[emoji117]Ujinga wa ndoto ndiyo huu
••Utaota umeokota dolla ukiamka empty...
••Utaota umeokota dhahabu ukiamka kitandani patupu
Dadadeeki OTA Sasa UMEKOJOA..... Ukiamka imoooooo...
Leo wife kanikera mno.
Leo nimetoka zangu kwenye miangaiko nikasema ngoja ninunue kanusu kilo kakula na familia.
Mimi nikafika zangu nyumbani nikakabidhi mboga kwa wife nkamwambia andaa msiso...
Mimi huwa nakaa najiuliza sana iv kama baba muumba wetu wa mbinguni asingetuumba tungekuwa wapi saiv nq tungekua tunafanya nini je huko ambako tungekua tungemujua ngosha magufuli na mkwere jk huwa...
Mimi kwakweli sitasahau ukoloni wa Mzee wa kununua stendi ya Tv na kuwa anaisukuma kuipeleka chumbani mara baada ya kumaliza kuangalia taarfa....ki ukweli ule kwangu nilikuona naona ni ukoloni ile...
*Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. Mwezake akamuuliza mbona unalia mwenzangu. Chizi akajibu nimetia vijiko vitatu vya sukari baharini, kila...
Unapovunjwa moyo wako na mpenzi wako, pamoja
na huzuni zote, ni muhimu kukumbuka kwamba
huyo ni binadamu mwenzako na sio Mungu kiasi
kwamba useme eti bila yeye hauwezi kuishi. Kwani
pumzi...
11.09 2001 nilikuwa Olevel..pale HighLand Iringa ..nilihisi tukio Dogo na Kama Movie tuu kumbe lilikuwa pigo kwa wamarekani na Hatua mpya na yenye nguvu kupambana na Ugaidi
Sent from my...
Ukweli busu ni kitu kinachoshangaza hasa kutokana na raha yake, wengi hufurahia sana kutoa na kupokea busu na bado tunakumbukumbu halisi za busu la kwanza lilivyokuwa.
Inawezekana na wewe ni moja...
Habari za leo wapendwa ,mimi leo nimeona nilete hapa dukuduku hili kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema
Watu wamekuwa na majungu tu kila kukicha wao ni kusema tu watu na mbaya zaid...
:A S-baby:Wana wakuu.
Kwa uzoefu mdogo nlionao nimegundua kuna tofauti kubwa sana wa kimapenzi kati ya mademu wa kishua na wale wa kajamba nani,demu wa kishua akikupenda kakupenda kweli.
Ila...
Wanajamvi za mida! Poleni na uchovu wa siku nzima........
Nikiwa form two katika shule moja hv jina kapuni , mzee alijitahidi kufight ili awekeze kwa mwanae(mimi), akafaikiwa kupata fungu(pesa)...
Habarini wana JF
Nmetafakali hadi uwezo wangu ulipoishia nmeshindwa kudumbua janja inayotumika kwenye hesabu hapo chinu
*BIBLIA INA VITABU 66,SASA CHUKUA 66 TOA UMRI WAKO KISHA...
Habari za muda huu wana Jamii Forums!
Twende sambamba kwenye kiini cha kichwa cha habari
Nakumbuka mnamo mwaka 2002 nikiwa na umri wa miaka 10 tulikuwa tunaishi wilayani Maswa katika kota za...
Wapendwa habari za Asubuhi natumai Mungu ametuamsha salama. Ila kunakitu nimefikiria.... Ujue me sijaoa wala sijawahi kulala na mwanamke mpka Asubuhi ila kunaswali naomba mnisaidie. Katika hali ya...