Mgongo ka meza ya kahawa tweendee tweendee...
Macho ka kete za pool...tweendeee tweendee..
Mfupi ka mabetriii tweeennnddeee twendee
Meno ka folen ya madumuu twendee twendee..
Kipindi cha uanafunzi ,kutoa mimba au kushiriki kutoa mimba ndio kumekithiri ,
Nani ambae hajawai fanya hiki kitendo?,
A-level ndio wengi wanachomoa ujauzito zao,pamoja na chuoni baadhi yao.
Jamaa mmoja kwa kupenda vya kunyonga siku moja aliingia choo cha stendi bila kupenda. Tabia yake ya kuuliza maswali yasiyo na msingi ilimtokea puani na kumwacha mdogo kama kanyeshewa mvua ya mawe...
Asilimia 98 ya watu wafupi huwa hawapunguzi urefu wa jeans zao, huzikunja kwa chini wakiishi kwa matumaini kwamba kuna siku watarefuka wakunjue jeans zao.
HII INAITWA IMANI...
Hi Guys I think this friday is the last day tutaonana kwa wale ambao tutaweza Kuonana. Maana nimepata Scholarship and I will be travelling to London on monday. I will be going for three years...
O yeh! wale wazee wa kuteleza kwenye lami peku peku, O yeh! kupiga sarakasi na taulo wakati hujavaa boxa, O yeh! kutembea juu ya makaa ya mawe ya moto peku peku, O yeh! namaanisha wale wazee wa...
Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu...
Habari wana Jamvi nani anamfahamu mwl mana kuna fara flani kanizingua hapa Mwanza nataka nijifunze Ngumi ili nirudishe heshima ahsante sana nawasilisha.......!!!
Yakukumbukwa MZ.
Adhabu za mwalimu mwarabu, anarusha jiwe kwa manati litakapotua ndo saizi ya eneo lako la kufyeka.
Mkuu wa shule anakutoa nduki ukidoji paredi yoyote yeye hana special day...
Wadau nataka wikend ijayo nikacheze mechi kwenye uwanja mdogo wa kulipia (6 by 6),sasa sijui wapi kuna LODGE yenye gharama nafuu(kati ya 15000 hadi 20000)
kama unajua nielekeze tafadhali.reference...
Makonda amempa Said aliyetobolewa macho na Scorpion
Nyumba
Gari ya kutembelea
Bajaji mbili
Bodaboda 5
Kuna wazee wamenipigia simu wanaulizia ati ni wapi...
[emoji835]_*Kuna mgonjwa Wa matatizo ya akili kule Mirembe alimkimbiza daktari huku ameshika kisu kikali. Daktari alikimbia sana huku akiwa na hofu kuu. Hatimaye, akafika mahali ambapo hakukuwa na...
MCHUKUE DEMU UMPELEKE GHETTO HALAFU MPIME
KWA KUMPA JIKO LA MKAA ULIOLOWANA, AWASHE
MOTO MPAKA MANAILONI YOTE YAISHE HUKU
AKICHAMBUA MAHARAGE MAGUMU, AYACHEMSHE
YAIVE APIKE UGALI, MLE MSHIBE...
Habari za mapunziko
Nilileta mada hapa ndani kuwa nahitaji mwanamke wakizungu ili nimpiku hamonizer pale kikijijini kwetu mahuta
Kweli nimefanikiwa kupa mke ingawa kuna changamo kidogo
1. Umri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.