsi Tapeli anavyotafuta hela kwa njia ya Ki-Michael Jackson,
2 Reactions
0 Replies
434 Views
Tangu enzi na enzi mwanaume hajawahi kuwa Sawa na mwanaume. Hizi ni baadhi tuu ya tofauti kati ya wanawake na wanaume. Sasa Nina shangaa hawa wat u wa haji za kibinaadamu kuja na kelele nyingi...
1 Reactions
0 Replies
540 Views
Karibuni!
1 Reactions
2 Replies
298 Views
Tofauti na Hapa Africa ambapo Misibani wanaenda kujitafutia Sifa, Umaarufu, mbwembwe na hata kulogana Nawatakieni Jumatano ya Majivu Yenye Baraka Rip Edward Lowasa
1 Reactions
1 Replies
220 Views
Mpwayungu Kwa wenyeji wa Tarafa ya Mpwayungu, leo nipo hapa kwa masaa sita hivi, Kijiji ni kitulivu siyo mbaya, leo hali ya hewa siyo mbaya kabisa maana najua wazi kabisa kua, viunga vya Dodoma...
1 Reactions
8 Replies
442 Views
1 Reactions
3 Replies
280 Views
Umeme ukikata ghafla huwa unatamka maneno gani unayotamani TANESCO wayasikie?
6 Reactions
51 Replies
1K Views
It's only in Africa where politicians have a lot of money than businessmen. [emoji17]
1 Reactions
1 Replies
219 Views
Habarini za jioni wakuu.. Bila shaka mko na weekend nzuri kabisa, Kwangu mimi weekend ni mbaya nimekaa leo nikamkumbuka huyu kaka, alikuwa rafiki yangu sana tukaja kupotezana, sijui ntampata...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Habari wanaJF. Kuna wanasayansi wengi wamepita na wamefanya mengi mazuri, na sifa zao zinaishi mpaka kesho. Lakini Kuna wanasayansi waliogundua kwamba ili mtu alale Ni lazima angalau ajifunike...
3 Reactions
5 Replies
316 Views
Tengeneza sentensi zenye maana kwa kutumia ID za member wa JF. Mfano: Bab fei hali mbaya huko kwenu vipi tunda tamu ni Ni Sheeeda
49 Reactions
2K Replies
49K Views
Ndoto ya kila Mwanamke ni kuwa na mshikaji kama huyu kwenye msimu huu wa Valentine
1 Reactions
1 Replies
336 Views
Wana jamvi,habari ya muda huu, jamani nina shida na nina mtafuta mwana jamvi mwenzetu anaitwa Castle, picha yake hiyo hapo juu. Popote ulipo castle nina kutafuta sababu nina hitaji msaada toka...
1 Reactions
3 Replies
356 Views
Nimekutana na msemo huu katika pita pita zangu ila nikabaki nasikitika kwanini tumefikia hatua hii. Hii inaonyesha watu wamekwisha kata tamaa ila hapa inabidi tujifunze kitu pande zote mbili...
8 Reactions
78 Replies
6K Views
Ile siku mahususi kwa ajili ya wapendanao imewadia. Yaaani 14 February, hii ndio siku ambayo gest zote nchini huwa bize. Je, unapendwa?? Mara yako ya mwisho kuambiwa nakupenda na mme, mke, etc...
3 Reactions
7 Replies
298 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…