JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wanajamvi kwanza wasaaalam! Napenda kushare nanyi hii siku ambayo ilikuwa kizungu mkuti lakini yote ikiwa ni utoto plus utundu. Tukiwa na tabia ya kudandia magari mimi na wenzangu siku moja...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Wanaume wa mkoa jamani nimejuta na sitorudia tena kutoa penzi langu kwa mwanaume wa mkoa duuh 1. Mwanaume mchafu kuoga kwa kulazimishwaa 2. Huo mkwapa utasema kuna kichaka 3. Usafi wa mdomo...
5 Reactions
139 Replies
14K Views
Nyumba ya mlevi mmoja nje kuna shimo kubwa la maji bila mfuniko. Siku moja karudi usiku kalewa tooooop, mambo yakawa hivi: *MUME*: Fungua mlango! *MKE*: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako...
4 Reactions
1 Replies
1K Views
1 Reactions
1 Replies
921 Views
Watoto wa siku izi Bana mwanangu apendi kula nimemwambia ntampeleka MBEYA DAY hivi ninavoongea sahani Tupu *SIPENDAGI UJINGA MIMI *
1 Reactions
9 Replies
1K Views
```Nilisimamishwa na polisi jana usiku wakaniuliza mbona natembea usiku nikawauliza kwani usiku watu huogelea..``` *Sipendi ujinga mimi* ```Niko kwa landrover sasa hivi i think wananipeleka...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta wanawake marafiki wa kalamu, email, whatsapp, n.k, wanaopenda kusafiri (kwa gharama zao) nje ya Tz, wanapewa nafasi zaidi, . Urafiki wetu ni wa kujengana, kuimarishana, kutiana moyo na...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Alafuu mjue haipendezi dumee ziimaaa na midevu kibao eti profile yake anaweka picha ya mwanamke!!!!! Mmmh au anataka tumwite joke dume maana hvhv haiwezekani!!!! Sipendagi ujinga!!!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HAPA LAZIMA UKIMBIE Nilikutana na mshikaji wangu Tandika stendi ya mbagara, akanistua kwa nyuma akisema "malogy mathematic ndio wew? upo kaka?". Nikamjibu nipo k iongozi tunasindikiza wenye maisha...
3 Reactions
6 Replies
5K Views
Jamaa X kaitwa kwenye Usaili katika kampuni flani ile wamejipanga wanasubiria kuitwa ikifka zamu ya Jamaa X Ameitwa ile anaingia ndani akaambia WAIT PLEASE...Jamaa X akajibu 75kg boss. Ilibidi...
0 Reactions
0 Replies
474 Views
Ni matumaini yangu muwazima Ninataka kununua gari,mojawapo ya hayo magari huwa napenda harrier lexus au nissan xtrail wajuzi wa mambo naombeni mnipe details za haya magari na bei zake kwa sasa.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mods wana-favourism, Jamii forum kuna pendelea zaidi wanawake kuliko wanaume. Au anayemiliki hii Jamii forum ni mwanamke? Topic zinazoponda wanawake zinafutwa, lakini topic zinazoponda wanaume...
6 Reactions
68 Replies
4K Views
Ni wakati gani unakasirilika au uliwahi kukasirika sana na pengine ukatenda lisilotegemewa! Jibu ni rahisi sana. Fanya kuweka kumbukumbu ya mara ngapi unatumia maneno "kama" na "lakini" ambayo ni...
0 Reactions
1 Replies
596 Views
Habari zenu wakuu. Kama kichwa kinavyojieleza naombeni ushauri nataka kufungua account ya US Dollars sijui ni benki ipi yenye masharti nafuu. Natanguliza SHUKRAN!
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Two ghosts met and both chat about how they died. 1st ghost : How did you die? 2nd ghost : I died of cold. 1st ghost : How does it feel when you're dying in cold? 2nd ghost : Actually, I was...
12 Reactions
15 Replies
1K Views
Mayai ya kienyeji yanapunguza sana ujasiri, wanaume wa dar hapana. Mwenzenu anapigwa adi kutolewa macho nyie mnakula chipis pembeni??!!!!!!!!! Bora muamie Dodoma kije kizazi kipya na shupavu
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Siku za hivi karibuni kwenye magazeti mbalimbali kulichapishwa habari kuhusiana na utafiti wa vichaa uliofanywa hapa nchini. Utafiti huo ulionesha kuwa kati ya watanzania wanne basi mmoja ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyumba ya mlevi mmoja nje kuna shimo kubwa la maji bila mfuniko. Siku moja karudi usiku kalewa tooooop, mambo yakawa hivi: *MUME*: Fungua mlango! *MKE*: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
hapa kazi tuuuu...[emoji2]
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom